Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Hili Ndiyo la Kusoma
Screenshot_20190224-143724.png


MIND THE GAP
 
Subiri leo kwenye Line-up uje uone Mido ya GINI-HENDO-MILNER Ndiyo utajuwa kuwa bado ADOLF HITLER Yupo hai na Anaishi katika Nafsi za Wajerumani.

Milner No ila Hendo in for 80%

Keita akianza anaweza kuwa chini ya kiwango au red ikamuhusu only if Herrera akiwepo leo
 
Milner No ila Hendo in for 80%

Keita akianza anaweza kuwa chini ya kiwango au red ikamuhusu only if Herrera akiwepo leo

Keita uwanjani hajifichi na anapampana hata kama hana game nzuri!

Lakini Hendo leo ataishia Kujificha Nyuma ya Pogba na Herrera kwa dakika zote 90
 
Keita uwanjani hajifichi na anapampana hata kama hana game nzuri!

Lakini Hendo leo ataishia Kujificha Nyuma ya Pogba na Herrera kwa dakika zote 90[/QUkamai
Hyo ndyo kazi ya defensive middfrider na kila mmoja Ana uchezaji wake alio uamua yet huwezi mlazimisha hendo acheze kivunja Kuni kama phabinho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom