Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_4914.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Iwapo ndiyo KEITA haendani na Mfumo wetu basi next Summer Klopp asajili Central Attacking Midfielder mwengine ambaye atakuja kupair na Gini-Fabinho.
 
Iwapo ndiyo KEITA haendani na Mfumo wetu basi next Summer Klopp asajili Central Attacking Midfielder mwengine ambaye atakuja kupair na Gini-Fabinho.

Mkuu hakuna mchezaji aliyesajiliwa na klopp ambae aendani na mfumo,hiyo jezi ya keita alikuwa anavaa steven gerad ,msimu uliopita aikuvaliwa na mtu ilikuwa inamsubiria keita hiyo .

Keita ndio mtu sahihi,ni swala la muda tu kuendana na mfumo na klopp anavyotaka acheze,na nafasi anayocheza,kama unakumbuka msimu uliopita robertson alianza kucheza katikati ya msimu kwasababu alikuwa aendani na mfumo bado ,badala ya hapo kilicho fata ni history .

Kwa keita anapangwa hivyo hivyo azoee,japo kwenye mechi chache,mkuu klopp ni mwalimu mzuri sana awezi kushindwa kumfanya mchezaji aendae na mfumo wake wakati huyo mchezaji kamsajili yeye.swala la muda tu .






Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Na itakuwa powa kama Klopp atawasajili Lorenzo Insigne na Tom Werner ili waje watoe Challenge kwa Mane na Firmino respectively.

Mane na firmino wanacheza kwa moyo sana pale Liverpool ,wanafurahia kucheza Liverpool na Liverpool inawapenda na wao ndio wanajua hivyo.

Ukileta wachezaji wengine kama kuwa challenge utasababisha waondoke tu,tumeona kwenye timu zingine zilivyopotea,mchezaji anaamua kuondoka tu ili akapate namba apate namba timu ya taifa kwenye world cup.

Mchezaji kama anauwezo muache acheze sio kuanza kumuweka bench. Makosa madogo madogo kila mchezaji anafanya,hata vvd kuna mechi zingine anacheza chini ya kiwango.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu hakuna mchezaji aliyesajiliwa na klopp ambae aendani na mfumo,hiyo jezi ya keita alikuwa anavaa steven gerad ,msimu uliopita aikuvaliwa na mtu ilikuwa inamsubiria keita hiyo .

Keita ndio mtu sahihi,ni swala la muda tu kuendana na mfumo na klopp anavyotaka acheze,na nafasi anayocheza,kama unakumbuka msimu uliopita robertson alianza kucheza katikati ya msimu kwasababu alikuwa aendani na mfumo bado ,badala ya hapo kilicho fata ni history .

Kwa keita anapangwa hivyo hivyo azoee,japo kwenye mechi chache,mkuu klopp ni mwalimu mzuri sana awezi kushindwa kumfanya mchezaji aendae na mfumo wake wakati huyo mchezaji kamsajili yeye.swala la muda tu .






Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna baadhi ya wachezaji hawapendi kucheza nafasi tofauti na wanayo penda hakukua na haja ya kusajili kama nafasi ina mtu sahihi huu ni uharibifu wa vipaji au ufujaji wa pesa usio namaana

Keita anamiliki mpira na chenga anajua na kushuti pia na huelekea mbele jana umeshudia mipira tulikua tunaicheza upande wetu nakujaribu mipira milefu ambayo kwa wachezaji wetu ikawa ngumu hadi Salah alipobadilika na kufosi kuingia na mipira.

Meche ilikua ni nyepesi sanaa kocha kaifanya kua ngumu

Bangi zinabangua mara ingine
 
Mane na firmino wanacheza kwa moyo sana pale Liverpool ,wanafurahia kucheza Liverpool na Liverpool inawapenda na wao ndio wanajua hivyo.

Ukileta wachezaji wengine kama kuwa challenge utasababisha waondoke tu,tumeona kwenye timu zingine zilivyopotea,mchezaji anaamua kuondoka tu ili akapate namba apate namba timu ya taifa kwenye world cup.

Mchezaji kama anauwezo muache acheze sio kuanza kumuweka bench. Makosa madogo madogo kila mchezaji anafanya,hata vvd kuna mechi zingine anacheza chini ya kiwango.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna msimu Mane alikua anafanyiwa sab na Origi alinuna ukanza na uvumi kua kuna sinto faham
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom