Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sioni kwa nini TAA not for RB, mid is fair maana hata tulie vipi Hendo is there to play this game.

All in all, it is ours to lose.
 
Sioni kwa nini TAA not for RB, mid is fair maana hata tulie vipi Hendo is there to play this game.

All in all, it is ours to lose.

Hivi unadhani Klopp ana ujasiri wa Kuwaeka Juu Waingereza ?

Atatafuta nafasi yoyote awapenyeze hata kama kuwaweka nafasi ya Kipa.

Wakati Fabinho ameshakamata Namba basi Keita Amshukuru Mungu tu amalize Mkataba salama aondoke lakini sioni akitoboa mbele ya Hendo.

Na TAA avumilie Milner astaafu tu.
 
Liver fanyeni yote ila Leo lazima Man U tuchukue point tatu muhimu kwenu
 
Mpira ni mchezo wa ajabu unaoleta hisia tofauti. Kiukweli zile 6 naweza sema ilikua dozi nzito iliyoninyima furaha na amani. Kwa sababu sijazoea haya mambo ya kufungwa kizembe namna hii.

Nataka nikutoe hofu mkuu. Ninajiamini na nina imani na timu yangu. We are still recovering japo sina imani na kocha wangu tena.
Hivi umepata wapi ujasiri wa kuja hapa leo wakati kwako una kibarua Cha Maangamizi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unadhani Klopp ana ujasiri wa Kuwaeka Juu Waingereza ?

Atatafuta nafasi yoyote awapenyeze hata kama kuwaweka nafasi ya Kipa.

Wakati Fabinho ameshakamata Namba basi Keita Amshukuru Mungu tu amalize Mkataba salama aondoke lakini sioni akitoboa mbele ya Hendo.

Na TAA avumilie Milner astaafu tu.

Issue ya Keita vs Hendo inaniuma sana aisee, najikuta nakufuru kumwombea Hendo Majeruhi (Mungu anisamehe).

Ila tunaua kipaji cha ukweli sana.
 
all the best to the lads today. make us fans proud.

the one thing I hate most in my life (not footballwise only but generally) is a LFC defeat vs Manure. hate it with passion!!
 
Wao wenyewe hawana uwezo wa kumiliki mpira. Nafasi kubwa mnayo nyie kuupiga leo. Mane asiwe kama alivyocheza na Bayern.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ngoja tuone game itakuwaje, ila kikosi chao siyo cha ajabu kabisa.

Though home court advantage inaweza kuplay role, lakini game itakuwa 49 kwao 51 kwetu.
 
Utd letting us dominate the ball and waiting to hit us on counters and transtions
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom