Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kweli ni usaliti nakumbuka ronaldo aliambiwa ataondoka msimu unaofuata wa 2009/2010 alikubali ina maana angeandoka msimu wa 2008/9 kuchukua uefa ingekuwa vigumu alifunga goli muhimu sana kwetu nimekuelewa.
Hii gemu ili fanya nisimkubali Cr7 mpka leo.

Enewei yalishapita na maisha yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasahivi iwapo OGS atapata mtaalamu Wa Kutumia Propaganda kwenye Media kuwajenga Wachezaji Kuwa na Ari kibwa kuliko Hata viwango vyao!
Na vilevile kuwafanya Washabiki Wawe na Moral kawa Wa Liverpool pale Anfield wanomfunga Pep kwa Shangwe tu! Basi January haiwahi kumaliza Munamshusha Arsenal na Chelsea.
Unavyo wapanga kama kweli vile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichogundua Ni kwamba Kuna Watu Wanapima Ushabiki Wa Mtu kwa Kuangalia Tarehe aliyojiunga JF.

Pia wanapima umri Wa Mtu kwa Kuangalia Mwaka Mtu aliojiunga JF.

• Wanaamini Kuwa Wao waliojiunga Kati ya 2006 mpaka 2010 ndiyo walioanza Kupenda Mpira mwanzo na Ndiyo wao Wakubwa Kuliko sisi tuliojiunga Mwaka 2016.

• Kumbe Hawajui Kuwa mwaka 1994 ambao Mwanzilishi Wa JF yupo shule ya Msingi sisi SAA SABA usiku tunakesha Kuwaangalia Nigeria wakicheza World Cup.
Na wakati huo huo tunamshangilia Robbie Fowler akifanya Mambo Yake Liverpool.

MFANO: kwenye Halmashauri ninayoifanyia Kazi Mwaka Niliojariwa Kulikuwa na Jamaa Mmoja ananita DOGO na akawa anajiamini Kuwa yeye Ni Mkubwa kisa tu kaajiriwa Miaka 5 kabla yangu.

Kwahiyo Alijipima kulingana na Muda Wa kuajiriwa na kujikna yeye Ni Mkubwa.

Siku alipokuja kuina Tanzania ID yangu alijishangaa alipojikutia Mwaka aliozaliwa yeye Mimi nasoma Darasa la 3.

Kumbe hakujua Kuwa Kabla ya Kuanza kuajiriwa nilikuwa nikifanya Shughuli gani.

Kwahiyo kujiunga JF Leo haimaanishi Kuwa Mtu kapenda Mpira leo.

Abdallah Natepe Zanzibar Ni Mwanachama Wa Newcastle na Mdau Mkubwa Wa EPL lakini JF Hata hajui kama inaexist.
Mkuu nipe link na mimi nikasome yote ayo..

Maana nyinyi wengi mnaijua Liverpool kutokana na history yake..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni sahihi nadhani marefa msimu walipata kalipio au ndio upepo wa bahati na marefa upo nasi...

nasema kalipio maana takwimu za msimu uliopita zilionyesha Liverpool ndio timu ilitendewa sivyo na marefa aidha kwa kunyimwa penati na makosa mengine uwanjani hivyo msimu pengine wamejirekebisha na kututendea haki...

ni sahihi uwanja wa nyumbani jana tumeutumia vyema kabisa mashabiki Anfield walikua on thier toes mwanzo mwisho...

umepoteza jana jipange na yajayo maana hio tayari no done deal...
Mpira bila unafki hauendi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena Wanajotoa Kimasomaso wale wote waliokuwa Wakitushambulia tunapomkosoa Klopp kwa Kuwachezesha Wachezaji Wabovu.

Sasa Wanaona Aibu Hata Wacheze Uzuri Vipi Kina FABINHO, XHAQIRI, GOMEZ na ALISSON basi wanajifanya kupotezea hawawasifii Coz Nafsi Zinawasuta kwa Kitendo Chao Cha Kutushambulia Tulipokuwa tukikosoa Wachezaji waliokuwa Wakizicha Nafasi Hizo.

MIGNOLET - ALISSON
GOMEZ - LOVREN
FABINHO - HENDO
XHAQIRI - MILNER
Kwani wewe LECAPITAIN HENDO akicheza vizuri unamsifiaga?acha unafki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameshindwa hoja sasa wanaleta vioja! Hakuna mtu kamili hata klopp na yeye hajakamiliki like the rest of us, so sometimes anakosea tu na anahitaji kurekebishwa.
So what i see here when you give your opinion about our team in a positive way unaambiwa unamfundisha kocha kazi, everybody is entitled to their opinions and thats a fact.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja yako wewe ni ipi hapo sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui wanajisikiaje huko thamani yao ilikua kubwa sanaaa wakajifanya wanaweza kuishi popote wakasahau Liverpool ndo iliowang`arisha laana iwatafune hadi wajenkuomna radhi.

Naamin Faby kaja baada ya Can kuringa.
Can soon ananyanyua kwapa kule kwa coutinho tayari wewe baki na dua zako mbaya wenzako malengo yanatimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom