Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aisee Mimi ni man U kabisa lakini ulichokiongea kina asilimia zote za ukweli.
Kwenye vibanda umiza huwa nawambia mashabiki wa liver huyo hendason hana uwezo wa kucheza Mpira, hawezi kukaba hana ufundi wa kukokota mpira kupeleka mashambulizi kama alivyo Pogba. Halafu eti anaaminiwa kupewa nafasi ya mafundi. Mpira wa Leo unaamuliwa na viungo bora sio zama za kiungo kubutuabutia.
Millina nae ni jibu liver kibaya chake anataratara uwanjani bila mipango kwa hicho lisilo na udadisi unaweza Dhabi Millina anapiga kazi kumbe ni kukimbiakimbia tu hovyohovyo.
Kuna ka sub kengine uchwara kanaitwa eti lallana yako pia ni kajipu hapo liver. Kakiingia dimbani mashabiki uchwra wa liver wanaona wameingiza sub kumbe danga tu. Tatizo LA Lallana na yeye hana ufundi na mbio upepo unamkatikiaga njiani balaa lake anaanguka hovyo au kupiga Paso ilimradi tu kapiga mpira unaenda kwa adui.
Kwa hiyo Ndugu zangu wanaliver fanyieni marekebisho ya haraka kwa hao watu watatu kwanza ili muwe na hakika ya kuchukua ubingwa tofauti na hapo mkaendeleA kuwabebelea kwa sababu ya uingereza Wao mtaendelea kuwa mnalialia kila ifikapo mwisho wa msimu.
Man U tumeamua kupiga kazi hatutaki tena utani kwenye masuala muhimu.
 
Kila la Kheri Kwa Maisha Mapya Career zaenu mpya Next season

• Alberto Moreno
• Daniel Sturridge
• Connor Randall
• Lazar Markovic
 
View attachment 986642

Haya sahivi tunaongea kwa takwimu, endeleen kutetea upuuzi.

Kuna Mshabiki Mmoja hapo juu wa Manure hajatimiza hata Games 3 za Liverpool kuziangalia msimu huu eti ananifahamisha Mimi ninayeangalia game baada ya game kuwa Mido hiyo imetupa mafanikio ya kutufikisha hapa tulipo.

Yaani nimeona bora Ninyamaze tu Coz nilikwisha jiridhisha kuwa hajui lolote kuhusu Liverpool!

Sasa nitakuwa na Haka gani Kubishana na Mbumbumbu!

Yani Kumbi hata hajui kuwa Mechi zote Muhimu tumepoteza kwa Sababu ya hiyo Mido then anapata ujasiri wa kunicritisize Mimi?
Aka kweli hichi ni kizazi cha Kambare.
 
Wapi nimekuvunjia heshima?
Liverpool HALISI tupo na team ama tumeshinda au tumepoteza
Hatumpi lawama mchezaji yyt,tukifungwa tumefungwa WOTE na tukishinda huwa tumeshinda WOTE
Liverpool HALISI hapa tunafahamiana,na Liverpool uchwara pia tunawajua
Klopp is our Manager
Hendo is our Captain!
PERIOD.
Kudo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaan mpak wachambuzi wa Tanzania walio jaa ushabik na unafiki mwingi wanasema kuwa liverpool ikiendelea kuwa shikilia lovren na henderson bas haito twaa ubingwa kamwa BADO KUNA MABULLDOZA HUMU YANAJIFANYA KUONA KLOPP YUKO SAHIHI KWA KILA KIKOSI ANACHOPANGA HUO NI UPUMBAFU TENA MKUBWA klopp hatokuja kuwa bora mbele ya pep mpk atakapo fanya makubwa aliyo yafanya pep na hawez kuwa kufika level za pep kwa sasa mpk pale atakapo waacha hendo na love njeee huko wasugue benchi mpk akil ziwakae saw

Tazama pep kamshikilia Fernandinho no matter ni game gani ya Epl au Uefa kumwacha kwake ni mpk apate injury sasa klopp anatufanyia rotation ya mildfields ambazo ndizo za muhimu na kutupangia ule uchafu wa hendo

Huu ujinga hauvumiliki klopp akiendelea hivi ataishia kufuga ndevu ila ushind wa trophy asahau dadika zake

Ww una KEITA,GINI,FAB,MILNER,SHAKIR, Anataka apew nn kingine ajue kwamba hao watu ni very potential

Hendo hendo hendo huu ni uchafu tu kubabake zake

Lovren lovren huyu ndo mchomeshaji mkubwa kabisa

Klopp lazima atulize akil na ajue Epl sio Bundersliga ligi inayotawaliwa na timu mbil bali EPL ni more than 5 teams all they need trophy so

Klopp ajitoe kwenye kitanzi cha waingereza maisha atayafurahia ila akitaka kuishi kwa kutapatapa kila siku basi awakumbatie hao wacheza ragbi wawil LOVREN na HENDO
"THERE IS NO MERCY FOR COWARDS"

NARUDIA TENA KLOPP LAZIMA ACHUKUE MAAMUZI MAGUMU SANA TENA SANA KUANZA KUMPIKA BENCHI HENDO MPAK ASAHAU NAMBA YAKE kuhusu huyo LOVREN yy hana shaka huyu yy kesi yake GOMEZ kasha imaliza


YNWA



Sent using Jamii Forums mobile app
Last season Pep kapigwa 3 times na Moja ilikuwa kuvunja mwiko wa unbeaten.
Msiwe wasahaulifu.pitieni rekodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye ukweli lazima ukweli usemwe hata ukiwa mchungu kuweka mids ya Hendo,Gin,Milner ni kujitafutia majanga yasiyo na umuhimu
Man u fans walilia sana kuwekwa benchi kwa pobga kwa hiyo mashabiki wa man u walikuwa wanalilia kitu ambacho hawajui
Lakini kuja kwa OGS kumwanzisha Pobga na Mata kinachotokea kila mtu anajua
Kwa hiyo mashabiki wa liver wanaposema kuwa mid ya hendo,gin,milner ni dhaifu kuna ukweli kuhuso hilo tukubali tukatae kwa sababu mpira unachezwa hadharani sio chumbani na tumeshinda mechi nyingi msimu huu kwa formation ya 4231 sioni kwa nini tung'ang'anie 433
Nawatakia jumamosi njema YNWA
Mkuu ishu kwa midfield ya Hendo, Gini,Milly imeshindwa kusaka pointi 3 muhimu maana ukweli ni kwamba tulizihitaji SANA pointi 3 kwa City ili angalau tukae kileleni na bonous ya pointi 10...hivyo ile gemu ilitakiwa wacheza kama ndio ya kufunga msimu sasa matokeo yake tukawa tunaomba mpira uiishe maana hali ingeku mbaya zaidi...

Mnakumbuka fainali ya UCL vs Ac Milan au FA fainali vs Westham...wachezaj walikua wanajituma jihad maana wanajua hizi nafasi hazij kila siku, hivyo hii midfield kwa kweli Klopp aipumzishe jama
 
Last season Pep kapigwa 3 times na Moja ilikuwa kuvunja mwiko wa unbeaten.
Msiwe wasahaulifu.pitieni rekodi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa kibovu ww umekurupuka nani kasema klopp hawez kumfunga guardiola nilichozungumzua ni issue nzima ya trophy kama uefa ,league

Sasa Kampiga mara 3 afuu ikawaje au alipata nini????

Hatushangilii kushinda kwa pep pekee ila tunataka trophy

Kikikuuma chomoa wanakosea manabii bhana ije kuwa klopp yeye ni MTU gani mpk asiambiwe anapo kosea

Hiv ushafatilia mitandao ya kijamii na account za LFC kwa sasa watu wana pinga hiyo takataka anayo ipangaga hapo DM huyo klopp wako unaemuona mungu mtu

Klopp ni kocha mzuri ila anakosa chembechembe za hekima mpk sasa thus y mambo mengi kwake yanaenda kombo
Anatakiwa aachane na kiburi cha kufuga hao wacheza ragbi wa EPL ndipo atakua bora zaid ya hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa kibovu ww umekurupuka nani kasema klopp hawez kumfunga guardiola nilichozungumzua ni issue nzima ya trophy kama uefa ,league

Sasa Kampiga mara 3 afuu ikawaje au alipata nini????

Hatushangilii kushinda kwa pep pekee ila tunataka trophy

Kikikuuma chomoa wanakosea manabii bhana ije kuwa klopp yeye ni MTU gani mpk asiambiwe anapo kosea

Hiv ushafatilia mitandao ya kijamii na account za LFC kwa sasa watu wana pinga hiyo takataka anayo ipangaga hapo DM huyo klopp wako unaemuona mungu mtu

Klopp ni kocha mzuri ila anakosa chembechembe za hekima mpk sasa thus y mambo mengi kwake yanaenda kombo
Anatakiwa aachane na kiburi cha kufuga hao wacheza ragbi wa EPL ndipo atakua bora zaid ya hapo


Sent using Jamii Forums mobile app
Klopp has beaten Pep 7 tyms, Pep has beaten Klopp 6 tyms...
 
Mshabiki wa Manure ananiquote kila Post yangu eti anatetea Maslahi ya Wachezaji wa Liverpool..

As we Know hakujawahi kutokea Mshabiki wa Manure hata mmoja Kupenda au kutetea Maslahi ya Mchezaji, Mji, Timu au Mpenzi wa Liverpool.

Leohii eti ananikosoa mimi!!!!

Washabiki sote Wa Liverpool tulikuwa tunaunga Mkono ugomvi wa Mourinho na Pogba & Martial uendelee Coz tulikuwa tunafaidika na Ugomvi hule kwa Man United kutofanya Vizuri.

Sasa na ukiona Mshabiki wa Manure nayeye anaunga Mkono na Kutetea Jambo lolote linalohusu Liverpool basi ujue jambo hilo halinamaslahi kwetu Bali ni yeye ndiye atakayefaidika na Jambo hill.

That is Why ndiyo anatetea Mido ya GINI-HENDO-MILNER ili tukikutana nao Klopp awapangie Mido hiyo dhidi ya MATIC-HERERRA-POGBA.

Hapo itakuwa Fresh tu kwani Naamini POGBA hatofurukuta mbele ya HENDERSON. Sikuhiyo POGBA mpira utamshinda tu kwani uwezo wake ni mdogo sana mbele ya Henderson.

MATIC - HERRERA - POGBA
vs
GINI - HENDO - MILNER

Lazima kwa Mido zetu hizo bora unazozisifia basi mpira kina Pogba watautafuta Kwa Tochi ndani ya OT.

You are Ignored bro!
UBAGUZI wa Klopp utafanya mkose ubingwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ishu kwa midfield ya Hendo, Gini,Milly imeshindwa kusaka pointi 3 muhimu maana ukweli ni kwamba tulizihitaji SANA pointi 3 kwa City ili angalau tukae kileleni na bonous ya pointi 10...hivyo ile gemu ilitakiwa wacheza kama ndio ya kufunga msimu sasa matokeo yake tukawa tunaomba mpira uiishe maana hali ingeku mbaya zaidi...

Mnakumbuka fainali ya UCL vs Ac Milan au FA fainali vs Westham...wachezaj walikua wanajituma jihad maana wanajua hizi nafasi hazij kila siku, hivyo hii midfield kwa kweli Klopp aipumzishe jama
100% true
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom