Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

five star Liverpool even wen we r perfomin on average still tunapata matokeo swafiii pasii kwa moja ya timu ngumu na uwanja usiotabirika...
YNWA...
9 points won, next ni Napoli then finish Man u
 
Mo Salah is One Season Wonder

Screenshot_20181208-174049.png
 
Mo Salah vs Bournemouth

83% passing
2 chances created
4/5 dribbles - most on the pitch
4 shots
3 goals ⚽️⚽️⚽️
 
Mara nyingi nikiona kikosi Henderson benchi, Keita ndani, huwa ninakuwa na 51% assurance ya kushinda.

Mkuu acha hizi Kwanza 😀😀
Mimi Ni Mkali Wa Kulaumu lakini Mpaka nione Kuna Uzembe umefanyika...😀😀

Lakini kiukweli tokea kwenye Mechi vs Napoli ulipofanyika Uzembe basi Mpaka sasahivi hakuna Uzembe uliofanyika that is why hunioni kulaumu Siku hizi...

Bali ninafurahi na kupongeza ushindi tu...

Mkuu kwanza tuachane na na hayo as long as we are doing well...

Tuungane pamoja tusherehekee
 
Another day Another record.


●●●Mo Salah with his perfect hat-trick anajiwekea record ya kuwa FASTEST PLAYER IN LIVERPOOL HISTORY kufunga 40goals in EPL kwa few games katumia only 52 games kufanya ivo

●●●katika historia ya PREMIER LEGUE ni ALAN SHEARER & ANDY COLE ndo wako juu yake kwa kufunga 40goals with 45 games that means Mo salah he is king of new generation.


FAN FACT
●●●Thiery Hennry ametumia game 73 wakamuita king, Aguero akatumia 70 game wakasema mguu wa dhahabu, Diego Costa akatumia 64 game wakasema analijua sana goal, torres akatumia 60 games wakamuita ElNINO but MO SALAH katumia 52 goal wanamuita ONE SEASON WONDER hili nalo likawekwe katika kitabu cha maajabu ya dunia GUINESS
 
Mkuu acha hizi Kwanza 😀😀
Mimi Ni Mkali Wa Kulaumu lakini Mpaka nione Kuna Uzembe umefanyika...😀😀

Lakini kiukweli tokea kwenye Mechi vs Napoli ulipofanyika Uzembe basi Mpaka sasahivi hakuna Uzembe uliofanyika that is why hunioni kulaumu Siku hizi...

Bali ninafurahi na kupongeza ushindi tu...

Mkuu kwanza tuachane na na hayo as long as we are doing well...

Tuungane pamoja tusherehekee
YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom