Hahaha Man United walifungwa kwa sababu ya mfumo m'bovu wa Mourihno..
Lakini sisi Arsenal ( niko kwa mkopo hadi tarehe 29) tuta hakikisha liverpool hachomoki.
Uoni Auba alivyoiva!? Kuna beki la kumzuia Ozil? Lovren!! au kiungo gani la kumzuia Torroera asitembee na mpira...
Iyo gemu labda Liver statute draw lakini sio ushindi. Klopp ana historia mbaya sana kwa Unai...
Hiyo game inategemea na hali ya kikos cha arsenal
Iwapo toreira ,xhaka na kola wakiwepo
Bas sitashangaa liver wakistruggle
Coz itafanya bek ya arsenal ikae sawa, coz game karibu ya tano sasa arsenal anacheza bila bek za kati, zote majeruh na zina kad za njano
Leo kuna risk moja ,toreira ana kad 4 za njano, hivo leo akipata kad moja tu ataukosa mchezo wa liver
Kwahiyo tunangoja baada ya game ya brighton tujue liver atakufa ?
Iwapo watakuwepo hawa ,toreira,xhaka, auba,laca, ozil
Bas wachezaj hao hufanya bek ya arsenal irud kama awali japo sio nzur sana ,ila ina uafadhali kuliko hii ya sasa amabayo inabid xhaka akapige CB , na kumfanya toreira acheze kawaida pale kati, na kushindwa kupanda sana mbele
HIZO NI FACT ambazo wana arsenal tunaamini wakiwepo hao mech ya tarehe 29 patachimbika anfiled