Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kusupport Nilichokiandika Manayake hapa umeshamkana Rafiki yako Malafyale kwani yeye anaamini Liverpool hii ni bora zaidi ya Hata Barcelona au Man City inayotetea Kombe.

Kama huamini pitia Posts zake Jana uone ujumbe anaotupa kuhusu wachezaji wetu na Barcelona.

Na anaamini Klopp Ni Best Coach kwa Liverpool kuliko aliyekwisha kutupa mafanikio kuliko Benitez.

Sawa nashangaa kuniambia Nimeongea ukweli! 😀😀

Kumbe ukweli munaujua bali huwa munaleta unafiki wenu tu
Hakuna cha ukweli wewe mwenyewe umekili kuwa hii ni liverpool bora toka ile ya miaka ya 70s....ila jambo la msingi ni makombe na future ipo ila katika soka lolote linaweza tokea so tusubiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakaemfunga Liverpool basi na ubingwa utaanza kuota mbawa pale anfild

Je kuna fans wa Liverpool anaamini team yake haitafungwa msimu huu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mangi naona leo umepata ushindi, hongera..

sisi Liverpool hatuna noma tunachukua gemu baada ya gemu hivyo next ni Manshit taratibu mtaanza kutuelewa...
 
Kwani game ya kwanza pale emirates ulikifanya nini?niwakubali kwa lipi wakati tulisuluhu na mpira nlicheza mimi dk zote kaangalie takwimu urudi na usiwe unakurupuka kama umetoka usingizini.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mpira ucheze wewe tena kwako halafu unaambulia sare? Liver akicheza mpira halafu kwake lazima mtu ale tano
 
hata mimi nitasaidia kuisave nakuhakikishia mimi sio plastic fan nitakuwepo hapa kuwatia njaa kingazi na masika....................najua uwepo wa hizi shangwe zenu ni upepo tu,ukitoboa huu mwaka bila tundu kutobolewa mimi najipiga lifeban ..TUOMBE UZIMA

Dully Jr yanahaitajika maelezo yako hapa

au ulikua unatania
 
Wewe si una timu yako? Mbona unadandia za wenzio, tuache tubishane na man city wewe ushapigwa tano kausha
Hahahahahahah na siku mkipigwa lazma nije kusafisha humu kwa kutoa upukupuku wa ushabiki maandazi humu....ntawaban isha wa kutosha kwani lazma muumuke labda muacha jamvi mkimbie

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom