Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Na Wikihii Nimetembelea Kwenye Forums Nyingi kabisa na Mitandao Ya Kijamii na Nikagundua Kuwa FABINHO ni mchezaji anaependwa zaidi ndani ya Liverpool kwasasa kuliko Mchezaji yeyote yule.

Amewapiku Salah na VVD

Na Henderson ndiye mchezaji anaechukiwa ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule.

Sadio Mane ndiye mchezaji anaizidi kusahauliwa kwa kasi ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule.

Robertson na Alisson ndiyo wachezaji wasio na bahati zaidi ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule! Kwani ndiyo wachezaji wetu bora na muhimu zaidi kwenye timu lakini hawazungumzwi na Kumwagiwa sofa kama wengine.

Na TAA au Gomez atakuwa our Future Captain

Future captain ni VVD chief...
 
Wakuu hapa ninaziona points 12 na clean sheets 4 bila ya wasiwasi wowote.

January
√ 19 – Crystal Palace (H)
√ 30 – Leicester City (H)

February
√ 4 – West Ham United (A)
√ 9 – Bournemouth (H)

Baada ya game yetu na Palace ya tarehe 19 wachezaji wetu watapata muda mzuri wa kupumzika mpaka tarehe 30.

Liverpoll ni Champion wa EPL 2018/19

Kwakweli muda wa kupumzika ni wa kutosha kabisa...
 
Mapendekezo yangu this January:
Tusajili only Timo Werner


Mapendekezo yangu Next Summer:
Tusajili only
Nabil Fekir


Ushauri wangu Next season:
  • Harry Wilson Arudishwe Liverpool
  • Grujic arudishwe Liverpool
  • Cutis Jones apelekwe kwa Mkopo Germany au Midtable timu inayocheza EPL
  • Camacho afanywe kuwa ni back up rasmi ya TAA
Mpaka hapo hatutohitaji usajili mwengine zaidi ya hao wawili
Nikajua Cammacho ni winga anafosiwa kucheza beki duh.
Yule anafaa kwakweli hasa kupandisha mashambulizi ni mzuri sana.

Hivi yule mkoba anae itwa philips alitolewa au yupo bado? nimemkubali kuliko Lovlen nae.
 
Na Wikihii Nimetembelea Kwenye Forums Nyingi kabisa na Mitandao Ya Kijamii na Nikagundua Kuwa FABINHO ni mchezaji anaependwa zaidi ndani ya Liverpool kwasasa kuliko Mchezaji yeyote yule.

Amewapiku Salah na VVD

Na Henderson ndiye mchezaji anaechukiwa ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule.

Sadio Mane ndiye mchezaji anaizidi kusahauliwa kwa kasi ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule.

Robertson na Alisson ndiyo wachezaji wasio na bahati zaidi ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule! Kwani ndiyo wachezaji wetu bora na muhimu zaidi kwenye timu lakini hawazungumzwi na Kumwagiwa sofa kama wengine.

Na TAA au Gomez atakuwa our Future Captain
TAA the next SG.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mchawi wa Hendo ni mmoja tu kwasasa!

Ni Alex-Oxlade Chamberlain huyu ndiye atakayekuja kumkalisha Hendo Benchi.




Mido itakuwa hii ↓↓

GINI - FABI - AOC
Gini anaogopa sana kucheza na Hendo. Hamuamini. Ukimpanga Gini na Fab anacheza kwa pace kubwa,confidence, na morari ya hali ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hapa ninaziona points 12 na clean sheets 4 bila ya wasiwasi wowote.

January
√ 19 – Crystal Palace (H)
√ 30 – Leicester City (H)

February
√ 4 – West Ham United (A)
√ 9 – Bournemouth (H)

Baada ya game yetu na Palace ya tarehe 19 wachezaji wetu watapata muda mzuri wa kupumzika mpaka tarehe 30.

Liverpoll ni Champion wa EPL 2018/19
Bila shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikajua Cammacho ni winga anafosiwa kucheza beki duh.
Yule anafaa kwakweli hasa kupandisha mashambulizi ni mzuri sana.

Hivi yule mkoba anae itwa philips alitolewa au yupo bado? nimemkubali kuliko Lovlen nae.

Phillips yupo U23 coz Klopp hajawa Convinced na kipaji chake na ndiyomana anamrate Ki-Jana kuliko yeye
 
Phillips yupo U23 coz Klopp hajawa Convinced na kipaji chake na ndiyomana anamrate Ki-Jana kuliko yeye
Isije ikawa anamapenzi nae ulimwangalia vizuri zile mechi 2 za Man u na Mancity alivyo mtulivu?

au anabolonga huko under 23 ndomana hajamsogeza hiki kipindi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom