Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

LETS REMIND OURSELVES FELLAS.

IMG_1552244690.669699.jpg


DETAILS!
IMG_1552244791.072658.jpg
 
March
√ 17 – Fulham (A)
√ 31 – Tottenham Hotspur (H)

April
√ 5 – Southampton (A)
√ 14 – Chelsea (H)
√ 21 – Cardiff City (A)
√ 27 – Huddersfield Town (H)

May
√ 4 – Newcastle United (A)
√ 12 – Wolverhampton Wanderers (H)
 
Dude, managers are there to lead players, wachezaji wanacheza uwanjani kutokana na directions za manager, manager ndio anaamua structure ya mchezo.

You cant blame players kwa ubovu wa tacticts za kocha, na huwezi kufananisha mafanikio ya kocha na yale ya mchezaji katika football.

Klopp as a manager, hata akiondoka leo atakumbukwa kwa kuipeleka LFC kwenye CL final (that is his trademark as LFC manager mpaka sasa).

Klopp will always get criticized for team selections/technical approaches/trusting shit players/not winning trophies etc, because he’s a manager.

Salah, will always get criticized for not scoring goals.

You see the differences hapo? Mwenye jukumu kubwa la kuhakikisha team inashinda trophies ni KLOPP siyo SALAH, because hata iweje salah always atacheza na kua-dopt kulingana na matakwa ya kocha. So the entire team inaposhindwa kudeliver anayekuwa responsible ni Manager, siyo mchezaji.

then...why am i dismissing (huwa simkosoi) Hendo on daily basis na alikuwa na msimu mzuri 2013/14, well first off he had a decent season, then amekuja LFC 2012, so apart na decent season aliyokuwa nayo 13/14, ameendelea kuwa average and useless player mpaka sasa, it amazes me kuona unashangaa mimi kum-dismiss mchezaji ambaye for the last three seasons playing as a B2B and a regular in a team ana goals 2 na assists 2, na unapata tabu kuelewa kwanini nasema its not fair to dismiss Salah ambaye in the last two season ana goals zaidi ya 50 na ame-impact status ya team kwa kiasi kikubwa sana, so why should i dismiss him for his bad patch for this past few weeks? Salah angekuwa ni useless player for the last 5 seasons ningekuwa nam-dismiss kila siku pia in this platform, but he’s not a all, he has scored 17 goals na ametoa pass za magoal 7 (more than Hendo in last 3 season playing as 2nd number 10), unataka nim-dismiss?

Criticizing and dismissing ni vitu viwili tofuati, if you want to crticize a player without dismissing him, angalia na jifunzeni kupitia posts za M-mbabe, you cant be dismissing mchezaji aina ya Salah kwa kisingizio cha crticizm and ukadhani watu hawata-notice.

And lastly, i crticize Klopp a lot, but i’ve never dismissed him (wanting him out etc), because i acknowlegde alichoifanyia LFC mpaka sasa.

I dismiss Hendo/Lovren/Lallana etc because they have done nothing for this team tangu waje at LFC, plus we didnt sign them for cheap at all, Hendo was decent in 14 (thats it), Lallana had 3 good months in 16/17, and what about Lovren? so why should i not dismiss these players?

VVD can have few bad weeks, and i will crticize him to boost his morale but i will never try to dismiss him and disrespect him at all, same to Fabinho/Mane/Alisson/Salah/Firmino etc. because i know what they can do wakiwa kwenye form.
well spoken.

let's criticise our team, let's not belittle them!
 
Its time to step up on the gas again!! The lads have got to give their best
 
Wewe Msenge! Kwani huwezi kueka mawazo yako hapa bila ya kuingilia ya Mtu? Au unaona hii JF ni ya Mamako kama mpaka tupost anachotaka mamako?

Kwanza Mimi sikuquote na wewe usiniquote

Tusitafutiane Ban za kijinga

Wewe andika unachotaka na Mimi naandika ninachotaka usiniletee mambo ya kishoga hapa

Mimi Siku nyingi nakuangalia tu na usenge wako

Hebu achana na Mimi Fala Mkubwa wewe hii Liverpool si ya Mamaako wala Babaako

Mr Trash!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Baada ya "Nani hayaogopi majogoo" kuwa "Nani anayaogopa majogoo" imebidi apunguze.

Maana hata kumtetea Hendo na kusema Klopp is better than Pep hawezi tena.

Klopp anachukua EPL
Weka nusu ya hela ninayo weka mm
Tumpe mtu ashike
Kama ni laki 5 ww toa laki mbili na nusu tu.
Klopp is better than Pep tena sio hata close!
Refa watachoka kuwabeba Man City na muda si mrefu toka sasa!We beat Spurs and Chelsea home,we are EPL champs.
Hendo is our Captain,mtu anaye aminiwa na klopp mm naweza kuwa na wasi wasi nae?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Klopp is better than Pep tena sio hata close!

Sent from my iPhone using JamiiForums

Kwa jinsi ninavyoiamini reasoning yangu, na kwa jinsi ambavyo ninaamini kuna watu wanaamini kwamba nina akili timamu.

Ni aibu kwangu na kwa watu wanaoniamini kukutwa ninabishana na mtu anayeamini hicho nilichoki-quote.

It's a disgrace to football fans and to the game itself to even put them into the same class.
 
Wakuu hongereni kwa kupambania kombe ila huyu ndugu yenu Salah ninawahakikishia kuchelewa kufanya maamuzi kutawaghalimu sana ingekuwa Big mechi tusingeona goli la la pili la Mane na la tatu la Bobi mabeki wangeokoa yeye angeendelea kupiga usingizi.

Football is team work, everyone is there to cover each one's back.

It ain't a concern to us as much as he is attributing in other way.
 
Kwa jinsi ninavyoiamini reasoning yangu, na kwa jinsi ambavyo ninaamini kuna watu wanaamini kwamba nina akili timamu.

Ni aibu kwangu na kwa watu wanaoniamini kukutwa ninabishana na mtu anayeamini hicho nilichoki-quote.

It's disgrace to football fans to even put them into the same class.

Nilidhani nimeona peke yangu kumbe na wewe umeona?
 
√ Southampton
√ Spurs
√ Chelsea


Hizi mechi si za kuzibeza hata kidogo
Tusihadaliwe na performance ya jana
Burnley mara hii hawana msimu mzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom