Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Rafa alikuwa anamtaka Gareth Barry hahaha!

Aliishia kumkosa na Alonso akaondoka.

And i thank God hatukumsajili Gareth Barry, maana angekuwa ametuganda mpaka leo..
hahaha ila bora Barry bana kuliko Aqualani..hehe..wakati mwingine makocha pia ni binadamu hivyo Rafa hakujua he was losing such a talented guy without like for like replacement...Lucas n Mascherano upped thiet game bt they couldnt fit those shoes...
n if th club decided letting go him for their reasons am sure they learnt thier lesson

hope one day arudi kwenye Reds camp...him or Gerrand would be massive.
 
hahaha ila bora Barry bana kuliko Aqualani..hehe..wakati mwingine makocha pia ni binadamu hivyo Rafa hakujua he was losing such a talented guy without like for like replacement...Lucas n Mascherano upped thiet game bt they couldnt fit those shoes...
n if th club decided letting go him for their reasons am sure they learnt thier lesson

hope one day arudi kwenye Reds camp...him or Gerrand would be massive.

I stand to be correct when I say NO to Gerrard.....

Mkuu kumbuka Gerrard ni Scourser akipewa timu basi tujiandae na Kina Henderson na Milner wakijaa katika timu kama kipindi cha kina Charlie Adam na Downing.

Huyu bora Apewe cheo chochote katika timu lakini sio Bench la ufundi.
 
I stand to be correct when I say NO to Gerrard.....

Mkuu kumbuka Gerrard ni Scourser akipewa timu basi tujiandae na Kina Henderson na Milner wakijaa katika timu kama kipindi cha kina Charlie Adam na Downing.

Huyu bora Apewe cheo chochote katika timu lakini sio Bench la ufundi.

Yanajirudia kama yale mambo ya kumsajili Andy Carol kwa £35m, Suarez £22m.

Mpaka leo najiuliza aliye idhinisha ile transfer ya Carol simwelewi.
 
Unadhan Everton alivyokufumua wewe basi atawafumua wote?, wewe una kipa pazia , kwahiyo lazima ufumuliwe

Njoo kesho ushuhudie Everton anavyokufa kwa sex football

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Mkuu tumeiona sex futbo😆😆😆😆😆 Alazwe pema Everton.😢
 
Unadhan Everton alivyokufumua wewe basi atawafumua wote?, wewe una kipa pazia , kwahiyo lazima ufumuliwe

Njoo kesho ushuhudie Everton anavyokufa kwa sex football

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Sawa mkuu, tutakuja hiyo kesho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuna mpango wa kushinda hiyo mech unayolazimisha tushinde. Huo mpango hatuna na top 4 tutaingia..wew utaona

Mkipigwa na Man City top four itakuwa mzigo wa chuma maana Tottenham ana mechi ngumu moja tu(Chelsea) na ndie anapossibility kubwa ya kuwa top four kuliko wote mliobaki akifuatiwa na Arsenal

Pigweni na ManCity kama hamjaenda pamoja na Chelsea Europa(Chelsea Europa lazima aende imebaki confirmation tu ya nyinyi pia kuungana na Chelsea huko futuhi)
 
Unadhan Everton alivyokufumua wewe basi atawafumua wote?, wewe una kipa pazia , kwahiyo lazima ufumuliwe

Njoo kesho ushuhudie Everton anavyokufa kwa sex football

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba

Hongera kwa utabiri wako uliotukuka. Hakika sex football imefanya kazi jana pale Godson Park
 
hahaha ila bora Barry bana kuliko Aqualani..hehe..wakati mwingine makocha pia ni binadamu hivyo Rafa hakujua he was losing such a talented guy without like for like replacement...Lucas n Mascherano upped thiet game bt they couldnt fit those shoes...
n if th club decided letting go him for their reasons am sure they learnt thier lesson

hope one day arudi kwenye Reds camp...him or Gerrand would be massive.
Hahahaha mkuu.. Aquilani was miles better than Gareth Barry(on my view) sema naona tatizo la Aquilan alikua prone injury na hakupewa muda kuprove... Ila Gareth Barry angeiganda Liverpool mpaka sasa hivi maana waingereza wakishafikaga hiz big clubs hawaez kuondoka hata mpira ukiwakataa
 
Jurgen Klopp insists while Van Dijk has grown in confidence since moving to Merseyside, he has actually not improved as a player since his time at Southampton.

"He had really good games with us, we qualified for the Champions League so that all helps. As confident as you are, you are still a little bit, not insecure, but you don’t know 100 per cent.

"But now it is clarified, the level he is at. He was the same level at Southampton, but the whole world was not watching."

Do you agree?
 
Unadhan Everton alivyokufumua wewe basi atawafumua wote?, wewe una kipa pazia , kwahiyo lazima ufumuliwe

Njoo kesho ushuhudie Everton anavyokufa kwa sex football

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
We kigori na umemkatikia vizuri Everton. Kweli nimeiona sex football umedata kwenye mageto ya watu ukapewa cha maana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jurgen Klopp says his Liverpool players are desperate to write new chapters in the club’s history as their pursuit of domestic and European double continues.

Liverpool face Porto at Anfield in the first leg of their Champions League quarter-final.

Although it has been overshadowed by Manchester City’s quadruple bid, the club is seeking to match the achievements in 1977 and 1984, when Bob Paisley and Joe Fagan lifted the league title and European Cup.

“It’s such a good time. It’s warm outside, spring is coming and we are in two big competitions,” said Klopp.

“We have to use the situation. We have not finished the season, we have not finished our development. We want to write a few proper things in our book this season.

“We feel in a good moment, we feel that each of our players is fantastic, we feel the future could be - maybe not ours alone - but we could be a hand in the future of football. That’s what we try to do but I’m not interested in this moment in players from other clubs, I’m only interested in my boys.

“We are on fire. In training you can see we are really in a good moment, but other teams are as well. We all play for a lot. You will see tomorrow night that Porto really wants to go through. It will be a tough one, but that’s how it should be.

“To be in the situation we are in, we had to win all the games pretty much. We are used to this, but it doesn’t make the job easier.

“I cannot go into a meeting and say ‘OK boys, we are in a position where we have to win all the games’. It doesn’t work like that. We have to be spot on, recover between the games, prepare the boys and let them go again.”
 
Habari za chini chini, zinasema Klopp amesign mkataba mwingine wa miaka mitatu..

Mkataba wake wa awali ulikuwa unaisha 2022, so kama kaongeza mkataba itakuwa ni mpaka 2025.

Bado haijawa confirmed, na sina uhakika nayo kwa 100%, but lets wait and see kitakachotokea huko mbele.
 
Press
IMG_20190408_210223.jpeg
IMG_20190408_210249.jpeg
IMG_20190408_210243.jpeg
IMG_20190408_210239.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom