Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Hope MRI, Scan, X-Ray whatever it is reads positive for our mighty captain and so he stays out for 8 weeks.
Mane katuwakilisha vyema nchi 54 za Africa.
Mane katuwakilisha vyema nchi 54 za Africa.
Hope MRI, Scan, X-Ray whatever it is reads positive for our mighty captain and so he stays out for 8 weeks.
ni sahihi kabisa wakti TAA alikua off form ndogo alikua on fire...Mkuu wachezaji hawa ambao sio World class kuna vipindi wanakuwani off-form, hata TAA mwanzo wa huu msimu alikuwa ni shit player lakini sasahivi yupo vizuri
Sasa na huyu Robbo sasahivi ni shit lakini atarudi katika form kama TAA
Juve wana winner players kama Ronaldo. Liverpool pamoja na kuwa na talents mnamkosa MTU wa namna hii. Mtu ambaye anaweza kuwasaidia kubeba ubingwa hasa nyakati ambazo mnakuwa na pressure kubwa. Salah, Mane Firminho, Fabinho, Handerson, Keita, Gini, VvD, Alison, TAA, Robertson....are talents but can't win you a major trophy.
So mnahitaji nguvu ya ziada kumnock out mtu wenye watu aina ya Muller, Lewandoski na Boateng ambao wanajua how to win especially when it comes to these stages.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hapa unaona wazi kwenye mechi ya leo kuwa Maamuzi ya Klopp katika kupanga kikosi ndiyo yanayoamua mechi tushinde au tusishinde!
kulikuwa na sababu gani ya game ya leo kumuanzisha bench Fabinho?
Hivi asingeumia Hendo pale kati bil ya fabinho si tungetafutana!
Injury yake ni Baraka kwa Wanaliverpool dunia nzima.
Hope he will miss all the remaining fixtures
Hope MRI, Scan, X-Ray whatever it is reads positive for our mighty captain and so he stays out for 8 weeks.
Kwenye DRAW keshokutwa ndio mtihani.Watani hongereni naona mmemaliza vizuri vita ya chini chini kati ya mwingereza na jeremani maana wale O4 na dortmund nanyi mmetuwakilisha vyema .timu nne kuingiza robo sio dogo hilo? (In wapemba voice )