eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Leo ndugu zangu ni maumivu kwenu
Leo ndio ile siku ya maumivu
Ni kipigo Leo mnapokea
Leo ndio ile siku ya maumivu
Ni kipigo Leo mnapokea
Leo ndugu zangu ni maumivu kwenu
Leo ndio ile siku ya maumivu
Ni kipigo Leo mnapokea
Leo ndugu zangu ni maumivu kwenu
Leo ndio ile siku ya maumivu
Ni kipigo Leo mnapokea
Leo ndugu zangu ni maumivu kwenu
Leo ndio ile siku ya maumivu
Ni kipigo Leo mnapokea
Jisaidie jukwaani kwakoLeo ndugu zangu ni maumivu kwenu
Leo ndio ile siku ya maumivu
Ni kipigo Leo mnapokea
Kaka tulia jukwaa lako
Jisaidie jukwaani kwako
Usilete vinyesi huku
Leo kuna uwezekano mkubwa akacheza hendo na kila kitu kikabadilika hapo
ALISSON
CLYNE LOVREN VVD ROBBO
HENDO FABINHO
BOBBY
MANE SHAQIRI
SALAH
Hii ni kutokana na performance ya fabinho last game inakua hawezi kumdrop alafu pia hendo last game alimdrop i think kwa mara ya kwanza tutashuhudia pivot mid ya hendo na fab also kutokana na performance ya shaqiri game iliopita ni vigumu kumdrop
NB:Ni mawazo yangu tu kutokana navomjua klopp kwa uchache
Hendo akicheza leo anakua na game 300 so kwa heshima ya le capt nadhani ataanza
Leo ndugu zangu ni maumivu kwenu
Leo ndio ile siku ya maumivu
Ni kipigo Leo mnapokea
hahahahahahhhhaaaaaaaaa sawasawa kabisaHapa Ndiyo Jezi yangu ya Liverpool nitakapo iprint kwa Maandishi Ya Njano Kuwa Washabiki Wa Liverpool Tunapaswa Kuwa Wastahamilivu manake itakuwa Wachezaji Wanacheza Kwa ajili ya kupewa Heshima badala ya Viwangi.
Nadhani Mechi zake 300 with zero Trophy atazitimizia akitokea Sub.
Mkuu Firmino hawezi kuekwa Benchi Kisa tu Xhaqiri alifunga magoli 2 dhidi ya Man U.
Alichokifanya Firmino katika ile game Ni zaidi ya kufunga kwani Mpira is not all about scoring a goal.
Hata goli la 3 la Xhaqiri Ni assist ya Formino.
Na asilimia 75% Ni Firmino ndiye aliyepelekea Kuicontrol Mido kwenye game vs Manure.
Na ukimkuta Firmino yupo benchi basi Ni Kwasababu ya Rotation, lakini si kwa Performance Coz kwa Kikosi chetu kwasasa hakuna Wa Kuwaeka Benchi Salah, Firmino na Mane.
umuweke filmino bench wewe klopp hahahahahah acheni kuweweseka subirini kichapo .....jimenez ataweka sawa hii atmosphereMkuu kwani mi nimemuweka firmino benchi?
View attachment 973890chama la wana kama kawa kama dawa hamjawahi kukosea leo kwa hili kosi mtakuwa na kazi moja tu ya kunishikishia adabu hawa kuku
Hapa Ndiyo Jezi yangu ya Liverpool nitakapo iprint kwa Maandishi Ya Njano Kuwa Washabiki Wa Liverpool Tunapaswa Kuwa Wastahamilivu manake itakuwa Wachezaji Wanacheza Kwa ajili ya kupewa Heshima badala ya Viwangi.
Nadhani Mechi zake 300 with zero Trophy atazitimizia akitokea Sub.
Mkuu Firmino hawezi kuekwa Benchi Kisa tu Xhaqiri alifunga magoli 2 dhidi ya Man U.
Alichokifanya Firmino katika ile game Ni zaidi ya kufunga kwani Mpira is not all about scoring a goal.
Hata goli la 3 la Xhaqiri Ni assist ya Formino.
Na asilimia 75% Ni Firmino ndiye aliyepelekea Kuicontrol Mido kwenye game vs Manure.
Na ukimkuta Firmino yupo benchi basi Ni Kwasababu ya Rotation, lakini si kwa Performance Coz kwa Kikosi chetu kwasasa hakuna Wa Kuwaeka Benchi Salah, Firmino na Mane.