mr94
JF-Expert Member
- Nov 7, 2017
- 286
- 309
Kweli kbsa mkuuu. Kwa nmna tulivyo msimu huu inatakiwa tunyanyue kwapa kombe llteNaona saivi mnapeta. Hongereni bana..
Msipobeba kikombe chochote msimu huu, basi hamtabeba tena ..maana mumekuwa na wakati mzuri msimu huu.


