Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huo Ni ukweli mkuu...ila hata mara nyingi napoonaga unawakosoa wachezaji wakina hendo na wengine huwa nakuwa mpnz msomaji kwa sababu najua unachotaka Ni mazur kutoka kwao na sio kwamba huwapendi an kwa mfano Leo llallana ulianza kwa kumponda lkn ulipoona amefanya vizur mbona ukampa sifa yake...TATIZO NI PALE MTU ANAPOKATAZA MTU ASISEMWE KISA ASHAWAHI KUFANYA MAZUR HILO BINAFSI NDIO SIWEZI KUKUBALI....

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi ninachojua humu kila mtu anatazama mpira kivyake na anauona kivyake!
So, sote hatuwezi kufanana kimtazamo Bali lazima tutofautiane na ndiyomana Mimi Mshabiki wa Liverpool ata aseme chochote kulingana na anavyomuona mchezaji huwa namkosoa tu lakini simpigi madongo na kuanza kumshambulia mtu huyo.

Kinachoniudhi ni pale ninapoeleza Mimi mawazo yangu kuhusiana na Kocha au Mchezaji halafu anatokea mtu from nowhere badala ya kuargue anaanza dharau na kuniletea ujinga.
 
Ukisema uangalie ya nyuma nani wa kumkosoa mourinho?, klopp?. Muda mwingine unaongea kauli huku we mwenyewe unajipinga, bro kabla ya klopp tulifika final uefa lini? Kwa mantiki hiyo klopp naye hapaswi kuguswa hata kidogo maana kafanya makubwa ukizingatia wakati mgumu tuliopitia, HIVI INAKUAJE USITOE LAWAMA KWA MTU ANAYEKABIDHIWA JUKUMU KUBWA LA KUIBEBA TIMU WAKATI MUHIMU HALAFU ANASHINDWA KIZEMBE?, ifike mahali uwe wa mfano mbona unamdiss hendo wakati alikua na mchango mkubwa msimu wa 2013/14 tunakoseshwa ubingwa na gerrald slippery, aaaaah?

kote hakufai

Dude, managers are there to lead players, wachezaji wanacheza uwanjani kutokana na directions za manager, manager ndio anaamua structure ya mchezo.

You cant blame players kwa ubovu wa tacticts za kocha, na huwezi kufananisha mafanikio ya kocha na yale ya mchezaji katika football.

Klopp as a manager, hata akiondoka leo atakumbukwa kwa kuipeleka LFC kwenye CL final (that is his trademark as LFC manager mpaka sasa).

Klopp will always get criticized for team selections/technical approaches/trusting shit players/not winning trophies etc, because he’s a manager.

Salah, will always get criticized for not scoring goals.

You see the differences hapo? Mwenye jukumu kubwa la kuhakikisha team inashinda trophies ni KLOPP siyo SALAH, because hata iweje salah always atacheza na kua-dopt kulingana na matakwa ya kocha. So the entire team inaposhindwa kudeliver anayekuwa responsible ni Manager, siyo mchezaji.

then...why am i dismissing (huwa simkosoi) Hendo on daily basis na alikuwa na msimu mzuri 2013/14, well first off he had a decent season, then amekuja LFC 2012, so apart na decent season aliyokuwa nayo 13/14, ameendelea kuwa average and useless player mpaka sasa, it amazes me kuona unashangaa mimi kum-dismiss mchezaji ambaye for the last three seasons playing as a B2B and a regular in a team ana goals 2 na assists 2, na unapata tabu kuelewa kwanini nasema its not fair to dismiss Salah ambaye in the last two season ana goals zaidi ya 50 na ame-impact status ya team kwa kiasi kikubwa sana, so why should i dismiss him for his bad patch for this past few weeks? Salah angekuwa ni useless player for the last 5 seasons ningekuwa nam-dismiss kila siku pia in this platform, but he’s not a all, he has scored 17 goals na ametoa pass za magoal 7 (more than Hendo in last 3 season playing as 2nd number 10), unataka nim-dismiss?

Criticizing and dismissing ni vitu viwili tofuati, if you want to crticize a player without dismissing him, angalia na jifunzeni kupitia posts za M-mbabe, you cant be dismissing mchezaji aina ya Salah kwa kisingizio cha crticizm and ukadhani watu hawata-notice.

And lastly, i crticize Klopp a lot, but i’ve never dismissed him (wanting him out etc), because i acknowlegde alichoifanyia LFC mpaka sasa.

I dismiss Hendo/Lovren/Lallana etc because they have done nothing for this team tangu waje at LFC, plus we didnt sign them for cheap at all, Hendo was decent in 14 (thats it), Lallana had 3 good months in 16/17, and what about Lovren? so why should i not dismiss these players?

VVD can have few bad weeks, and i will crticize him to boost his morale but i will never try to dismiss him and disrespect him at all, same to Fabinho/Mane/Alisson/Salah/Firmino etc. because i know what they can do wakiwa kwenye form.
 
Henderson and Co are viewed as shit players and they always getting crticized for they poor perfomances..

But guess who gets the most crticism for peaking them?

Guess who gets the most crticism if the team lose?

Dont compare salah to Klopp when it comes to crticizms, KLOPP is and will always be the symbol of LFC now, if we dont win the league people will look back at his mistakes etc and not discussing about Salah missend chances, because in football it very normal kuwa na bad-patch hasa kwa mchezaji ambaye anacheza every week.
 
Dude, managers are there to lead players, wachezaji wanacheza uwanjani kutokana na directions za manager, manager ndio anaamua structure ya mchezo.

You cant blame players kwa ubovu wa tacticts za kocha, na huwezi kufananisha mafanikio ya kocha na yale ya mchezaji katika football.

Klopp as a manager, hata akiondoka leo atakumbukwa kwa kuipeleka LFC kwenye CL final (that is his trademark as LFC manager mpaka sasa).

Klopp will always get criticized for team selections/technical approaches/trusting shit players/not winning trophies etc, because he’s a manager.

Salah, will always get criticized for not scoring goals.

You see the differences hapo? Mwenye jukumu kubwa la kuhakikisha team inashinda trophies ni KLOPP siyo SALAH, because hata iweje salah always atacheza na kua-dopt kulingana na matakwa ya kocha. So the entire team inaposhindwa kudeliver anayekuwa responsible ni Manager, siyo mchezaji.

then...why am i dismissing (huwa simkosoi) Hendo on daily basis na alikuwa na msimu mzuri 2013/14, well first off he had a decent season, then amekuja LFC 2012, so apart na decent season aliyokuwa nayo 13/14, ameendelea kuwa average and useless player mpaka sasa, it amazes me kuona unashangaa mimi kum-dismiss mchezaji ambaye for the last three seasons playing as a B2B and a regular in a team ana goals 2 na assists 2, na unapata tabu kuelewa kwanini nasema its not fair to dismiss Salah ambaye in the last two season ana goals zaidi ya 50 na ame-impact status ya team kwa kiasi kikubwa sana, so why should i dismiss him for his bad patch for this past few weeks? Salah angekuwa ni useless player for the last 5 seasons ningekuwa nam-dismiss kila siku pia in this platform, but he’s not a all, he has scored 17 goals na ametoa pass za magoal 7 (more than Hendo in last 3 season playing as 2nd number 10), unataka nim-dismiss?

Criticizing and dismissing ni vitu viwili tofuati, if you want to crticize a player without dismissing him, angalia na jifunzeni kupitia posts za M-mbabe, you cant be dismissing mchezaji aina ya Salah kwa kisingizio cha crticizm and ukadhani watu hawata-notice.

And lastly, i crticize Klopp a lot, but i’ve never dismissed him (wanting him out etc), because i acknowlegde alichoifanyia LFC mpaka sasa.

I dismiss Hendo/Lovren/Lallana etc because they have done nothing for this team tangu waje at LFC, plus we didnt sign them for cheap at all, Hendo was decent in 14 (thats it), Lallana had 3 good months in 16/17, and what about Lovren? so why should i not dismiss these players?

VVD can have few bad weeks, and i will crticize him to boost his morale but i will never try to dismiss him and disrespect him at all, same to Fabinho/Mane/Alisson/Salah/Firmino etc. because i know what they can do wakiwa kwenye form.
Labda wengine hatuelewi kingereza hivi kusema mchezaji Fulani kipindi hiki hafanyi vizuri Kama mwanzo huko Ni kumdissmiss!?? Au hafungi Kama mwanzo napo Ni kumdissmiss!!?
Mtu anakosolewa pale anapofanya vibaya hiyo Ni popote na hasa kwenye mpira...HAKUNA POPOTE MTU KASEMA SALAH HASICHEZE AU ATOLEWE....TUNAHOJI KIWANGO CHAKE NI HILO TU...

ILA KAMA EWEW HUTAKI TUHOJI KWA KISINGIZIO CHA MAFANIKIO YA NYUMA BASI JIPIME MKUU NA USHABIKI AU MAPENZI YAKO KWA LFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda wengine hatuelewi kingereza hivi kusema mchezaji Fulani kipindi hiki hafanyi vizuri Kama mwanzo huko Ni kumdissmiss!?? Au hafungi Kama mwanzo napo Ni kumdissmiss!!?
Mtu anakosolewa pale anapofanya vibaya hiyo Ni popote na hasa kwenye mpira...HAKUNA POPOTE MTU KASEMA SALAH HASICHEZE AU ATOLEWE....TUNAHOJI KIWANGO CHAKE NI HILO TU...

ILA KAMA EWEW HUTAKI TUHOJI KWA KISINGIZIO CHA MAFANIKIO YA NYUMA BASI JIPIME MKUU NA USHABIKI AU MAPENZI YAKO KWA LFC

Sent using Jamii Forums mobile app

Dude narudia TENA

post yako haikumkosoa Salah but ili-dismiss his importance kwenye team.

Whats si hard to understand dude?

You could’ve corrected your post na nobody ange-notice ulichoandika.

“Saying its not proftable for us fans and the club as whole if Salah anakuwa top scorer na team inaambulia PATUPU”

Msimu ambao Salah alimaliza kama top scorer, we finished Top four and played in a CL final, hiyo PATUPU ni ipi? huoni kama magoal yake yalitusaidia? with our last season defence, huoni kama his goals played a major part kwenye our top four bid?

Whay am i even having chat with you?

Do you think ile post yako ina-scream any sort of Criticizm towards Salah?

Rival fans should be the one to throw out those words not you unayejiita LFC fan.
 
Cant believe you’ve quoted a dude who thinks for a ST to be a top scorer ni lazima TEAM nayo ibebe Kombe.

Some people wanakuwa na weird opinions man.

I mean we all have our opinions but kwenye platforms kama hizi ni lazima ujue jinsi ya ku-limit the extent of your opinions, ili usionekane “ignorant” au “kituko” kwa watu wazima wenzako.

These people were calling Mane names when he was off-form earlier this season, and now they are worshipping him, fast-forward, Salah is off-form now and the same people are calling him names.

I hate these kinda fans.
Point taken kaka.
 
Dude narudia TENA

post yako haikumkosoa Salah but ili-dismiss his importance kwenye team.

Whats si hard to understand dude?

You could’ve corrected your post na nobody ange-notice ulichoandika.

“Saying its not proftable for us fans and the club as whole if Salah anakuwa top scorer na team inaambulia PATUPU”

Msimu ambao Salah alimaliza kama top scorer, we finished Top four and played in a CL final, hiyo PATUPU ni ipi? huoni kama magoal yake yalitusaidia? with our last season defence, huoni kama his goals played a major part kwenye our top four bid?

Whay am i even having chat with you?

Do you think ile post yako ina-scream any sort of Criticizm towards Salah?

Rival fans should be the one to throw out those words not you unayejiita LFC fan.
Utafeli ukisema shabik wa timu pinzani akosoe mchezaji wako na ewew utulie tu Kama huoni hayo mapungufu...Bob huo ushabiki wa wapi!!?mtu akifanya mazur anasifiwa akikosea anasemwa haijalishi Ni timu yako au pinzani...LUKAKU WAKAT ANAFANYA VIBAYA HATA MASHABIKI WA MAN WALIMPONDA LKN SIO KIPIND HIKI NA HUO NDIO USHABIKI...
Punguza mapenzi rud kasome tulichokuwa tunajadili mkuu Ni swala la fomu ya mane na salah hayo ya kumshusha mtu umeyaleta ewew Tena kwa mbwembwe za kuita watu wajinga...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Understood, but dude let the ground to be free for other kopites kutema nyongo zao wasipozitema hapa wateme wapi? Watu wanakua frustrated pale tunaongoza kwa gap ya point saba ila mwisho tunachezea nafasi na kuanza kufukuzia nyuma nyuma, acha watu watapike maana salah kawaumiza kukosa zile chances dhidi ya everton pamoja na kupotea dhidi ya manure moja ya games muhimu kwelikweli kwa msimu huu LET THEM SPIT BRUH!
Dude, managers are there to lead players, wachezaji wanacheza uwanjani kutokana na directions za manager, manager ndio anaamua structure ya mchezo.

You cant blame players kwa ubovu wa tacticts za kocha, na huwezi kufananisha mafanikio ya kocha na yale ya mchezaji katika football.

Klopp as a manager, hata akiondoka leo atakumbukwa kwa kuipeleka LFC kwenye CL final (that is his trademark as LFC manager mpaka sasa).

Klopp will always get criticized for team selections/technical approaches/trusting shit players/not winning trophies etc, because he’s a manager.

Salah, will always get criticized for not scoring goals.

You see the differences hapo? Mwenye jukumu kubwa la kuhakikisha team inashinda trophies ni KLOPP siyo SALAH, because hata iweje salah always atacheza na kua-dopt kulingana na matakwa ya kocha. So the entire team inaposhindwa kudeliver anayekuwa responsible ni Manager, siyo mchezaji.

then...why am i dismissing (huwa simkosoi) Hendo on daily basis na alikuwa na msimu mzuri 2013/14, well first off he had a decent season, then amekuja LFC 2012, so apart na decent season aliyokuwa nayo 13/14, ameendelea kuwa average and useless player mpaka sasa, it amazes me kuona unashangaa mimi kum-dismiss mchezaji ambaye for the last three seasons playing as a B2B and a regular in a team ana goals 2 na assists 2, na unapata tabu kuelewa kwanini nasema its not fair to dismiss Salah ambaye in the last two season ana goals zaidi ya 50 na ame-impact status ya team kwa kiasi kikubwa sana, so why should i dismiss him for his bad patch for this past few weeks? Salah angekuwa ni useless player for the last 5 seasons ningekuwa nam-dismiss kila siku pia in this platform, but he’s not a all, he has scored 17 goals na ametoa pass za magoal 7 (more than Hendo in last 3 season playing as 2nd number 10), unataka nim-dismiss?

Criticizing and dismissing ni vitu viwili tofuati, if you want to crticize a player without dismissing him, angalia na jifunzeni kupitia posts za M-mbabe, you cant be dismissing mchezaji aina ya Salah kwa kisingizio cha crticizm and ukadhani watu hawata-notice.

And lastly, i crticize Klopp a lot, but i’ve never dismissed him (wanting him out etc), because i acknowlegde alichoifanyia LFC mpaka sasa.

I dismiss Hendo/Lovren/Lallana etc because they have done nothing for this team tangu waje at LFC, plus we didnt sign them for cheap at all, Hendo was decent in 14 (thats it), Lallana had 3 good months in 16/17, and what about Lovren? so why should i not dismiss these players?

VVD can have few bad weeks, and i will crticize him to boost his morale but i will never try to dismiss him and disrespect him at all, same to Fabinho/Mane/Alisson/Salah/Firmino etc. because i know what they can do wakiwa kwenye form.

kote hakufai
 
Mimi ni fan niliekula kiapo kwamba sitaikimbia/isaliti timu yangu THE BLUES ..KING OF LONDON and even ENGLAND..

Hata tufungwe gemu zote zilizobaki mimi nitakuwa The Blues HALISI...

Nataka niwe mfano bora kama cc Malafyale hahahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app


King of London? or even England? What a joke!!!

Pindua mafanikio ya Arsenal kwanza ndiyo utuoneshe huo uking wako
 
Dude narudia TENA

post yako haikumkosoa Salah but ili-dismiss his importance kwenye team.

Whats si hard to understand dude?

You could’ve corrected your post na nobody ange-notice ulichoandika.

“Saying its not proftable for us fans and the club as whole if Salah anakuwa top scorer na team inaambulia PATUPU”

Msimu ambao Salah alimaliza kama top scorer, we finished Top four and played in a CL final, hiyo PATUPU ni ipi? huoni kama magoal yake yalitusaidia? with our last season defence, huoni kama his goals played a major part kwenye our top four bid?

Whay am i even having chat with you?

Do you think ile post yako ina-scream any sort of Criticizm towards Salah?

Rival fans should be the one to throw out those words not you unayejiita LFC fan.
Msimu uliopita tumemaliza vizur lkn hatujashinda kitu hata totts wanekuwa wanamaliza kila msimu top kwa mda mrefu Sasa lkn kinachoangaliwa bob Ni makombe...ndio maana Mourinho ana mafanikio makubwa man untd kuliko klopp au nalo utabisha...kuwa top scorer sio tatizo ila timu inafanyaje ndio kinamata...UKIENDELEA KUBISHA NI KWA AFYA YAKO MKUU NA HUKATAZWI...ILA UKWELI NDIO HUO SALAH INABID AJITAHID ARUD MCHEZONI BASI

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom