Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Tumeshamla The Manati ! Whose next?
wewe endelea kupindua kwenye doto huku pointi tatu safiii zimebaki Anfield....hii game napindua meza kibabe kama simba ilivyowafanya nkana
next Pep the master aafu FA vs mmbaya wa vigogoTumeshamla The Manati ! Whose next?

waandikie FA wamfungue ndugu kupiga kelele humu wala haisaidii pole sana...Salah, the proper muslim that CHEATS!
Mkuu sio TORREIRA ni TORRORIVipi Mkuu yule TORREIRA wa mechi ya kwanza leo Kasafiri? 😀😀😀
lol being so Red feels awesome...whats more can we ask than takin th trophy home come May 2019...√ ⚽⚽⚽⚽⚽ scored
√ ⚽ conceded
√ ⚽⚽⚽⚽ Goals deference
√ 3 Points
√ 54 Points
🙌🙌
Gini with Fabi ni noma sana mkuu the short gonaz guy ws a passenger today couldnt dictate anything..
Ok mkuu tunatimu ya kukupiga 5 tuhu
na timu ya kufanya hivyo usijidanganye kabisa






tegeme mambo mazuri zaidi mzee huyu dogo ni talented sana nadhani alikua na matatizo nje ya mpira
nimeumia kililo furaha niliyoipata...hili goli limeniumiza sana...Hawa Mangadu leo wametuharibi hii Clean sheet yetu tu! 😡




conflict of interest ni pale mshabiki wa liver anapocollaborate na mshabiki wa gonnorhoea kucrash maoni ya mshabiki mwingine wa livermimi hizi mtu nyingine hazinisumbui kwani najua kuwa hawa ni washabiki wa mkopo wa liverpool ila wewe nakuelewa hasaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wewe ni liverpool halisi kwa heshima yako naandika kwa red ink mkuu,leo nimekubali msimu huu upo vizuri mkuu ila najipanga kwa msimu ujao