OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Mkuu kwa sasa Liverpool wana nafasi kubwa tu ya kubeba EPL kama Klopp atajua nini anataka. Asipoweza kubeba msimu huu, basi itakuwa ngumu sana kubeba next season...soka linaenda kwa era nyinyi mtasubiri mpaka Miaka 30 mbona unayo haraka? city na Chelsea acha wabadilishane ubingwa wewe ulijirimbikizia zamani hauna nguvu hizo unajitahidi tu ,tupo hapa tutaendelea kukumbushana itakapofika may, tuombe uzima tu
Nafasi wanayo saivi...Japo ni bado mapema.!

