Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Need to stay out for the rest of the season.
Hahaha, VVD should be handed an armband during off season regardless of the results.
Need to stay out for the rest of the season.
Klopp katu-prove wrong.
Pongezi kwa kops wote, muwe na usingizi mnono.
YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
The sub made us Liverpool. Needed some impetus in the middle of the pitch.Need to stay out for the rest of the season.
If Hendo keeps the armband beyond this season i mighty ponder joining the "klopp out" bandwagonHahaha, VVD should be handed an armband during off season regardless of the results.
Hilo la kukutanishwa hata mimi nimeliona pia.Hongereni baada ya real kutoka kila team inaweza beba ndoo ila navyojua uefa walivyo na fitina lazima Team za epl zikutane
Yaani kila jamaa anapopangwa kuanza naangalia game huku naombea aumie.
Ikitokea majeruhi yake ikawa serious tunachukua EPL.
One of tougher draws we could get
Wale jamaa huwa hawana masihara kwenye UEFA, huwa wakitoka wametoka baada ya kuprove nao wana misuli
Hilo la kukutanishwa hata mimi nimeliona pia.
Watakutanishwa wawili, LIVERPOOL na MANCHESTER CITY
VVD vs Bayern:
1 Goal
1 Assist
Our Captain in All Competitions this season
0 Goal
0 Assist
Remember VVD is a Centre Half while our Captain is B2B Midfielder
Worst Captain ever
Wote tuseme Ahsante kwa injury ya Hendo..How bro?
If anything yeye ndiyo kajiprove wrong.
Hendo asingeumia, sahiv tungekuwa tunaongea mengine humu,
He had to change the entire set up baada ya Hendo kuumia.
Sie tunaeamini katika MUNGU, tunasema Mungu kamuonesha kitu leo kocha wetu.
He proved himself wrong.
i smell Spurs vs Majogoo wanaojuaJuve/Spurs/City/Porto/Ajax
Hope tutakutana na mmoja kati ya hao.
Liverpool wangepangwa na manure ili kelele ziishe kabisa..Kwenye DRAW keshokutwa ndio mtihani.
Watakutanishwa timu mbili za Mwingereza ili wapungazane kwanza.
Utabiri wangu LIVERPOOL atakutanishwa na MANCHESTER CITY
Wote tuseme Ahsante kwa injury ya Hendo..
That faby battle with Alcantara Toe to toe
helped vvd & matip to disallow shots from Lewando...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitafurahi sanaHilo la kukutanishwa hata mimi nimeliona pia.
Watakutanishwa wawili, LIVERPOOL na MANCHESTER CITY
They wont understand this bro.
PREACH IT TO THEM
HAHAHAHAHAHAHAHAHA
LOUDERRRRRRRRRRRR