Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Another day Another record.


●●●Mo Salah with his perfect hat-trick anajiwekea record ya kuwa FASTEST PLAYER IN LIVERPOOL HISTORY kufunga 40goals in EPL kwa few games katumia only 52 games kufanya ivo

●●●katika historia ya PREMIER LEGUE ni ALAN SHEARER & ANDY COLE ndo wako juu yake kwa kufunga 40goals with 45 games that means Mo salah he is king of new generation.


FAN FACT
●●●Thiery Hennry ametumia game 73 wakamuita king, Aguero akatumia 70 game wakasema mguu wa dhahabu, Diego Costa akatumia 64 game wakasema analijua sana goal, torres akatumia 60 games wakamuita ElNINO but MO SALAH katumia 52 goal wanamuita ONE SEASON WONDER hili nalo likawekwe katika kitabu cha maajabu ya dunia GUINESS
Record nzuri ila team aliyopo hawezi kuchukua epl trophies, angalia uliowaorodhesha wote wamechukua na team zao ,narudia tena na team zao kasoro Torres aliambulia patupu na liver yake na kufunga kote kwa haraka
 
Keep dreaming watu wanazidi kuchanja mbuga...!! kwa tafsiri yenu LFC haitakaa ichukue epl.
 
Record nzuri ila team aliyopo hawezi kuchukua epl trophies, angalia uliowaorodhesha wote wamechukua na team zao ,narudia tena na team zao kasoro Torres aliambulia patupu na liver yake na kufunga kote kwa haraka
rekodi ni ya kufunga magoli mengi kwa mechi chache kama hiyo rekodi inakuuma waambie hao waliyomweka hapo wamuondoe kwenye hyo rekodi
 
rekodi ni ya kufunga magoli mengi kwa mechi chache kama hiyo rekodi inakuuma waambie hao waliyomweka hapo wamuondoe kwenye hyo rekodi
record bila vikombe ni makelele tu siwezi kuumia Sarah kufunga muulize ana epl ya Chelsea kitu ambacho Gerald kastaafu hana respect respect respect!
 
Record nzuri ila team aliyopo hawezi kuchukua epl trophies, angalia uliowaorodhesha wote wamechukua na team zao ,narudia tena na team zao kasoro Torres aliambulia patupu na liver yake na kufunga kote kwa haraka

Kumbe na Wewe Unakariri Past events?

Nadhani Mwaka 2003 ungeliulizwa kuwa Chelsea katika Maisha Yake anaweza Kuchukua EPL?

Ungelijibu haitotokezea Chelsea kubeba EPL kwani Wamepita Kina Zola, Di Matteo, Deschamps, George Weah na wote hawakubeba waje wabebe Kina Kalou na Malouda?
 
Kumbe na Wewe Unakariri Past events?

Nadhani Mwaka 2003 ungeliulizwa kuwa Chelsea katika Maisha Yake anaweza Kuchukua EPL?

Ungelijibu haitotokezea Chelsea kubeba EPL kwani Wamepita Kina Zola, Di Matteo, Deschamps, George Weah na wote hawakubeba waje wabebe Kina Kalou na Malouda?
Muda mwingine unanyamaza unaacha inapita ivo tu..

Hufikiri LFC haitachukua EPL miaka yote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom