Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Understood, but dude let the ground to be free for other kopites kutema nyongo zao wasipozitema hapa wateme wapi? Watu wanakua frustrated pale tunaongoza kwa gap ya point saba ila mwisho tunachezea nafasi na kuanza kufukuzia nyuma nyuma, acha watu watapike maana salah kawaumiza kukosa zile chances dhidi ya everton pamoja na kupotea dhidi ya manure moja ya games muhimu kwelikweli kwa msimu huu LET THEM SPIT BRUH!

kote hakufai

Its a free platform my man

Been called every sort of names kwa kushare my opinions on this platforms man, haijawahi kuwa rahisi man

But, nilichojifunza kwenye hii thread ni kujaribu kuwa na limitation ya opinions, maana kuna watu wa aina tofauti sana kwenye hizi platforms.

Cha msingi ni kujaribu kuwa reasonable kwa kile tunachojaribu kukitetea.
 
Understood, but dude let the ground to be free for other kopites kutema nyongo zao wasipozitema hapa wateme wapi? Watu wanakua frustrated pale tunaongoza kwa gap ya point saba ila mwisho tunachezea nafasi na kuanza kufukuzia nyuma nyuma, acha watu watapike maana salah kawaumiza kukosa zile chances dhidi ya everton pamoja na kupotea dhidi ya manure moja ya games muhimu kwelikweli kwa msimu huu LET THEM SPIT BRUH!

kote hakufai
An huo ndio ukweli mkuu...tunamsema mchezaji ili abadilike Sasa mtu anàtaka tuseme abavyotaka yeye tu ushawahi kuona wapi!!!?
Mchezaji wetu anaharibu tusiseme eti waseme mashabiki wa timu pinzani jaah ni ushabiki wa wapi!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupoteza kwa man u leo is sounding like a gud news to us, their next fixture is against man city mechi ambayo sidhani kama OGS atakubali kupoteza kirahisi rahisi. The way to the top of the league is loading hahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom