Humu ndani naona ni mikiki mikiki,
Malafyale anataka wote kwenye forum tuwe watu wa ndiyo mzee, tusikosoe, tusizungumzie weakness za timu, challenges za kikosi, tusifu tu, tusifu tu.
Timu inashinda yes, it's a good thing, lakini hii ndo potential yetu? Kushinda kwa taabu?
Naona tunajitetea kwamba tuna points ngapi, tunaacha kuzungumzia fact kwamba hatuko kwenye League Cup, UEFA tumecheza game 4 (2 wins 2 losses); utetezi hapa vipi?
Timu inacheza under capacity, we are not even 60% of our potential kwa mtazamo wangu, lakini kuna mtu kajifika majukumu ya kukataza wenzake wasitoe mitazamo yao. Ni utterly nonsense kunizuia kutoa mawazo yangu kwenye forum ya namna hii kisa tu eti Klopp anajua Football Management kuliko mimi.
Nadhani kuna umuhimu wa kufungua thread za kusifu na kuabudu timu kwa ajili ya watu kama kina
Malafyale, hizi za kutoa opinions in either way haziwafai.