Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hongereni Liverpool Halisi na Wakereketwa kwa kuingia 1/4Fainali
Ila ile kona ya Milner ilikuwa superb yaani ilipimwa na ruler mpaka kwenye kichwa cha VVD
Hata hivyo mshukuruni MUngu sana kwa Henderson kuumia kipindi cha kwanza, maan mlishalemewa ila alipoingia Fabinho mkafufuka
Ila nadhani Matip akiendelea na quality hii atawagharimu sana
Siwezi kumfault Matip sana kwa ile OG. Labda naweza kusema kipa hakuwa na anticipation, may be ni kwa kutokujua kama Gnabry atapiga cross au ata shoot golini. He had to protect the near post.

Matip had no chance either way maana hata angeumiss ule mpira ilikua iwe simple tap-in kwa Lewandowski.

Kitu pekee naona Matip anatakiwa ku improve ni zile reckless challenges sehemu ambazo hazina hatari na pia anapo drive forward ana tabia ya ku misplace pass alafu ubaya unakuta ni sideway pass ambayo ikiwa intercepted na pro active player ni hatari maana tayari ameacha gap defense inakuwa exposed.

All ina all namsifu Matip. He's stepped in real well when needed the most. Namuona yupo calm kuliko hata Lovren.

To me ni bora acheze VvD na Matip kuliko acheze na Lovren.
 
Kuna mahala nilimuombea injury after game ya burnley nilipata shambulio hadi nikafuta comment

Ulifuta comment wakati Salah yako ilishaenda?
Asante kwa kwa Salah yako imefanya yule Boya akose mchezo wa Jana na tukapata points 3.

NOTE:
Kwa Mara ya Kwanza UCL 2018/19 tunashinda AWAY baada ya kucheza bila ya Hendo.
 
Timu za uingereza lazima wazikutanishe, napenda mpewe manyua ili muwape kipigo kikali na kelele mtaani ziishe

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani lazima kuna all English fixture hapa.

Man City nadhani ndio team itakayokuwa inapigiwa upatu zaidi mpaka stage hii. Nawatamani sana lakini naomba wapewe hata Barca watufuane kwanza ili kama hatuwezi kumkwepa tukutane nae kwenye nusu fainali au fainali huko tutifuane vizuri maana kwenye EPL nako mpaka kufikia stage hiyo kutakuwa kumenoga sana.


Liverpool winning the double this season. I can't wait.
 
433 away at home in big games


Fabinho atakuwa dropped tu.

But today, he proved him wrong.

He carried Milner and Gini in that MF and show them how to master the big games, away at home.


And guess what? Its our first away win this season kwenye CL.

So;-

Gini/Hendo/Milner - 0 wins


Faby/Gini/Milner - 1 win

Whether you believe or not his performance yesterday will not convince Klopp to give him a chance in next big games as long as Hendo and Milner are at the Clubs.
 
Siwezi kumfault Matip sana kwa ile OG. Labda naweza kusema kipa hakuwa na anticipation, may ni kwa kutokujua kama Gnabry atapiga cross au ata shoot golini. He had to protect the near post.

Matip had no chance either way maana hata angeumiss ule mpira ilikua iwe simple tap-in kwa Lewandowski.

Kitu pekee naona Matip anatakiwa ku improve ni zile reckless challenges sehemu ambazo hazina hatari na pia anapo drive forward ana tabia ya ku misplace pass alafu ubaya unakuta ni sideway pass ambayo ikiwa intercepted na pro active player ni hatari maana tayari ameacha gap defense inakuwa exposed.

All ina all namsifu Matip. He's stepped in real well when needed the most. Namuona yupo calm kuliko hata Lovren.

To me ni bora acheze VvD na Matip kuliko acheze na Lovren.
Bila of ingekua tatu bila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulifuta comment wakati Salah yako ilishaenda?
Asante kwa kwa Salah yako imefanya yule Boya akose mchezo wa Jana na tukapata points 3.

NOTE:
Kwa Mara ya Kwanza UCL 2018/19 tunashinda AWAY baada ya kucheza bila ya Hendo.
Kutoka kwa Henderson kumeisaidia timu maana fabinho in moto wa kuotea mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG-20190314-WA0001.jpeg
 
I guess Kocha wao atalalamika injury ya Hendo ndo imewa cost teh teh teh

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu World Class Coach yeyote kwa Jana anapaswa kuilalamikia injury ya Hendo Jana kuwa iliwakosesha Bayern ushindi...

Guess angelikuwemo Hendo unadhani kina Martinez, Rodriguez na Lewando Jana wangelituacha salama? Yani kwa Hendo na Milner Wangelijitawalia tu pale kati!

Lakini baada ya kuumia Hendo na kuingia Fabinho Plan yao imeharibika na wakashindwa kuicontrol Midfield.
 
Hongereni Liverpool Halisi na Wakereketwa kwa kuingia 1/4Fainali
Ila ile kona ya Milner ilikuwa superb yaani ilipimwa na ruler mpaka kwenye kichwa cha VVD
Hata hivyo mshukuruni MUngu sana kwa Henderson kuumia kipindi cha kwanza, maan mlishalemewa ila alipoingia Fabinho mkafufuka
Ila nadhani Matip akiendelea na quality hii atawagharimu sana

Yani hili la kuumia Hendo ndiyo Story ya mjini coz ndiyo njia pekee iliyotuma ushindi Jana.

Matip yupo vizuri tu Mkuu!
Ile Jana kujifunga ni kuwa aliclear mpira under pressure ndiyomana ikapelekea kujifunga.

Ninachohofia ni kuwa mistake hile inaweza mfanya Klopp akamrudisha Lovren kikosini ambaye ndiye majanga makubwa ya timu yetu.
 
Mkuu World Class Coach yeyote kwa Jana anapaswa kuilalamikia injury ya Hendo Jana kuwa iliwakosesha Bayern ushindi...

Guess angelikuwemo Hendo unadhani kina Martinez, Rodriguez na Lewando Jana wangelituacha salama? Yani kwa Hendo na Milner Wangelijitawalia tu pale kati!

Lakini baada ya kuumia Hendo na kuingia Fabinho Plan yao imeharibika na wakashindwa kuicontrol Midfield.
Bayern hawana uwezo wa kuifunga Liverpool hata siku moja aiseeee hiyo sahau katika maisha yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani Man City anatembea kiujanja ujanja tu kukutana na vimeo tangu kwenye makundi, sijui hii imekaaje?
Yani lazima kuna all English fixture hapa.

Man City nadhani ndio team itakayokuwa inapigiwa upatu zaidi mpaka stage hii. Nawatamani sana lakini naomba wapewe hata Barca watufuane kwanza ili kama hatuwezi kumkwepa tukutane nae kwenye nusu fainali au fainali huko tutifuane vizuri maana kwenye EPL nako mpaka kufikia stage hiyo kutakuwa kumenoga sana.


Liverpool winning thr double this season. I can't wait.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kumfault Matip sana kwa ile OG. Labda naweza kusema kipa hakuwa na anticipation, may be ni kwa kutokujua kama Gnabry atapiga cross au ata shoot golini. He had to protect the near post.

Matip had no chance either way maana hata angeumiss ule mpira ilikua iwe simple tap-in kwa Lewandowski.

Kitu pekee naona Matip anatakiwa ku improve ni zile reckless challenges sehemu ambazo hazina hatari na pia anapo drive forward ana tabia ya ku misplace pass alafu ubaya unakuta ni sideway pass ambayo ikiwa intercepted na pro active player ni hatari maana tayari ameacha gap defense inakuwa exposed.

All ina all namsifu Matip. He's stepped in real well when needed the most. Namuona yupo calm kuliko hata Lovren.

To me ni bora acheze VvD na Matip kuliko acheze na Lovren.
Mkuu kuna sehemu ume flow hapo nkahisi kama naisikia sauti ya mwalimu Kashasha

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom