MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Hivi tunaposema mchezaji flani anafanya vibaya ndio tunakuwa hatumpendi!!?tunapenda wachezaji wote Ila inapotokea mchezaji anazingua,morali yake ipo chini lazima asemwe ili Kama kubadili abadilike na yeye sio wa kwanza kusemwa humu ndani..ukisema kuhusu magoli muhimu hata origi,sturrdge wote wamekuwa na mchango kwenye mechi muhimu lkn pia wanasemwa...
Mapenzi binafsi yasikufanye ukawa kipofu mkuu..ukweli tuseme na uwongo tuukatae.nimemaliza
#YNWA#
Sent using Jamii Forums mobile app
Dude, post yako ya mara ya kwanza niliyoi-quote haina any sort of criticims, bali ni “upondaji”
Unaposema kuwa magoal ya mchezaji hayakusaidii kama mshabiki kisa team imetoka patupu, huo siyo “ukosoaji” ni “upondaji” na “ulalamikaji usio na msingi”
You cant be saying that kwa mchezaji ambaye magoal yake ya msimu uliopita yalisaidia team yako kumaliza Top four na kuingia CL final (huku tukiwa na defence mbovu), hayajaisaidia team au wewe kama mshabiki.