Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Fab kacheza game ngapi za epl, hizo mido ndizo zimewafikisha hapo with 4 points more. sometimes ukilalamika sana unaonekana dhaifu unajificha nyuma ya lawama zako
kwa taarifa yako hizo mido zimechangia nyinyi kutofungwa magoli mengi epl pamoja na beki zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo na genge lake wao wanajua nani acheze wapi na mechi gani kuliko Klopp.
Sisi Liverpool HALISI isha wapuuza zamani sana
 
Hili limeshapita! Ila baada ya michezo yetu hii 5 basi tutaongoza ligi kwa Points 10 na ninajiamini kwa hili.

January
√ 12 – Brighton and Hove Albion (A)
√ 19 – Crystal Palace (H)
√ 30 – Leicester City (H)

February
√ 4 – West Ham United (A)
√ 9 – Bournemouth (H)
Sasa point 10 mtapata vipi na middle yenu kocha anayoiamini ndio hiyo isiyo na mafanikio. Mbona unajichanganya Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanachoshangilia Opponents wetu hapa si sisi kukosa Ubingwa!

Bali wanashangiria sisi kufungwa tu ili tusiwe Unbeaten.

Lakini Kuhusu ubingwa wanajua wazi kuwa hakuna wakutuchallenge

Mkuu trust me! Tutaendelea hivihivi kuongoza Ligi mpaka mwisho wa Msimu na kubeba ubingwa kabisa.
Challengers wapo but mna nafasi kubwa ya kuwin. usilewe sifa ukakosa la kusema baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye ukweli lazima ukweli usemwe hata ukiwa mchungu kuweka mids ya Hendo,Gin,Milner ni kujitafutia majanga yasiyo na umuhimu
Man u fans walilia sana kuwekwa benchi kwa pobga kwa hiyo mashabiki wa man u walikuwa wanalilia kitu ambacho hawajui
Lakini kuja kwa OGS kumwanzisha Pobga na Mata kinachotokea kila mtu anajua
Kwa hiyo mashabiki wa liver wanaposema kuwa mid ya hendo,gin,milner ni dhaifu kuna ukweli kuhuso hilo tukubali tukatae kwa sababu mpira unachezwa hadharani sio chumbani na tumeshinda mechi nyingi msimu huu kwa formation ya 4231 sioni kwa nini tung'ang'anie 433
Nawatakia jumamosi njema YNWA
 
yaan mpak wachambuzi wa Tanzania walio jaa ushabik na unafiki mwingi wanasema kuwa liverpool ikiendelea kuwa shikilia lovren na henderson bas haito twaa ubingwa kamwa BADO KUNA MABULLDOZA HUMU YANAJIFANYA KUONA KLOPP YUKO SAHIHI KWA KILA KIKOSI ANACHOPANGA HUO NI UPUMBAFU TENA MKUBWA klopp hatokuja kuwa bora mbele ya pep mpk atakapo fanya makubwa aliyo yafanya pep na hawez kuwa kufika level za pep kwa sasa mpk pale atakapo waacha hendo na love njeee huko wasugue benchi mpk akil ziwakae saw

Tazama pep kamshikilia Fernandinho no matter ni game gani ya Epl au Uefa kumwacha kwake ni mpk apate injury sasa klopp anatufanyia rotation ya mildfields ambazo ndizo za muhimu na kutupangia ule uchafu wa hendo

Huu ujinga hauvumiliki klopp akiendelea hivi ataishia kufuga ndevu ila ushind wa trophy asahau dadika zake

Ww una KEITA,GINI,FAB,MILNER,SHAKIR, Anataka apew nn kingine ajue kwamba hao watu ni very potential

Hendo hendo hendo huu ni uchafu tu kubabake zake

Lovren lovren huyu ndo mchomeshaji mkubwa kabisa

Klopp lazima atulize akil na ajue Epl sio Bundersliga ligi inayotawaliwa na timu mbil bali EPL ni more than 5 teams all they need trophy so

Klopp ajitoe kwenye kitanzi cha waingereza maisha atayafurahia ila akitaka kuishi kwa kutapatapa kila siku basi awakumbatie hao wacheza ragbi wawil LOVREN na HENDO
"THERE IS NO MERCY FOR COWARDS"

NARUDIA TENA KLOPP LAZIMA ACHUKUE MAAMUZI MAGUMU SANA TENA SANA KUANZA KUMPIKA BENCHI HENDO MPAK ASAHAU NAMBA YAKE kuhusu huyo LOVREN yy hana shaka huyu yy kesi yake GOMEZ kasha imaliza


YNWA



Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaan mpak wachambuzi wa Tanzania walio jaa ushabik na unafiki mwingi wanasema kuwa liverpool ikiendelea kuwa shikilia lovren na henderson bas haito twaa ubingwa kamwa BADO KUNA MABULLDOZA HUMU YANAJIFANYA KUONA KLOPP YUKO SAHIHI KWA KILA KIKOSI ANACHOPANGA HUO NI UPUMBAFU TENA MKUBWA klopp hatokuja kuwa bora mbele ya pep mpk atakapo fanya makubwa aliyo yafanya pep na hawez kuwa kufika level za pep kwa sasa mpk pale atakapo waacha hendo na love njeee huko wasugue benchi mpk akil ziwakae saw

Tazama pep kamshikilia Fernandinho no matter ni game gani ya Epl au Uefa kumwacha kwake ni mpk apate injury sasa klopp anatufanyia rotation ya mildfields ambazo ndizo za muhimu na kutupangia ule uchafu wa hendo

Huu ujinga hauvumiliki klopp akiendelea hivi ataishia kufuga ndevu ila ushind wa trophy asahau dadika zake

Ww una KEITA,GINI,FAB,MILNER,SHAKIR, Anataka apew nn kingine ajue kwamba hao watu ni very potential

Hendo hendo hendo huu ni uchafu tu kubabake zake

Lovren lovren huyu ndo mchomeshaji mkubwa kabisa

Klopp lazima atulize akil na ajue Epl sio Bundersliga ligi inayotawaliwa na timu mbil bali EPL ni more than 5 teams all they need trophy so

Klopp ajitoe kwenye kitanzi cha waingereza maisha atayafurahia ila akitaka kuishi kwa kutapatapa kila siku basi awakumbatie hao wacheza ragbi wawil LOVREN na HENDO
"THERE IS NO MERCY FOR COWARDS"

NARUDIA TENA KLOPP LAZIMA ACHUKUE MAAMUZI MAGUMU SANA TENA SANA KUANZA KUMPIKA BENCHI HENDO MPAK ASAHAU NAMBA YAKE kuhusu huyo LOVREN yy hana shaka huyu yy kesi yake GOMEZ kasha imaliza


YNWA



Sent using Jamii Forums mobile app
Sina cha kuongeza kwa kweli hili tuache unafiki timu yetu ya ushindi inajulikana kabisa sio muda wa kubet huu ni kupanga full squad ya ushindi hata kwenye FA cup
Kwanza kuwa bingwa wa FA cup ni heshima kubwa sana game ya jumatatu dhini ya wolves ni muhimu sana klop apange kikosi cha mauwaji tu hakuna namna
 
Mshabiki wa Manure ananiquote kila Post yangu eti anatetea Maslahi ya Wachezaji wa Liverpool..

As we Know hakujawahi kutokea Mshabiki wa Manure hata mmoja Kupenda au kutetea Maslahi ya Mchezaji, Mji, Timu au Mpenzi wa Liverpool.

Leohii eti ananikosoa mimi!!!!

Washabiki sote Wa Liverpool tulikuwa tunaunga Mkono ugomvi wa Mourinho na Pogba & Martial uendelee Coz tulikuwa tunafaidika na Ugomvi hule kwa Man United kutofanya Vizuri.

Sasa na ukiona Mshabiki wa Manure nayeye anaunga Mkono na Kutetea Jambo lolote linalohusu Liverpool basi ujue jambo hilo halinamaslahi kwetu Bali ni yeye ndiye atakayefaidika na Jambo hill.

That is Why ndiyo anatetea Mido ya GINI-HENDO-MILNER ili tukikutana nao Klopp awapangie Mido hiyo dhidi ya MATIC-HERERRA-POGBA.

Hapo itakuwa Fresh tu kwani Naamini POGBA hatofurukuta mbele ya HENDERSON. Sikuhiyo POGBA mpira utamshinda tu kwani uwezo wake ni mdogo sana mbele ya Henderson.

MATIC - HERRERA - POGBA
vs
GINI - HENDO - MILNER

Lazima kwa Mido zetu hizo bora unazozisifia basi mpira kina Pogba watautafuta Kwa Tochi ndani ya OT.

You are Ignored bro!
 
yaan mpak wachambuzi wa Tanzania walio jaa ushabik na unafiki mwingi wanasema kuwa liverpool ikiendelea kuwa shikilia lovren na henderson bas haito twaa ubingwa kamwa BADO KUNA MABULLDOZA HUMU YANAJIFANYA KUONA KLOPP YUKO SAHIHI KWA KILA KIKOSI ANACHOPANGA HUO NI UPUMBAFU TENA MKUBWA klopp hatokuja kuwa bora mbele ya pep mpk atakapo fanya makubwa aliyo yafanya pep na hawez kuwa kufika level za pep kwa sasa mpk pale atakapo waacha hendo na love njeee huko wasugue benchi mpk akil ziwakae saw

Tazama pep kamshikilia Fernandinho no matter ni game gani ya Epl au Uefa kumwacha kwake ni mpk apate injury sasa klopp anatufanyia rotation ya mildfields ambazo ndizo za muhimu na kutupangia ule uchafu wa hendo

Huu ujinga hauvumiliki klopp akiendelea hivi ataishia kufuga ndevu ila ushind wa trophy asahau dadika zake

Ww una KEITA,GINI,FAB,MILNER,SHAKIR, Anataka apew nn kingine ajue kwamba hao watu ni very potential

Hendo hendo hendo huu ni uchafu tu kubabake zake

Lovren lovren huyu ndo mchomeshaji mkubwa kabisa

Klopp lazima atulize akil na ajue Epl sio Bundersliga ligi inayotawaliwa na timu mbil bali EPL ni more than 5 teams all they need trophy so

Klopp ajitoe kwenye kitanzi cha waingereza maisha atayafurahia ila akitaka kuishi kwa kutapatapa kila siku basi awakumbatie hao wacheza ragbi wawil LOVREN na HENDO
"THERE IS NO MERCY FOR COWARDS"


NARUDIA TENA KLOPP LAZIMA ACHUKUE MAAMUZI MAGUMU SANA TENA SANA KUANZA KUMPIKA BENCHI HENDO MPAK ASAHAU NAMBA YAKE kuhusu huyo LOVREN yy hana shaka huyu yy kesi yake GOMEZ kasha imaliza


YNWA



Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi hata siwaquote huwa ninawapuuza tu!

Wengine wameshajua kuwa ninawapuuza! Hawaniquote tena.

Ila wengine hawajui kupuuzwa wanaendelea kujishauwa.

Ukweli ni Kwamba hao ni Washabiki wa Timu 2 tu! Manure na Arsenal.

Walifurahi Usiku na Mchana hapa Kuuzwa kwa Coutinho. Lakini leo eti wanaumia kuundoshwa kwa Clyne.
Pia wanaumia pale tunaposema Louvren na Henderson wasichezeshwe Liverpool.

Sasa Imagine Mtu aliyefurahia Coutinho kutoichezea tena Liverpool, Leo hii anasikitika kwa Lovren na Henderson kulamimikiwa Wasiichezee Liverpool.

Sasa hapa ni wazi kuwa wanataka tuendelee kuchezesha Wachezaji wabovu ili mwisho wa Msimu waendelee kutucheka.

Sasa hapa pans Mbumbumbu wa Liverpool amekuwa Brainwashed na Washabiki hao na kuhisi ni Wenziwe ambao anawaita Liverpool Halisi.

Just Wapuuze tu Mkuu wajinga kama hao.
 
Sijawah kuona Captain asiye jua mpira. Uzuri wazungu wenyewe wamempachika jina la "CAPTAIN BACKPASS"

Tukitaka tubebe makombe EPL,FA, UEFA hebu huu uchafu wa Henderson uondolewe haraka iwezekanavyo alaf uCaptain apewe haraka VVD.

Mzee wetu Milner tunampenda na kumheshimu sana kwa mchango wake Liver, lakin huu ni wakat wa kustaafu na kula penshen kwa kikokotoo kipya cha magu.

Hebu aachie vijana nao waoneshe uwezo wao.

Lovren hili ni jipu sugu, Tafadhal Klopp hebu muuze huyu bure huko Fulham, liverpool ni Team kubwa sana Dunian, kutunza mtu type ya Lovren ni suicide mission.

TAA na wewe tunazidi kukuscan tu, soon tutakuunganisha kwenye kundi la wakina Henderson.

Kule subs, Huu uchafu wa the so called Moreno, Lallana unatakiwa uflashiwe haraka iwezekanavyo, mara 10 hata Sturrg na Origi walioweza kuleta impact ya magoli katika mechi muhimu hata hivyo nao hakuna namna mmoja wao kama sio wote inabid utumbuaji ufanyike haraka hata kwa mkopo.

Tunataka Tuwe na kikosi ambacho kila mchezaj ana impact. Jaman Liverpool hii sio ile ya miaka iliyopita, midtable oriented, hii ni liverpool mpya ambayo ndio team pekee kutoka England iliyo threat kwa vilabu vikubwa kama Juve, Barca, Madrid.

NoteThat: Liverpool sio Sunderland, Lovren, Hendo, lallana na wenzako tunaomba mlielewe hili suala.
 
Huyu fundi anakosaje namba mbele ya Henderson? Jama haya ni maajabu ya dunia.

Mkuu tokea Juzi Ninafuatlia habari za Liverpool Echo naona wamesheheni Kupost Makala za Midfield..

Na Kumbuka hawa Echo ndiyo waliokuwa wakimpressurize Klopp kuwachezesha MILNER-HENDO....

Sasa Ukweli umeshathibi kuwa Hiyo ni Mido mbovu! Kwahiyo nawao Echo wanaanza Kumpressurize Klopp asiichezeshe hiyo Mido na Kumpigia debe Fabinho.

Kwahiyo naamini Mambo mazuri yanakuja coz Echo wana influence kubwa sana kwa Liverpool.

Echo wakati wameshaikataa hii Mido ya GINI-HENDO-MILNER basi naamini haitokuja tena.
 
Ni bora kuwa Mjinga kwa sababu hujui unaweza kuelimishwa lakini Upumbavu ni kuwa unajua kila kitu lakin kweli hujui chochote au unajua kidogo na huwezi penda challenge.
You are Welcome Brother!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuropoka
Kwenye ukweli lazima ukweli usemwe hata ukiwa mchungu kuweka mids ya Hendo,Gin,Milner ni kujitafutia majanga yasiyo na umuhimu
Man u fans walilia sana kuwekwa benchi kwa pobga kwa hiyo mashabiki wa man u walikuwa wanalilia kitu ambacho hawajui
Lakini kuja kwa OGS kumwanzisha Pobga na Mata kinachotokea kila mtu anajua
Kwa hiyo mashabiki wa liver wanaposema kuwa mid ya hendo,gin,milner ni dhaifu kuna ukweli kuhuso hilo tukubali tukatae kwa sababu mpira unachezwa hadharani sio chumbani na tumeshinda mechi nyingi msimu huu kwa formation ya 4231 sioni kwa nini tung'ang'anie 433
Nawatakia jumamosi njema YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Captain hastahili kukaa bench
yaan mpak wachambuzi wa Tanzania walio jaa ushabik na unafiki mwingi wanasema kuwa liverpool ikiendelea kuwa shikilia lovren na henderson bas haito twaa ubingwa kamwa BADO KUNA MABULLDOZA HUMU YANAJIFANYA KUONA KLOPP YUKO SAHIHI KWA KILA KIKOSI ANACHOPANGA HUO NI UPUMBAFU TENA MKUBWA klopp hatokuja kuwa bora mbele ya pep mpk atakapo fanya makubwa aliyo yafanya pep na hawez kuwa kufika level za pep kwa sasa mpk pale atakapo waacha hendo na love njeee huko wasugue benchi mpk akil ziwakae saw

Tazama pep kamshikilia Fernandinho no matter ni game gani ya Epl au Uefa kumwacha kwake ni mpk apate injury sasa klopp anatufanyia rotation ya mildfields ambazo ndizo za muhimu na kutupangia ule uchafu wa hendo

Huu ujinga hauvumiliki klopp akiendelea hivi ataishia kufuga ndevu ila ushind wa trophy asahau dadika zake

Ww una KEITA,GINI,FAB,MILNER,SHAKIR, Anataka apew nn kingine ajue kwamba hao watu ni very potential

Hendo hendo hendo huu ni uchafu tu kubabake zake

Lovren lovren huyu ndo mchomeshaji mkubwa kabisa

Klopp lazima atulize akil na ajue Epl sio Bundersliga ligi inayotawaliwa na timu mbil bali EPL ni more than 5 teams all they need trophy so

Klopp ajitoe kwenye kitanzi cha waingereza maisha atayafurahia ila akitaka kuishi kwa kutapatapa kila siku basi awakumbatie hao wacheza ragbi wawil LOVREN na HENDO
"THERE IS NO MERCY FOR COWARDS"

NARUDIA TENA KLOPP LAZIMA ACHUKUE MAAMUZI MAGUMU SANA TENA SANA KUANZA KUMPIKA BENCHI HENDO MPAK ASAHAU NAMBA YAKE kuhusu huyo LOVREN yy hana shaka huyu yy kesi yake GOMEZ kasha imaliza


YNWA



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tokea Juzi Ninafuatlia habari za Liverpool Echo naona wamesheheni Kupost Makala za Midfield..

Na Kumbuka hawa Echo ndiyo waliokuwa wakimpressurize Klopp kuwachezesha MILNER-HENDO....

Sasa Ukweli umeshathibi kuwa Hiyo ni Mido mbovu! Kwahiyo nawao Echo wanaanza Kumpressurize Klopp asiichezeshe hiyo Mido na Kumpigia debe Fabinho.

Kwahiyo naamini Mambo mazuri yanakuja coz Echo wana influence kubwa sana kwa Liverpool.

Echo wakati wameshaikataa hii Mido ya GINI-HENDO-MILNER basi naamini haitokuja tena.

Good start Mkuu, natumain kwa maandiko mfululizo ya Liverpoolecho basi soon tutapata kikos kizur permanent hasa pale kwenye midfield. #ALLEZ #YNWA
 
IMG-20190105-WA0008.jpg


Haya sahivi tunaongea kwa takwimu, endeleen kutetea upuuzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom