Stephen M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 372
- 379





Watching Arsenal now
man we will destroy them in transition
its a wrap haha
Mangi kama mechi hii kaitazama atakua na hali mbaya sana walijua ushukani tunaukamata kwa muda na hii deceba wengine walisema tutamaliza mwaka tukiwa nafasi nne au tano lol kumbe tupo ngangari mpaka mwisho...Hao nishasahau hata wanagombea nini, maana kina Eden Kimario, Mentor naona wamekimbia jukwaa.
Alisson Becker vs Arsenal:
37 passes (90% accuracy)
1 save
2 clearances
0 errors
0 losses of possession
He even managed to win an aerial duel..
Wakati huo huo
Aubameyang
13 touches
10 passes (6 from kick off)
Sent using Jamii Forums mobile app
Utadhani Bobby alikuwa anageuza ChapatiHili goli la pili lilitaka kunivunja mbavu kwa kichekoView attachment 980747
Hata mzimu ule mlisema hivi.
can i get Faby's stats man?
just how do u stop Bobby when he is on fire....lol mazuri yaja kabisa....Hili goli la pili lilitaka kunivunja mbavu kwa kichekoView attachment 980747
Apumzishwe ili ucheze wewe mkuu? Ile ni kazi yake na anatakiwa acheze dailyGuys KLOPP anapaswa kumpumzisha VVD wakati mwingine maana daaaah jamaa kacheza mechi zote 20 za EPL.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahApumzishwe ili ucheze wewe mkuu? Ile ni kazi yake na anatakiwa acheze daily
Mzimu wa kwny makaburi au Yale mamibuyu makubwa?Hata mzimu ule mlisema hivi.
Duh torori kweli noma hadi mpira unaotambaa chini kwny nyasi anachezaga kwa kichwa.Hili goli la pili lilitaka kunivunja mbavu kwa kichekoView attachment 980747
Guys KLOPP anapaswa kumpumzisha VVD wakati mwingine maana daaaah jamaa kacheza mechi zote 20 za EPL.
Sent using Jamii Forums mobile app