OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,961
- 25,314
Sasa kama hao akina Moreno na Mignolet hamuwapi nafasi ya kutosha unategemea watakuwaje fiti?aafu unakuta eti Moreno na Mignolet wanalalamika kutopangwa EPL seriously we can never win anything wt Moreno, Mignolet n.k....
Klopp should be careful now maana amebaki na vikombe viwili tu EPL na UCL hii dharau zake za kijeremani atajikuta wachezaji wote wa maana wanamkimbia maana they are here to win trophies n make history....
Pep was right mature players are more greedy and hungry win trophies.
Hahaha cc@Malafyale na wenzake ni Liverpool HALISI bwana..Ndiyo hao ni inexistent group ambao hujiita the so called Liverpool Halisi.
Wana Misingi yao wanayosimamia Katia Soccer! Wao hawahitaji Facts katika chochote Bali ni Mihemko tu.
Miongoni mwa rules zao za kuqualify kuwa Liverpool Halisi ni:
1) Front three wetu (Salah, Mane na Firmino) wanaweza kucheza timu yoyote duniani!
Kwahiyo iwapo watakwenda Barcelona wanauhakika kuwa MESSI-SUAREZ-DEMBELE watakosa namba mbele ya Front three wetu.
2) Wanaamini Kuwa Mido yetu ya GINI-HENDO-MILNER ni bora kuliko Mido ya RAKITIC-BUSQ-ARTHUR/VIDAL that is why tukishinda game yoyote kiongozi wao anakuja na mpasho wake kuhusu wachezaji wetu vs wachezaji wa Barcelona.
3) Wanaamini kuwa Salah ni bora Kuliko Hazard
4) Wanaamini kuwa Klopp ni bora kuliko PEP
5) Wanaamini kuwa Hendo ni World Class player anayeweza kucheza timu yoyote hole duniani! Kwahiyo akija Chelsea Kante ajiandae kusota Bench.
6) Kombe tunalotewa Wanaamini ni Kombe la Kipumbavu.
7) Wanaamini Liverpool ina kikosi bora duniani kwasasa kuliko timu yoyote hile.
8) Wanaamini Guardiola anabahatisha tu lakini Hamna kitu.
9) Wanaamini Lovren ni Best Centre Back in the world, Kwahiyo akienda Real basi Ramos ajiandae Kuwarm bench
10) Wanaamini unapomkosoa Klopp manake wewe huipendi timu na hujui chochote kwenye soka.
Sasa ukishakuwa na mitazamo hiyo kwao wanakuona wewe ndiye LIVERPOOL HALISI.
Liverpool halisi tuzidi shikamana,tupo pazuri sana!
BHA ni mechi muhimu sana kwetu ugenini
Nina imani vijana watafanya vyema
UMOJA WETU NDIYO MTAJI WETU
Ndio ndio mwana Liverpool HALISI ..uhakika wa Klopp kubeba EPL na UCL ninyi munao..Liverpool halisi tuzidi shikamana,tupo pazuri sana!
BHA ni mechi muhimu sana kwetu ugenini
Nina imani vijana watafanya vyema
UMOJA WETU NDIYO MTAJI WETU
Sasa kama hao akina Moreno na Mignolet hamuwapi nafasi ya kutosha unategemea watakuwaje fiti?
Huoni Man united wametoa nafasi ya kutosha kwa Rashford, Martial, Lingard...
Tatizo la UBAGUZI wa Klopp utafanya mukose makombe kabisa msimu huu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha cc@Malafyale na wenzake ni Liverpool HALISI bwana..
Nyie Liverpool UCHWARA kazi kubwa ni kumkosoa Klopp ..wakati ni kocha "BORA" kabisa duniani kwa kizazi cha sasa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Bakayoko is a better footballer than Naby Keita. Discuss
Unamaanisha Firmino aekwe Benchi acheze Origi au?
Keita alijua Barca asingepata namba,Tuache ushabiki wa kinafki wewe Jasho La Kuku
Nasikia huyo Bakayoko mlivyokmuwa wa ajabu ni timu mbili tu zilizokuwa zinamuwania ; yaani nyinyi Chelsea na mzee Wenger(ahahahahahhaah yaani Conte na mwenzie Wenger ahahahahahahah)
Nakupa home work kafukue Keita aliwaniwa na timu ngapi
Keita alikataa Barca we unaleta fikra kuwa Bakayoko anamzidi Keita
Vs Red start Milner made kind of the same mistake jana na both resulted to goals...Mambo mawili niliyoyaona Jana!
Fabinho kwenye Centre back ni 100000 times better than Lovren
Ki-Jana ni mtaji mzuri wa baade ingawa kwasasa ni mdogo kumchezesha CB moja kwa moja tutakuja kumuumizisha.
No more Chance kwa Moreno
No more chance kwa Mignolet
Sturridge career is Over
Keita is inconsistent
No Liverpool B, only Team A
Xhaqir has more impact anapokuwa supersub, kuliko anapokuwa kwenye starting Line-up.
Milner ni backup player kwenye Midfield na si kwenye Defence.
na hapati hata benchi hayumoKeita alijua Barca asingepata namba,
Kwahiyo wewe ndo liverpool mwenyeweSio kazi yangu kutaja hao wahalifu
Halisi ni mm hapa!
Firmino hana speed
nafasi Mkuu ndio hizi kama jana na ni timu zote hawa wachezaji akiba hupewa game time kwenye haya makombe mbuzi...Sasa kama hao akina Moreno na Mignolet hamuwapi nafasi ya kutosha unategemea watakuwaje fiti?
Huoni Man united wametoa nafasi ya kutosha kwa Rashford, Martial, Lingard...
Tatizo la UBAGUZI wa Klopp utafanya mukose makombe kabisa msimu huu..
Sent using Jamii Forums mobile app
We have trent,gomez,fabinho,milner na camacho/hoever. Hao wote wanacheza namba mbiliIt was a mistake to loan Clyne at this time...big MISTAKE!
Kwa io unataka origi acheze af firmino akae bench?[emoji23] una mawazo ya ovyo sanaMi nalia na hii ya kumchezesha Firmino namba 9 wakati Origi yupo
having them is one thing but delivering wins wen given th chance is another thing...We have trent,gomez,fabinho,milner na camacho/hoever. Hao wote wanacheza namba mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uzembe wa mchezaji unaweza sababishwa na kocha mwenyewe mfano mzuri nyie.Michezaji yenyewe tu ni mizembe haifai kuichezea liverpool kocha kayaona yanfaa kwenye mazoez kayaamini lakin yamemwangusha.