DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
umenitafsiri vibaya mkuu ,mimi sio mchonganishi, mimi huwaga napenda kufika hapa kuwatania kidogo ndugu zangu wa loserfoolish..............lakini pia kuchange ideasMkuu mbona mchonganishi ....mimi napenda jukwaa hili watu wana madini mengi ya football tunabadilishana mawazo na kukubaliana kutokukubaliana ,amani itawale
