OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Mkuu kama kawa m kubwa la maaduiAROON ndiye msemaji wako
Chama langu litakuwa arsenal tarehe 29
Either Arsenal or draw..
#Hatushindwii
Mkuu kama kawa m kubwa la maaduiAROON ndiye msemaji wako
Offcourse mimi naiogopa sana Arsenal kuliko Liverpool..Arsenal anakuzoom wewe babu mi sio level zake 3 levels above Yao
Wewe ndio nna wasi wasi kwanza wale Watford sijui km watakucha salama
ishu nao majembe disaini ya Milner sio wengi Mkuu, japo Fabinho nae ni Mr Many position...
Hapa ni kusubiri Summer kuodoa wasiotufaa na kusajili upya real players ambao wanalaleta impact immediatly....so far naona wanaotajwa ni wengi...
wapo...
kwa januari sana sana labda ni Pulsic kama Dortmund wakikumbali kuuza na akumbali kuja kwetu maana Sarri anacheki mkononi...
Mabeki so far sijaoni serious enquiry ya yeyote unless ni nyuma ya pazia kama ilivyokua kwa Fabihno
Nampendeaga hapa jamaa hanaga majivuno yeye anachoonyeshaga ni kushangilia tu maneno maneno yale ya kujiona mwamba hanaJurgen Klopp: “If I saw someone in a pre-match interview asking a player about May and stuff like that, I would take the mic and throw it somewhere.”
hii wanasemaga doing business the "Liverpool way" ..mara pap jembe usilotegemea linatua Anfield Jan kukoleza mapambano...Na hiyo style ya kusajili kimya kimya kama Fabinho ndiyo nzuri sana, wanoko wengi hawatupendi ukitangaza tu wanamdaka mchezaji juu kwa juu!
Dreams come true Mkuu, wont mind timu kuuzwa maana kwa sasa cash wil buy u EPL lakini sio die hard fans ambao ndio Manshit n Chelsink lack even wt all th cash😀...I have been dreaming lately.... let me share it.
nimeota kuwa kama VVD, Allison, Fab3, Milner, Fabinho & Gini hawatapata serious injuries hadi May, EPL tutabeba.
ndoto yangu imenionyesha pia kuwa tukibeba EPL msimu huu, FSG watawauzia timu kwa bei mbaya Wamanga.
timu ikiwa chini ya Wamanga, tutakuwa na uwezo wa ku splash cash kwa any player ambaye Klopp atamhitaji.
I have dreamt us achieving the following in a 10-yr dynasty after the club takeover by the financially mighty Arabs:
- 3 EPLs & 2 UCLs under Klopp
- 2 EPLs & 1 UCL under SG (nimeota SG atamrithi Klopp 8 yrs from now).
dream with me, you Reds!
mkuu tegemea mengi kwa hao football analyst or whateva they call em maana wao ni kujaribu kutuvuja moyo ili mradi tu wachezaji wakose morale...Baada ya Wapinzani kuona Liverpool ipo Katika good Shape this season, wameamua kutumia Silaha ya kupropagate kuhusu Liverpool kuongoza ligi Mara 2 kipindi cha xmass na isibebe ubingwa wakati timu nyengine zote zilizowahi kuongoza ligi wakati Wa xmass zilibeba ubingwa jambo ambalo si kweli kwani zipo timu ambazo ziliongoza ligi wakati Wa xmass na hazikubeba ubingwa.
Hii ni kujifariji Kwa mbinu yao chafu ya kutaka kuwavunja moyo wachezaji wetu jambo ambalo hawatofanikiwa.
Jürgen Klopp: “We have to be focused. I’ve heard how many times in the last 10 years that when you’re first at Christmas you win the title, but only Liverpool won’t.”
Mkuu hio ya Henderson imekaa aje hapoMy Line-Up today
SALAHLeo ipo haja ya Bobby kupumzishwa Kwa ajili ya Arsenal
MANE - XHAQ - HENDO
FABI - GINI
ROBBO - VVD - LOV - TAA
ALISSON
Chama lako siku zote ni yule mpinzani ninaecheza nae siku zote hata leo upo Niucasto....Mkuu kama kawa m kubwa la maadui
Chama langu litakuwa arsenal tarehe 29
Either Arsenal or draw..
#Hatushindwii
Mkuu hio ya Henderson imekaa aje hapo
I have been dreaming lately.... let me share it.
nimeota kuwa kama VVD, Allison, Fab3, Milner, Fabinho & Gini hawatapata serious injuries hadi May, EPL tutabeba.
ndoto yangu imenionyesha pia kuwa tukibeba EPL msimu huu, FSG watawauzia timu kwa bei mbaya Wamanga.
timu ikiwa chini ya Wamanga, tutakuwa na uwezo wa ku splash cash kwa any player ambaye Klopp atamhitaji.
I have dreamt us achieving the following in a 10-yr dynasty after the club takeover by the financially mighty Arabs:
- 3 EPLs & 2 UCLs under Klopp
- 2 EPLs & 1 UCL under SG (nimeota SG atamrithi Klopp 8 yrs from now).
dream with me, you Reds!
a good Xmas dream, though.Too much drink last night 😀😀😀
sawa, i would fancy acheze na Fabi then Gini Shaqir ManeHe will start the game coz Keita not 100% fit