Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Pone pone yenu ni EPL tu huko kwingine pumzi imekata. UEFA mshatoka hamna nafasi tena. Sasa angalieni yasije yakawa kama yale ya kipindi kile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi umepata wapi ujasiri wa kuja hapa leo wakati kwako una kibarua Cha Maangamizi?
