Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hawa Liverpool Echo ni pure Liverpool Halisi!!!

Sote ni mashahidi hapa kuwa mwanzoni mwa Msimu walimponda sana Fabinho kwenye Kila Makala ya Gazeti lao ili kumpa promo Hendo aendelee kucheza DM.

Lakini cha ajabu sikuhizi kila Article wanayotoa ni Kumsifia Fabinho tu utazani hawakuwahi kuwaaminisha watu kuwa ni mchezaji mbovu.

Sasa kidogokidogo wanaanza kumsahau Captain wao.

Nafasi yao nzuri ilikuwa kama angeharibu kwenye CB ila the guy ame-win kila kitu utadhani ni position yake
 
Isije ikawa anamapenzi nae ulimwangalia vizuri zile mechi 2 za Man u na Mancity alivyo mtulivu?

au anabolonga huko under 23 ndomana hajamsogeza hiki kipindi?

Kwenye Mechi Zile hata Sturridge alikuwa kama Messi, lakini aliishia kuzurura vs Wolves.

Mchezaji hapimwi kwenye Preseason kwani timu zote kwenye Preseason huchezesha Under23.
 

Naamini sababu ya kucheka ni kwamba hujafahamu kilichokusudiwa, wala hujataka kuuliza.

Hakukusudia in term of Kipaji! Bali kakususudia in term of kurithi Ucaptain kwani TAA ndiye Scouser peke Yake anayepata Namba katika kikosi kizima cha Liverpool.

Scouser wa mwisho kuwa Captain ni Gerrard, Lakini waliofata Kuvaa Armband baada ya Gerrard ambao ni Henderson, Mignolet, Milner, Coutinho, Can, VVD wote sio Scousers.

Kwahiyo Scouser anayefata kuwa mrithi wa Gerrard (Kwenye Ucaptain) ni TAA.
 
Kwenye Mechi Zile hata Sturridge alikuwa kama Messi, lakini aliishia kuzurura vs Wolves.

Mchezaji hapimwi kwenye Preseason kwani timu zote kwenye Preseason huchezesha Under23.
Ahaa nikajua kile ndo kipindi cha kuangalia wenye afadhali ili wasogozwe
 
Sisi akina liverpool fake tuta comment wapi ujio wa AOC & GOMEZ...

Sent using Jamii Forums mobile app

Usi-comment kabisa, maana utaambiwa ulikuwa unapinga hatua zao za uponaji

Na Ninauhakika kitakachoandikwa baada ya Kubadilisha gia angani ni:



"Tuzidi Kushikama sisi LIVERPOOL HALISI..

Kuna wachambuzi uchwara walisema GOMEZ na OX hawafai kuchezea Liverpool!!
Sasahivi Gomez na OX anawanyamazisha.

Upuuzi mtupu."

Si munakumbuka kuwa tuliwakataa MIGNOLET, MORENO, KLAVAN na LOVREN last 2 seasons Wakati yeye Anawatetea na kusema ni Kipa bora na Mabeki bora duniani?

Sasahivi timu ikishibda na kutoa Cleasheet anakuja hapa na kusema kama kwamba yeye ndiye aliyemwambia Klopp awasajili ALISSON, ROBERTSON, VVD na GOMEZ.

😀😀😀

Yani jamaa hana tofauti na Mh. Polepole
 
Na Ninauhakika kitakachoandikwa baada ya Kubadilisha gia angani ni:



"Tuzidi Kushikama sisi LIVERPOOL HALISI..

Kuna wachambuzi uchwara walisema GOMEZ na OX hawafai kuchezea Liverpool!!
Sasahivi Gomez na OX anawanyamazisha.

Upuuzi mtupu."

Si munakumbuka kuwa tuliwakataa MIGNOLET, MORENO, KLAVAN na LOVREN last 2 seasons Wakati yeye Anawatetea na kusema ni Kipa bora na Mabeki bora duniani?

Sasahivi timu ikishibda na kutoa Cleasheet anakuja hapa na kusema kama kwamba yeye ndiye aliyemwambia Klopp awasajili ALISSON, ROBERTSON, VVD na GOMEZ.

😀😀😀

Yani jamaa hana tofauti na Mh. Polepole

Tumpe heshima yake anajua football management ... huwa anasahau kama yeye ndo yuko kinyume, sorry trash again
 
habari ni kwamba yule Mo-diver jana kaendelea kushirikiana na marefa kupeleka free 3 points pale anfield but ipo siku
1547404736013.png

Kama hivi au?
 
Kipi kilimfanya aondoke?

Sisi kama mashabiki kikubwa tunaangalia ushindi.kabla ya klopp palikuwa na makocha wengine bora hapo Liverpool ,wakaondoka wamekuja wengine swala la kuondoka au kufukuzwa

Kwa klopp ni kawaida kwa sababu yeye sio wakwanza kuifundisha liverpool au kufukuzwa liverpool.

Liverpool inampenda sana klopp alivyokuja walimpa mkataba wa miaka 6,ingawa watu waliponda hakutakiwa kupewa miaka yote hiyo.

Kuna siku kwenye skysports nilimsikia rooney anaulizwa kuhusu man u,anasema kocha anayefaa kuifundisha man u kwa sasa ni klopp,

Klopp kwa sasa ni lulu, ukisema umuondoe sasa hivi ,timu kibao zinamtaka wanataka wamena kocha kama huyo.

Kilitusaidia huo mkataba wa miaka 6,ilikuwa ngumu kuondoa hata yeye anaona timu inampenda na kumkubali.

Tumemmis pia ila sasa hayupo tunafanyaje? Tunaacha kucheza mpira tumsubirie? ,




Sent from my iPhone using JamiiForums
Ubarikiwe mkuu!
 
SPURS rasmi wametoka ktk mbio za ubingwa
Bado Mungu-mtu wenu ,asiyefungika PEP lkn nae ataachia tu!!
Huyu ndiyo Klopp,the German machine.
 
Na Ninauhakika kitakachoandikwa baada ya Kubadilisha gia angani ni:



"Tuzidi Kushikama sisi LIVERPOOL HALISI..

Kuna wachambuzi uchwara walisema GOMEZ na OX hawafai kuchezea Liverpool!!
Sasahivi Gomez na OX anawanyamazisha.

Upuuzi mtupu."

Si munakumbuka kuwa tuliwakataa MIGNOLET, MORENO, KLAVAN na LOVREN last 2 seasons Wakati yeye Anawatetea na kusema ni Kipa bora na Mabeki bora duniani?

Sasahivi timu ikishibda na kutoa Cleasheet anakuja hapa na kusema kama kwamba yeye ndiye aliyemwambia Klopp awasajili ALISSON, ROBERTSON, VVD na GOMEZ.

😀😀😀

Yani jamaa hana tofauti na Mh. Polepole
hahahaha Top reds wa JF wakija humu😂😂😂🙌🏻 watatuua hii wiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom