SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Sasa kama unamuulizia Salah aliyecheza msimu mmoja huu hajamaliza, fabinho ambaye ndo kwanza yupo msimu wa kwanza unataka nini hapo mzee? Maana wao hawana muda mrefu kwa ligi kama Ramsey au Ozilnyinyi mna ukame wa maana so huwezi fananisha na sisi mkuu,wote tuna njaa lakini njaa yako ni kali sana