Mkuu kwa Kukuhurumia tu hii Mada iwache huiwezi Kwani hawa wote kina Peter Schmeichel, Paul Parker, Ryan Giggs, Andrei Kanchelskis, Mike Phelan, Mark Hughes, Brian McClair, Lampard na John Terry timu zao za Taifa hazijawahi kushinda hata kikombe cha mbuzi.
Kwahiyo kabla ya Mapinduzi ya Timu zao basi Walisota sana bila ya Vikombe vyovyote mpaka Biggest Legend ever wa Chelsea Zola kastaafu bila ya Vikombe.
Kina hao Giggs, Kanchelsks na Schmeichel wao timu zao za taifa hata kushiriki kwa kipindi hicho basi hawashiriki Mashindano ya kimataifa (World Cup na Euro).
Sasa sijui unatetea nini?
Kwahiyo usipige Ramli hakuna uhusiano wa Wachezaji Kuto kubeba Kombe na Mafanikio ya Kubeba Kombe baadae.
Kwani Hata Man City haikuwa na Makombe lakini baadae ikaja anza kubeba.
Hata Chelsea ya 2005 kikosi tunakijua Nje ndani Hakikuwa na Wachezaji Wenye Makombe Kwani Kina Drogba Makombe wameyaona Chelsea lakini Baadae ikaja kubeba..
Mkuu Huna Facts unaweza kusitisha Mjadala.