Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Subiri Weekend utaelewa ipi ilikuwa target ya Klopp. Liverpool tungeamua basi hakuna kombe ambalo tungeacha kubeba mwaka huu, sema ni suala la kuweka kipaumbele.

Kipaumbele chetu ni EPL na CL, Tumedhamiria kubeba hivyo vikombe kwa mwaka huu, Sasa subirin majibu kwa kile atakachofanywa Brighton na viteam vyote vilivyibakia.

Nakuhakikishia tena, hakuna mechi tutakayopoteza safari hii, Lengo letu la kubeba ubingwa kwa points zaidi 100, liko pale pale.

 
Kwani KLoop ni malaika mpaka asifanane na Banetez atahukumiwa kama kawada tu
 
Tena wewe utakimbia hii siredi kama MosDef alivyofanya.

Yetu macho.

Nzi
Prezidaa wa wakangaa sumu dhidi ya Loserfools
mkuu nipo sana tu aisee ingekua kukosa EPL ndio kipimo cha ushabiki basi Brighton, Hull, Cardiff n.k kungekua uwanjani siku ya mechi ni kweupee hakuna mashabiki lakini kama unavyoona wapo nyuma ya timu zao...

ingekua kukosa kuchukua EPl ndio mwisho wa soka naamini hatungezikuta Chelshit, Manshit n.k zingeshafutwa kabisa maana wao walisubiri 50+ years kuchukua EPL hivyo sisi hii 29 ni kind of peanut...

Tupo sana humu hatuedi kokote...
 
Hayo mapenz mzee kwa Keita huyu nnaye muona hapa Liver Barca hata sub hatokuwepo

Sent using Jamii Forums mobile app


Inalaumiwa humu kuwa hata kocha wetu kachangia sana kumflopisha Naby Keita kwa kumweka/kumchezesha eneo ambalo sio lake. Nakuambia Arthur , Vidal na hata Rakitic na unaweza shangaa lakini nakumbuka stats za Keita alipokuwa RB Leipzig alikuwa anafika goli 8 au 9 kama sikosei

Ila hiyo ya Performance umesema kweli jamaa Bado hajaDeliver kama tulivyotegemea
 
Yetu macho.
 
Rumoured few transfer target so far
1) Goalkeeper >Dominique Youfeigane
2) Defenders >Mats Hummels
>Llyod Kelly
>Milatio
3) Midfild >Abdulkadir Omur.

Outgoing rumoured > Origi to Fulham
>Camacho to S. Lisbon
 
Naona unacheza mpira mtandaoni na si uwanjani. Kwani juzi wolves kakufanyeje??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yetu macho.
ni kupambana mkuu mpaka mei, mpaka sasa Mancty ndio timu pekee yenye kikosi kipana kupita vipindi vya majeraha au kadi...

hata hivyo tutakwenda nao mpaka mwisho, naamini nao kuna mechi watapoteza kama sisi hivyo ni kujitahidi kutoachwa mbali na ikiwezekana hizi pointi nne tukomae gepu ibaki hivyo hivyo...
 
Arsenal tungeshambeba, tatizo bei yake kubwa, halafu ni type ile ile ya kina ozil, micky

Madrid wanatushawish tutoe 63, wakati hiyo hela kwasasa tunapata wachezaj wapiganaji watatu huko italy,na america

Sent using Jamii Forums mobile app
 
our legend John Aldridge has spoken and I agree with him 101%.

 
Arsenal tungeshambeba, tatizo bei yake kubwa, halafu ni type ile ile ya kina ozil, micky

Madrid wanatushawish tutoe 63, wakati hiyo hela kwasasa tunapata wachezaj wapiganaji watatu huko italy,na america

Sent using Jamii Forums mobile app
huyu bana kwa soka la EPL halimfai kabisa na kwa hii bei ya £63m ndio kabisa abaki huko huko..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…