Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ingawa tumeshinda lakini hata hivyo bado creativity ni tatizo kwenye Midfielders na ndiyomana Magoli yote unayakutia ni Front three ndiyo wanayacreate wenyewe na kuyafunga wenyewe.

Mido inashindwa kuwa-assist wafungaji.

Marekebisho bado yanahitajika
 
J.5 itakuwa siku ngumu Sana wale jamaa ilitakiwa tuwabonde hata kimoja huku kwetu ili waanze kwa kupanik kwao Kama msimu uliopita tulivyompiga man City nje ndani uefa...Maana naona Kama na wao(Bayern) gari lao limewakia kilimani..
Ni mawazo tu Ila naliombea chama la wana likafanye makubwa Kama ilivyo kawaida yetu inapokuwa gemu ngumu(kasoro fainali)..

#inkloppwetrust#
YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aguero na Kane ni habari nyingine ishu wote pancha...Salah angekua makini na goli mpaka sasa angekua na 20+ Epl goals..

his dribbling is lacking final touch na pia ni kama makipa washamjulia anakopiga akikimbia na mpira zile goli za msimu uliopita hapati tena na mabeki nao wanakomaa mbaya hapumui..
True dat mkuu...nahisi hata mane nae atampita maana imebaki goli Moja tu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni UPUUZI mno kuchagua wachezaji wa kuwakashifu hata kabla game haijachezwa!
Ona sasa Lallana alivyo watia aibu ‘macho kuvimba’ leo!
Criticize wachezaji wako fairly itakupa sana heshima hapa!
We are Liverpool,in Klopp we trust!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Aguero na Kane ni habari nyingine ishu wote pancha...Salah angekua makini na goli mpaka sasa angekua na 20+ Epl goals..

his dribbling is lacking final touch na pia ni kama makipa washamjulia anakopiga akikimbia na mpira zile goli za msimu uliopita hapati tena na mabeki nao wanakomaa mbaya hapumui..

Cant believe you’ve quoted a dude who thinks for a ST to be a top scorer ni lazima TEAM nayo ibebe Kombe.

Some people wanakuwa na weird opinions man.

I mean we all have our opinions but kwenye platforms kama hizi ni lazima ujue jinsi ya ku-limit the extent of your opinions, ili usionekane “ignorant” au “kituko” kwa watu wazima wenzako.

These people were calling Mane names when he was off-form earlier this season, and now they are worshipping him, fast-forward, Salah is off-form now and the same people are calling him names.

I hate these kinda fans.
 
Ingawa tumeshinda lakini hata hivyo bado creativity ni tatizo kwenye Midfielders na ndiyomana Magoli yote unayakutia ni Front three ndiyo wanayacreate wenyewe na kuyafunga wenyewe.

Mido inashindwa kuwa-assist wafungaji.

Marekebisho bado yanahitajika

Trash from Mr Trash!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ni UPUUZI mno kuchagua wachezaji wa kuwakashifu hata kabla game haijachezwa!
Ona sasa Lallana alivyo watia aibu ‘macho kuvimba’ leo!
Criticize wachezaji wako fairly itakupa sana heshima hapa!
We are Liverpool,in Klopp we trust!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Naona mzee wa Klopp is better than Pep ushatia timu.

Nani hayaogopi Majogoo?
 
Aguero na Kane ni habari nyingine ishu wote pancha...Salah angekua makini na goli mpaka sasa angekua na 20+ Epl goals..

his dribbling is lacking final touch na pia ni kama makipa washamjulia anakopiga akikimbia na mpira zile goli za msimu uliopita hapati tena na mabeki nao wanakomaa mbaya hapumui..

Mkuu hata hao wengine walikuwa wanafanya vibaya walivyokuja kwenye epl misimu yao ya kwanza na ya pili ,sasa hivi target ya kwanza inakuwa kwa salah ndio maana hata wachezaji wengine wanafunga. Msimu ujao salah atafanya tu vizuri.mkuu na pia angalia wanavyomkaba salah na mane,wanavyomkaba salah kama wanaugomvi nae .


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cant believe you’ve quoted a dude who thinks for a ST to be a top scorer ni lazima TEAM nayo ibebe Kombe.

Some people wanakuwa na weird opinions man.

I mean we all have our opinions but kwenye platforms kama hizi ni lazima ujue jinsi ya ku-limit the extent of your opinions, ili usionekane “ignorant” au “kituko” kwa watu wazima wenzako.

These people were calling Mane names when he was off-form earlier this season, and now they are worshipping him, fast-forward, Salah is off-form now and the same people are calling him names.

I hate these kinda fans.
Punguza ujinga hata kidogo ili uende mbinguni...kingereza kingi halafu unaongea pumba tu...
Wapi mtu kasema ukiwa top scorer lazima timu ichukue kitu!!?uwe unasoma unaelewa kwanza sio unakurupuka tu!!!
Mtu akiwa anazingua lazima asemwe na anayefanya vizur lazima asifiwe Sasa unataka tusimfie mane tuendelee kumsifia Salah na mauxauza yote anayofanya una akili kweli ewew!!?
NB..tuliuliza mtu Kama atamaliza top scorer na timu haijachukua chochote sisi mashabiki tunafurahia nn!!?an weka kumbukumbu msimu huu hawezi kuchukua huo utop scorer kwa madudu anayofanya..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni UPUUZI mno kuchagua wachezaji wa kuwakashifu hata kabla game haijachezwa!
Ona sasa Lallana alivyo watia aibu ‘macho kuvimba’ leo!
Criticize wachezaji wako fairly itakupa sana heshima hapa!
We are Liverpool,in Klopp we trust!


Sent from my iPhone using JamiiForums

There u are, Mashabiki wenu wanaongoza sana kuwasema wachezaji wenu mpaka unajiuliza hivi huyu kweli ni shabiki au mamluki?..

Wanasahau mchezaji naye ni binaadam hawezi kua form wakati wote, kuna wakati anaweka kuwa on peak na kuna wakati anaweza kuwa flop. Kikubwa ni kumsupport na kusupport team katika hali zote

Sometimes nahisi watu wanakuaga na stress zao wenyewe wakija humu stress zote wanawamalizia wachezaji

All in all, Nani hayaogopi Majogoo?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Punguza ujinga hata kidogo ili uende mbinguni...kingereza kingi halafu unaongea pumba tu...
Wapi mtu kasema ukiwa top scorer lazima timu ichukue kitu!!?uwe unasoma unaelewa kwanza sio unakurupuka tu!!!
Mtu akiwa anazingua lazima asemwe na anayefanya vizur lazima asifiwe Sasa unataka tusimfie mane tuendelee kumsifia Salah na mauxauza yote anayofanya una akili kweli ewew!!?
NB..tuliuliza mtu Kama atamaliza top scorer na timu haijachukua chochote sisi mashabiki tunafurahia nn!!?an weka kumbukumbu msimu huu hawezi kuchukua huo utop scorer kwa madudu anayofanya..

Sent using Jamii Forums mobile app

“ila kama unamaliza msimu huku timu yako ikiambulia PATUPU, sisi mashabiki hautusaidii kitu”

So hiyo kauli direct meaning yake ni ipi Sir?
 
Salah watu tunamtetea Sana ila kiukweli anatuangusha hata goli la tatu alikuwa ashazidiwa na beki ni juhud binafsi tu firmino kuuwahi mpira...
Sijui kwann roho yangu huwa inamkubali Sana mane kuliko Salah naonaga kama anapewa sifa kupitiliza ila ukiangalia upambanaji hapo mbele mane anapambana Sana...

Sent using Jamii Forums mobile app

Kukubalika kwa salah ni maajabu aliyoyafanya msimu ulipita mkuu kuwa na magoli mengi kwenye ligi ya epl kuanzia dunia iumbwe ,

Msimu ulipita mane alikuwa apambani sana hadi klopp alikuwa anamuweka bench au anamtoa amalizi mechi,msimu huu amekuja moto sana na anaonesha uhai kwenye timu.kama mechi ijayo atafunga tena basi nauwakika ana kwenda kuchukua hiki kiatu cha ufungaji bora


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom