Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
bring em Ben Boys5Hours and 44Minutes to go
#YNWA
bring em Ben Boys5Hours and 44Minutes to go
#YNWA
sawa, i would fancy acheze na Fabi then Gini Shaqir Mane
Natamani kuona leo Naby ,Shaqiri na Fabinho waanze kwa pamoja
Hendo na Ginni wapumzike then full back abakie milner
Coz naona wale jamaa leo watadefend deep sana kwa siku ya leo tunhitaji creativity sana zaidi ya Workaholics pale kati
hahaha!Eeh Mungu baba wape uwezo Leicester leo wapate matokeo safi zaidi kuliko yaliyovunja daraja
Amen
Ben leo atusamehe tunahitaji 3-0
2 goals first quarter
Kwenye Mpira Unatakiwa uwaze Mambo 2 Kwa Wakati mmoja:
1) Ufunge goli
2) Usifungwe goli
Sasa Kama tunataka tufunge goli kwa timu inayodefend deep basi ni lazima kwenye Beki 2 Aanze TAA au Clyne kuliko Milner.
Mkuu Milner huyu Wa sasa siye yule Wa 2016aliyekuwa anacheza Beki 3 na kushambulia! Tayari umri unaelekea jioni hawezi tena kufanya hivyo! Mfano mdogo mtazame game iliyopita alivyostrugle.
Kwahiyo TAA na Clyne ni wazuri zaidi kwenye Kucreate Nafasi Katika Wingi ya kulia.
Na Kuhusu kuzuia goli tusifungwe ni lazima GINI aanze kila Mechi kwani GINI ndiye Mchezaji mwepesi zaidi kurudi chini nabkukaba pale tunaposhambuliwa! Na GINI anapochezeshwa pamoja na Fabinho ndiyo anakuwa Outstanding na ndiyo tunaicontril Midfield area yote ikapelekea hao kina Xhaqiri wakapata kucreate nafasi.
Note: Xhaqiri anapotokea Bench anakuwa na Impact kubwa zaidi kuliko kuanza game.
Na ndiyomana huwa napenda zaidi aingie kama Super sub.
Eeh Mungu baba wape uwezo Leicester leo wapate matokeo safi zaidi kuliko yaliyovunja daraja
Amen
Ben leo atusamehe tunahitaji 3-0
2 goals first quarter
Milner dhidi ya Wolves .... nitatofautiana nawe kidogo.Ni kweli Last game Milner alistruggle sana ila pia nahisi pitch condition ilichangia kwa kukaba naamini Milner ni mzuri kuliko TAA na Clyne ila kupeleka mashambulizi mbele TAA ni bora sana ila wale kwa nlivowaona mechi mbili tatu zilizopita basi kama tunataka kushinda basi ni kwa njia ya kati na sio crosses au set pieces wanajua kuzidefend sana ndio mana nikapenda waanze fab na naby wote macho mbele plus Xhaq na Fab3 yetu nikahisi tutaimaliza mechi mapema sana
Ni kweli Last game Milner alistruggle sana ila pia nahisi pitch condition ilichangia kwa kukaba naamini Milner ni mzuri kuliko TAA na Clyne ila kupeleka mashambulizi mbele TAA ni bora sana ila wale kwa nlivowaona mechi mbili tatu zilizopita basi kama tunataka kushinda basi ni kwa njia ya kati na sio crosses au set pieces wanajua kuzidefend sana ndio mana nikapenda waanze fab na naby wote macho mbele plus Xhaq na Fab3 yetu nikahisi tutaimaliza mechi mapema sana
Milner dhidi ya Wolves .... nitatofautiana nawe kidogo.
in my opinion alikuwa ni mmoja wachezaji walioupiga mpira mkubwa siku hiyo. hata BBC walikuja kum include kwenye team of the weekend na niliafikiana nao 100%. kuna mambo Milner anayafanyaga uwanjani ambayo inexeperinced players hawafanyi hata kama ni bora kuliko yeye.
Naby Keita hayuko fiti Kwa 100% bado ana slightly pains, Kwahiyo sidhani kama atacheza leo! Hata hivyo wazungu Kwa Pain killer hawachelewi anaweza akafungwa sindano ikiwa atahitajika.
Then Upo sahihi isipokuwa tu Kwa Angle ninayoutazama Mimi Mpira bado nahisi GINI ndiyo Engine ya Timu yetu kwasasa kwenye Midfield!
Kwa gharama yoyote hile hapaswi kuekwa juu.
All in all tumuachie Kocha atakachotupangia.

yepHuyu Wan-Bissaka anatufaa sana huyu
Eeh Mungu baba wape uwezo Leicester leo wapate matokeo safi zaidi kuliko yaliyovunja daraja
Amen
Ben leo atusamehe tunahitaji 3-0
2 goals first quarter
Ww je, leo unavutwa shat na watfordMerry Christmas to you all liver fans
And happy new year.
Arsenal ana Ku zoom tu.
Ww uliwaombea man u waifunge liver wakapigwa 3Mkuu kama kawa m kubwa la maadui
Chama langu litakuwa arsenal tarehe 29
Either Arsenal or draw..
#Hatushindwii