Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu mbona mchonganishi ....mimi napenda jukwaa hili watu wana madini mengi ya football tunabadilishana mawazo na kukubaliana kutokukubaliana ,amani itawale
umenitafsiri vibaya mkuu ,mimi sio mchonganishi, mimi huwaga napenda kufika hapa kuwatania kidogo ndugu zangu wa loserfoolish..............lakini pia kuchange ideas
 
Kwahiyo baada ya kutupoteza mulipata points ngapi labda?

Najua hutanijibu Bali utakuja na porojo lakini ndiyo nishakuuliza!
Kwan wewe ulipata ngapi, mm ninachojua kocha wako alifurahia sare, sasa subir tuje hapo hapo geton kwako, nataka nione fabinho akipotezwa tena na kuanza kucheza rafu
 
Robbie Jay Barratt - AMA/GettyImages
Everton Chief Aims Swipe at Naby Keita After Suggesting Liverpool Star Hasn't Lived Up to Price Tag
Toby Cudworth
20 DEC 2018
4 k
Everton's director of football Marcel Brands has taken a sly dig at Liverpool midfielder Naby Keita by suggesting that he hasn't lived up to expectations this season.



The 56-year-old, who moved to Goodison Park in the summer after spending eight years at PSV, has sanctioned several big money signings since starting his new role on Merseyside, bringing in the likes of Richarlison, Yerry Mina and Lucas Digne.

Everton v Valencia - Pre-Season Friendly
But it seems he has not been all that impressed with the transfer activity at neighbourhood rivals Liverpool, with Brands referencing the Guinean international while discussing whether Hirving Lozano and Steven Bergwijn, who are both stand out stars at his former employers, could cut it at the highest level of English football.



“I think that if (PSV players) Hirving Lozano and Steven Bergwijn, in the Premier League, go directly to the absolute top, they will find it very difficult," Brands told Voetbal International.



“Look at Keita at Liverpool. He was signed for more than fifty million euros from Leipzig, but he’s just on the bench.”

SSC Napoli v Liverpool - UEFA Champions League Group C
Indeed, Keita has struggled to cement a regular first-team starting sport this season since moving to Anfield for a fee of around £52m. He started the season well enough, putting in a commanding performance against West Ham on the opening day of the season, but has struggled with injuries since then.



And despite returning to full fitness in recent weeks, he has failed to dislodge Georginio Wijnaldum and James Milner from the heart of Liverpool's midfield, with fellow new signing Fabinho's star also beginning to shine brighter and brighter in recent weeks.


He has looked impressive at times this season though, and will he aiming to help Liverpool extend their unbeaten start to the Premier League season when the Reds travel to Wolves on Friday night
 
baada ya generation ya kina sneijder ,RVP na arjen robben nafikiri uzao huu utakuwa kiboko wakiongozwa na baba la baba VVD pale nyuma

huyo dogo+VVD+Frenkie de Jong e.t.c ni hatari huko mbeleni kwa nchi kama Spain, Italy na mataifa mengine yaliyobaki na Historia
 
sa

sahihi kabisa mkuu maana kuna majaa yalishaanza kutaka kujiokotezea vijirekodi visivyo na kichwa wala miguu......hahahahahahahahahahahahahahahahhaha mara shakil effect ooooh mara kolop effect oooooooooooohpssssssss rekodi zinakuja zenyewe na sio kuziokotaokota.
Dully vipi upepo wa vipigo huko mpaka lini au Unai effect ipo likizo, poleni sanaaa
 
Mbona hampend kusemwa nyie,

Hivi liver kuongoza lig , wakat hata raund ya 1 haijaisha mshajiona mmebeba EPL?

mimi nauhakika mwisho wa msimu mtatoka kapa ,

Kama hamuamin subirini,

Arsenal now tunajenga timu, hatuna presha, top 4 lazima, na kikombe kimoja kocha kaambiwa abebe ,kati ya carabao, FA au UEROPA,

halafu tukizama Uefa, ndio tupambanie Epl,
Carabao hampo hivyo zinazidi kushuka, Europa anakuja Napoli mkae poa au mtaambulia kama jana
 
"kwa kila mwanaume mwenye mafanikio kuna mwanamke nyuma"...liverpool on top uko chin jibu wanalo so kelele tumewaachia wanaotupa mafanikio
 
Dully vipi upepo wa vipigo huko mpaka lini au Unai effect ipo likizo, poleni sanaaa
ahsante mkuu...kumbuka unai effect ilianza na kupoteza game mbili mwanzo wa msimu MAN CITY 2 vs ARSENAL 0 alafu ARSENAL 2 vs CHELSEA 3 na tumefunga 1st round kwa matokeo hayohayo SOTON 3 vs ARSENAL 2 then ARSENAL 0 vs SPURS 2 sasa tunaendelea na unbeaten run yetu ya game 22 hivyo najua ushaelewa kinachoendelea maana naanza na wewe mpaka zifike game 22...so jiandae kisaikolojia.....tar 29 nitakuwa hapa panapo majaaliwa ya MWENYEZIMUNGU
 
hahahahaha yamekuwa hayo tena mbona unarukaruka wewe tupo ktk calabao umerukia ucl sasa unafikiri una maisha kule labda sio munchen nnayoijua mm
Ile inayokuza mbele na nyuma kila mkikutana eeh, lazima uijue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom