Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii team ipo sawa mkuu
Kopp katengeneza team nzuri sana
Ni kuzidi kuomba tu tusiwe na majeruhi
EPL ni yetu
mkuu kwenye epl kuna changamoto sana kwa kuwa mbali na sisi kushinda pia ni lazima man city apoteze point ndio tushinde epl halafu mbaya zaidi hatuna mechi na city ambayo labda ndio tungekomaa ili kumnyang'anya point sasa hii ya kutegemea timu nyingine ndio zimpotezee point inatucost sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nimefurahi sana na sababu kubwa mpira unaanza unaona Liver watulivu hakuna uwoga kabisa wanyeji ndio unaona hawako sawa wasiwasi. Tumewafanya Bayern waoenekane kama Schalke 04. Fab ni mchezaji mzuri sana japo kuna pass kama 2 alipiga vibaya katikati ilikuwa hatari kwa ujumla team nzima wamecheza kama vizuri na ilikuwa perfomance ya kiutu uzima hakuna mbwembwe ila kazi imefanyika. kuna watu wanasema Salah mchoyo, yes wakati mwingine ni sawa tu inakuonesha kujiamini lakini ile assist sio mchezo utasema imepimwa na Engineer ile inaitwa usijaribu nyumbani ahhhhhhh
 
Hongereni Liverpool Halisi na Wakereketwa kwa kuingia 1/4Fainali
Ila ile kona ya Milner ilikuwa superb yaani ilipimwa na ruler mpaka kwenye kichwa cha VVD
Hata hivyo mshukuruni MUngu sana kwa Henderson kuumia kipindi cha kwanza, maan mlishalemewa ila alipoingia Fabinho mkafufuka
Ila nadhani Matip akiendelea na quality hii atawagharimu sana
 
mkuu kwenye epl kuna changamoto sana kwa kuwa mbali na sisi kushinda pia ni lazima man city apoteze point ndio tushinde epl halafu mbaya zaidi hatuna mechi na city ambayo labda ndio tungekomaa ili kumnyang'anya point sasa hii ya kutegemea timu nyingine ndio zimpotezee point inatucost sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kaisha ishiwa nguvu
Liverpool akishinda games zake kubwa mbili home tunakuwa mabingwa
Tunatakiwa tumfunge Spurs aliye legea na rejuvenated Chelsea
Man City anategemea refa now kushinda game zake na April ana game tatu ndani ya siku 10 ambazo ni za Palace,Spurs na Man u!
EPL nadhani ni letu ,ni muda tu bado sababu sasa mbele hawa watatu 'wamechangamka'
 
Huyo kaisha ishiwa nguvu
Liverpool akishinda games zake kubwa mbili home tunakuwa mabingwa
Tunatakiwa tumfunge Spurs aliye legea na rejuvenated Chelsea
Man City anategemea refa now kushinda game zake na April ana game tatu ndani ya siku 10 ambazo ni za Palace,Spurs na Man u!
EPL nadhani ni letu ,ni muda tu bado sababu sasa mbele hawa watatu 'wamechangamka'
Mkuu naomba tukikutana na nyie msitufunge goli nyingi ..mtufunge goli chache tu ..ata mbili ivi, sio mbaya..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba tukikutana na nyie msitufunge goli nyingi ..mtufunge goli chache tu ..ata mbili ivi, sio mbaya..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndiyo mechi ambayo Liverpool inaweza tunyima ubingwa!
Chelsea sasa wamekuwa rejuvenated wanajua kucheza mpira!
Spurs anakaa easy kaisha choka,tukimfunga Chelsea tunakuwa mabingwa
Hawa Man City wata drop points kwa yyt kati ya CP,au Man U au Leicester au Spurs
Hawana nguvu tena,wanashindia ujanja ujanja tu
Hata robo final y UCL wameingia kiujanja ujanja tu hamna walio cheza na yyt yule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom