Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kweli Mkuu sisi Liverpool Halisi mipango yetu lilikuwa ni Kuchukuwa makombe Manne!
Lakini tulipotolewa Carabao basi mipango yetu ikawa ni kuchukuwa Makombe 3 kwani Carabao likawa la kipumbavu.
Tulipotolewa FA basi mipango yetu ikawa ni kuchukuwa makombe 2 ya EPL na CL kwani FA ni la kipumbavu 😀😀

Kunasiku nilicheka mpaka basi hapa!

Nakumbuka vizuri kuwa last msimu wa 2016/17 tulimkataa Moreno baada ya mechi ya kwanza kuchomesha goli 1 dhidi ya Arsenal tuliyoshinda 4-3

Basi Mliverpool Halisi alitukosoa na kusema hatujui chochote klopp najua zaidi! 😀😀

Msimu uliopita 2017/18 baada ya kusajiliwa Robertson pia tukamkataa Moreno na tukataka achezeshwe Robertson, Basi Mliverpool alituambia Klopp anajua zaidi kumpanga Moreno, sisi hatujui chochote Robertson hawezi kucheza mbele ya Moreno!

Lakini cha ajabu hapa kuna siku alikuja na mpasho wake kuwa eti 'Klopp katuumbua kupitia Robertson kwani tulimponda kuwa kanunua mchezaji kutoka timu iliyoshuka daraja' ha ha ha ha ha

Jamaa anageuza maneno kila sekunde..

Kuna siku atakuja kusema hapa kuwa Alisson katuumbua kwani tulimponda kusajiliwa kwake..

Depression kaka, kuna watu raha yao ni kupenda kuchokoza watu ili tu uibuke ugomvi, na mkikaa kimya atakuchokoza yeye halafu atasema wewe ndo umemchokoza.

Naona watu wamemtenga sasa kila muda inabidi atupie single zake.

Sema kapata kampani ya Liverpool HALISI mwenzake DullyJr, featuring yao inanoga sana.
 
kweli Mkuu sisi Liverpool Halisi mipango yetu lilikuwa ni Kuchukuwa makombe Manne!
Lakini tulipotolewa Carabao basi mipango yetu ikawa ni kuchukuwa Makombe 3 kwani Carabao likawa la kipumbavu.
Tulipotolewa FA basi mipango yetu ikawa ni kuchukuwa makombe 2 ya EPL na CL kwani FA ni la kipumbavu 😀😀


Kunasiku nilicheka mpaka basi hapa!

Nakumbuka vizuri kuwa last msimu wa 2016/17 tulimkataa Moreno baada ya mechi ya kwanza kuchomesha goli 1 dhidi ya Arsenal tuliyoshinda 4-3

Basi Mliverpool Halisi alitukosoa na kusema hatujui chochote klopp najua zaidi! 😀😀

Msimu uliopita 2017/18 baada ya kusajiliwa Robertson pia tukamkataa Moreno na tukataka achezeshwe Robertson, Basi Mliverpool alituambia Klopp anajua zaidi kumpanga Moreno, sisi hatujui chochote Robertson hawezi kucheza mbele ya Moreno!

Lakini cha ajabu hapa kuna siku alikuja na mpasho wake kuwa eti 'Klopp katuumbua kupitia Robertson kwani tulimponda kuwa kanunua mchezaji kutoka timu iliyoshuka daraja' ha ha ha ha ha

Jamaa anageuza maneno kila sekunde..

Kuna siku atakuja kusema hapa kuwa Alisson katuumbua kwani tulimponda kusajiliwa kwake..
katika uhasia tu mkuu,unataka kusema wewe unajua kuliko JK?


jibu NDIYO/HAPANA...............hapo ndipo tutajua jamaa alikuwa sahihi au wrong?
 
mimi ni GUNNERS HALISIA

Baada ya kumaliza vita ya Wenger Out, Conte Out na Mourinho Out baina ya Mashabiki wa timu hizo! Sasa kuna vita mbili kuu zinanukia!

1) Unay Out
2) Sarri Out


😀😀😀

Sasa hapo wewe utachagua upande mmoja kati ya Unay out au Unay must stay ! Then hapo ndiyo tutamjua nani Gooners Halisi 😀😀
 
uunai bado tunampa muda wa kutengeneza kikosi chake pale ........maana ndio kwanza msimu wa kwanza .............JK huu ni msimu wa nne sasa na sijasikia kelele za klopp out why iwe kwa Emery ambaye ndio kwanza karusha kete yake ya kwanza?
 
Mapendekezo yangu this January:
Tusajili only Timo Werner


Mapendekezo yangu Next Summer:
Tusajili only
Nabil Fekir


Ushauri wangu Next season:
  • Harry Wilson Arudishwe Liverpool
  • Grujic arudishwe Liverpool
  • Cutis Jones apelekwe kwa Mkopo Germany au Midtable timu inayocheza EPL
  • Camacho afanywe kuwa ni back up rasmi ya TAA
Mpaka hapo hatutohitaji usajili mwengine zaidi ya hao wawili
 
Kloop OUT
Buvac In
We miss Buvac too much,yy ndiyo kichwa cha Klopp,bila Buvac huyu Klopp si mali kitu kabisa na atafukuzwa Liverpool na ndiyo Buvac atapewa team!
Kuna watu hapa uwezo wao kuchambua soka mhhh!
Liverpool doesnt miss Buvac!!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Kipi kilimfanya aondoke?

Sisi kama mashabiki kikubwa tunaangalia ushindi.kabla ya klopp palikuwa na makocha wengine bora hapo Liverpool ,wakaondoka wamekuja wengine swala la kuondoka au kufukuzwa

Kwa klopp ni kawaida kwa sababu yeye sio wakwanza kuifundisha liverpool au kufukuzwa liverpool.

Liverpool inampenda sana klopp alivyokuja walimpa mkataba wa miaka 6,ingawa watu waliponda hakutakiwa kupewa miaka yote hiyo.

Kuna siku kwenye skysports nilimsikia rooney anaulizwa kuhusu man u,anasema kocha anayefaa kuifundisha man u kwa sasa ni klopp,

Klopp kwa sasa ni lulu, ukisema umuondoe sasa hivi ,timu kibao zinamtaka wanataka wamena kocha kama huyo.

Kilitusaidia huo mkataba wa miaka 6,ilikuwa ngumu kuondoa hata yeye anaona timu inampenda na kumkubali.

Tumemmis pia ila sasa hayupo tunafanyaje? Tunaacha kucheza mpira tumsubirie? ,




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
habari ni kwamba yule Mo-diver jana kaendelea kushirikiana na marefa kupeleka free 3 points pale anfield but ipo siku

Endelea kusubiri sana,ukijakushtuka tumeshachukua kombe.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kipi kilimfanya aondoke?

Sisi kama mashabiki kikubwa tunaangalia ushindi.kabla ya klopp palikuwa na makocha wengine bora hapo Liverpool ,wakaondoka wamekuja wengine swala la kuondoka au kufukuzwa

Kwa klopp ni kawaida kwa sababu yeye sio wakwanza kuifundisha liverpool au kufukuzwa liverpool.

Liverpool inampenda sana klopp alivyokuja walimpa mkataba wa miaka 6,ingawa watu waliponda hakutakiwa kupewa miaka yote hiyo.

Kuna siku kwenye skysports nilimsikia rooney anaulizwa kuhusu man u,anasema kocha anayefaa kuifundisha man u kwa sasa ni klopp,

Klopp kwa sasa ni lulu, ukisema umuondoe sasa hivi ,timu kibao zinamtaka wanataka wamena kocha kama huyo.

Kilitusaidia huo mkataba wa miaka 6,ilikuwa ngumu kuondoa hata yeye anaona timu inampenda na kumkubali.

Tumemmis pia ila sasa hayupo tunafanyaje? Tunaacha kucheza mpira tumsubirie? ,




Sent from my iPhone using JamiiForums

Mkuu umekuwa mgeni kwenye huu uzi?
 
Hawa Liverpool Echo ni pure Liverpool Halisi!!!

Sote ni mashahidi hapa kuwa mwanzoni mwa Msimu walimponda sana Fabinho kwenye Kila Makala ya Gazeti lao ili kumpa promo Hendo aendelee kucheza DM.

Lakini cha ajabu sikuhizi kila Article wanayotoa ni Kumsifia Fabinho tu utazani hawakuwahi kuwaaminisha watu kuwa ni mchezaji mbovu.

Sasa kidogokidogo wanaanza kumsahau Captain wao.
 
Hawa Liverpool Echo ni pure Liverpool Halisi!!!

Sote ni mashahidi hapa kuwa mwanzoni mwa Msimu walimponda sana Fabinho kwenye Kila Makala ya Gazeti lao ili kumpa promo Hendo aendelee kucheza DM.

Lakini cha ajabu sikuhizi kila Article wanayotoa ni Kumsifia Fabinho tu utazani hawakuwahi kuwaaminisha watu kuwa ni mchezaji mbovu.

Sasa kidogokidogo wanaanza kumsahau Captain wao.

ECHO sasa hivi ni Fabinho na VVD ndo habari kubwa.

Nasubiri siku Keita akiweza kuikaa namba 8 vizuri tu ili Hendo apishe kabisa.
 
Na Wikihii Nimetembelea Kwenye Forums Nyingi kabisa na Mitandao Ya Kijamii na Nikagundua Kuwa FABINHO ni mchezaji anaependwa zaidi ndani ya Liverpool kwasasa kuliko Mchezaji yeyote yule.

Amewapiku Salah na VVD

Na Henderson ndiye mchezaji anaechukiwa ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule.

Sadio Mane ndiye mchezaji anaizidi kusahauliwa kwa kasi ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule.

Robertson na Alisson ndiyo wachezaji wasio na bahati zaidi ndani ya Liverpool kuliko mchezaji yeyote yule! Kwani ndiyo wachezaji wetu bora na muhimu zaidi kwenye timu lakini hawazungumzwi na Kumwagiwa sofa kama wengine.

Na TAA au Gomez atakuwa our Future Captain
 
Wakuu hapa ninaziona points 12 na clean sheets 4 bila ya wasiwasi wowote.

January
√ 19 – Crystal Palace (H)
√ 30 – Leicester City (H)

February
√ 4 – West Ham United (A)
√ 9 – Bournemouth (H)

Baada ya game yetu na Palace ya tarehe 19 wachezaji wetu watapata muda mzuri wa kupumzika mpaka tarehe 30.

Liverpoll ni Champion wa EPL 2018/19
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom