Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna Liverpool's Fans Claimed that Klopp hahitaji lawama kutokana na Wachezaji alionao tusimlinganishe na Pep wachezaji alionao! Bullshit..

Sasa mtu anashindwa kujiuliza hata kijiswali kidogo jamani "JE WALE WACHEZAJI PALE MAN CITY WAMEJIPELEKA WENYEWE AU WAMESAINIWA?"

Pep alipoona kuwa Luna wachezaji hawamfai kaamua kusajili kina "EDERSON, LAPORTE, STONES, MENDY, WALKER, GUANDOGUN, JESUS, B. SILVER, MAHREZ" ambao ndiyo waliomsaidia kumfikisha pale alipo.

Sasa aliyemtuma Klopp Kuwa Mwaka wa 4 huu abaki na kikosi hichi nani?

Hivi kula mechi kuibuka na ONE SHOT on Target ndiyo kalazimishwa kuwa lazima abakie na Striker Origi na Sturridge?

Basi tusubiri Mtu aje amtengezee Klopp timu kwa Kumnunulia wachezaji.
 
Eti Kocha anatafuta ushindi kwenye Must Win game kwa Kumuingiza Sturridge na Origi

Kuna wale ambao wenye loser mentality wanakwbia Origi ni striker wa kuchezea Liverpool akatupa makombe eti kwa sababu kawafunga Everton!!!
 
Eti Kocha anatafuta ushindi kwenye Must Win game kwa Kumuingiza Sturridge na Origi

Kuna wale ambao wenye loser mentality wanakwbia Origi ni striker wa kuchezea Liverpool akatupa makombe eti kwa sababu kawafunga Everton!!!
ni kama vile Klopp ana claim matukio ya huko nyuma wakati wa kufanya sub...
usishangae Origi akaanza vs Neighbours
 
Watford is tricky opponent..am positive il grind a win in this fixture and being at home wt th fans pushing for a win.

Also Bobi might play seems th extent of his injury wasnt that dangerous..

wish even vs Neighbours wangekaa tu nje bana..

Last two games against Watford at Anfield, we won by 6 and 5 goals respectively.

Wont be a tough game at all.

Am not worried.
 
Last two games against Watford at Anfield, we won by 6 and 5 goals respectively.

Wont be a tough game at all.

Am not worried.
true i expect nothing less than a win today..

if we are to win this EPL no more drawa or lose..

n if Klopp is too shy to axe his CP from th startin line now he has th chance after that bust up by CP..

hope also today we go with 4 4 2 or 4 3 2 1 or 4 4 1 1 as Klopp call t but not that damn 4 3 3 again...
 
MTAZAMO WANGU Mtu fulani,
Kimchezo mpaka sasa kwa hii trend tushaukosa ubingwa huku tunaona kisa kiburi cha kocha. Tukianzia 2015 akituhadaa kuwa anajenga timu bwana yule (klopp) yameshapita madirisha ya usajili saba, tuende katika tathmini ya maboresho
Golini hapa nampa 75% katuletea golie ambaye kuna muda anasave timu hivo kuongeza points ambazo huenda tungezipoteza
Defence, ubavu wa kulia sijaona maboresho kwani hata glen alikua wa kiwango hiki hiki hapa anapata 30% endapo backup ya trent ni milner ambaye hata bench man city hakai hili eneo ni mushkheli kwetu. Ubavu wa kushoto only robbo is there match in match out replacement yake ni blackpool type moreno hapa anapata 45% hakuna uhakika wa beki tatu atayecheza na kudeliver kama robbo endapo jinamizi likimpitia. Central hapa kajitahidi 55% kwa kuwaondoa kolo, sakho ila kawaacha lovren na matip wakijivinjari hapo hata katika crucial game eg against man city away that aguero goal, our defence heart rely heavily on single man vvd madirisha saba unasajili vvd na klavan it is gambling guys, we need another vvd type dude to compliment our defence.

Midfield, kilio cha ulimwengu wa liverpool hapa katuongezea watu watatu muhimu kiasi keita, fab, na chambo hapo mtoe dutch man kwan akiwa newcastle was 10. In this area the gaffer scores 40%, why this hajawaondoa mashamukwale akiwa na muda wa kuadjust almost 7 TW ndo eneo limesheheni watu wengi ilhali ni tia maji tia maji plus team selection eneo hili ndo mbovu na ambigous kila leo bado hajui kutumia silaha eneo hili.

Fowards, upande wa kushoto african prince hana mbadala wa kukaribia uwezo wake even for 40% ni kama kiatu cha goliath avae daudi impossible, Kati firmino hapa i agree to disagree ndo eneo hutuua ama hutubeba rarely wakati timu pinzani wana aguero wa 25goals kwa msimu sisi tuna firmino wa 15 gls na assist zisizozidi kumi kwa msimu wa ligi huwezi twaa ubingwa kwa striker huyu kwa misimu ya karibuni kwani timu zote zinazotwaa ubingwa mshambulizi wa kati huwa katika golden boot race (mtanisahihisha hapa). Kulia kwa salah hapa pana hoja kinzani, tokea kyiv incident jamaa sio yule tena kaisha, hatishi yaani kwa kilugha wanasema amefwafwanzika balaa inafika kipindi even ally sonso can stop mo salah pathetic? replacement yake shaqiri at least japo hajaclick to the desired level. At this part of the team klopp gets 50% since ukiwatoa front trio yetu we are like namungo fc. Kosa kubwa ni kutohangaika kupata mbadala wa a natural, talented and fierce no 10 baada ya cou kusepa ye amebaki kukenua meno na kukumbatia wachezaji. Kama mambo yataenda kombo he will leave our team in an embarassed way than even hogson. Nakaribisha hoja kinzani.
cc mosdef, king ngwaba, plesis, malafyale, M-mbabe, marvelous captain, bardbzah and other kops here

kote hakufai
Tangu aseme Buvac ndo master plan wake nilishakata tamaa hatuna kocha

Akisha kariri fulani anacheza vyema namba fulani ndo basi plan b hana wale majeruhi wa man u wangetupata sisi tunge koga migoli hadi ubingwa tungesahau kama tuna hiyo nafasi
 
Pigo kwetu
IMG-20190227-WA0023.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu aseme Buvac ndo master plan wake nilishakata tamaa hatuna kocha

Akisha kariri fulani anacheza vyema namba fulani ndo basi plan b hana wale majeruhi wa man u wangetupata sisi tunge koga migoli hadi ubingwa tungesahau kama tuna hiyo nafasi
Kocha hajui afanye nini kimbinu ili amalize game kirahisi anaendeshwa kwa remote control, inatia uchungu sana game za kuwakatisha tamaa wanaotufukuzia ndo kwanza anawapa nguvu

kote hakufai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom