Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Hawa Liverpool Echo ni pure Liverpool Halisi!!!
Sote ni mashahidi hapa kuwa mwanzoni mwa Msimu walimponda sana Fabinho kwenye Kila Makala ya Gazeti lao ili kumpa promo Hendo aendelee kucheza DM.
Lakini cha ajabu sikuhizi kila Article wanayotoa ni Kumsifia Fabinho tu utazani hawakuwahi kuwaaminisha watu kuwa ni mchezaji mbovu.
Sasa kidogokidogo wanaanza kumsahau Captain wao.
Nafasi yao nzuri ilikuwa kama angeharibu kwenye CB ila the guy ame-win kila kitu utadhani ni position yake


... huwa anasahau kama yeye ndo yuko kinyume, sorry trash again