Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Katika 100 yupo mmoja. Do you think Liverpool will be one of them.? May be that is Ligue 1 and not EPL.

Tuna Challenge 3 tu zakuweza kuzifikiria kuhusu kutufunga Kwa sasa.

1) Man City (Etihad)
2) Man United (OT)
3) Everton (Godison)

Sasa hapo tukitoa sare tu na Man City basi test ya Everton nayo itashindwa kutufunga!
Hapo tutajiandaa Kwa Man United kwasababu ni NW Derby tuimalize hapo Kwa sare.
 
Tuna Challenge 3 tu zakuweza kuzifikiria kuhusu kutufunga Kwa sasa.

1) Man City (Etihad)
2) Man United (OT)
3) Everton (Godison)

Sasa hapo tukitoa sare tu na Man City basi test ya Everton nayo itashindwa kutufunga!
Hapo tutajiandaa Kwa Man United kwasababu ni NW Derby tuimalize hapo Kwa sare.
Yani Liverpool hii ifungwe na manure fc?
 
Yani Liverpool hii ifungwe na manure fc?

Mkuu inawezekana na wala si uchawi au hukubali?

Ni si Man United tu bali timu yoyote Katika 19 tunazocheza nazo inaweza kutufunga.

Kuna mambo mpaka sasa nimejizuilia nisije nikameza maneno yangu.

1) Siwezi kusema Msimu huu hatutofungwa na Timu yoyote au timu Fulani.

2) Siwezi kusema kuwa Msimu huu lazima tubebe Ubingwa kwani kuongoza Points 6 si kuwa hatuwezi kufikiwa au kupitwa.

Mpira unadunda.
 
Tuna Challenge 3 tu zakuweza kuzifikiria kuhusu kutufunga Kwa sasa.

1) Man City (Etihad)
2) Man United (OT)
3) Everton (Godison)

Sasa hapo tukitoa sare tu na Man City basi test ya Everton nayo itashindwa kutufunga!
Hapo tutajiandaa Kwa Man United kwasababu ni NW Derby tuimalize hapo Kwa sare.

Hakuna wakutufunga hapo.

Tena mwanzon tulikuwa tunakosea kwenye mido ya Gini, Milner Hendo.

Ila baada ya kuongezwa Fabby, Keita plus Shaqir, sahivi ni ushindi tu.
 
Mkuu inawezekana na wala si uchawi au hukubali?

Ni si Man United tu bali timu yoyote Katika 19 tunazocheza nazo inaweza kutufunga.

Kuna mambo mpaka sasa nimejizuilia nisije nikameza maneno yangu.

1) Siwezi kusema Msimu huu hatutofungwa na Timu yoyote au timu Fulani.

2) Siwezi kusema kuwa Msimu huu lazima tubebe Ubingwa kwani kuongoza Points 6 si kuwa hatuwezi kufikiwa au kupitwa.

Mpira unadunda.

Tumenyanyasika sana ila safari hii inyeshe mvua au jua, Klopp hatatukabal kumalza msimu bila EPL.
 
Mkuu inawezekana na wala si uchawi au hukubali?

Ni si Man United tu bali timu yoyote Katika 19 tunazocheza nazo inaweza kutufunga.

Kuna mambo mpaka sasa nimejizuilia nisije nikameza maneno yangu.

1) Siwezi kusema Msimu huu hatutofungwa na Timu yoyote au timu Fulani.

2) Siwezi kusema kuwa Msimu huu lazima tubebe Ubingwa kwani kuongoza Points 6 si kuwa hatuwezi kufikiwa au kupitwa.

Mpira unadunda.

Kwenye mashindano kitu cha kwanza ni kuacha kuwadharau wapinzani.

Guardiola post game interview vs Watford (2-1 win) aliongea kidharau sana kuhusu ushindi mdogo wa 2 - 1, akisema siyo ushindi wa kujisifu nao.

Kilichotokea, next 4 EPL games kapoteza 3 kashinda 1.

Sasa hivi anaulilia hata huo game inayofata.
 
Kwenye mashindano kitu cha kwanza ni kuacha kuwadharau wapinzani.

Guardiola post game interview vs Watford (2-1 win) aliongea kidharau sana kuhusu ushindi mdogo wa 2 - 1, akisema siyo ushindi wa kujisifu nao.

Kilichotokea, next 4 EPL games kapoteza 3 kashinda 1.

Sasa hivi anaulilia hata huo game inayofata.

Klopp aligundua hili ndo maana now days ukisikiliza press zake yuko selective sana na maneno anayoongea
 
Only Two teams in EPL history

IMG_20181227_124801.jpg
 
Nasema ivyo kwa sababu hakuna mpinzani wa maana anayeweza kuwapa changamoto except Tot naye hana ubavu. Sasa hapo kazi ni kwenu mkishindwa hamtakuja kuweza tena. Man city mnaona anachofanya, Chelsea ndio tunajikongoja, huyo Arsenal sitaki kuongea. Labda Tot ila naye sina imani naye.
Mmeanza kukubali mapemaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom