Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

resources tunazo mkuu tuta click tu come Jan/Feb.

ninaamini hii ni purposeful game plan ya coach - tactical approach yake imejikita kwenye ku shore up our defending, sasa hii kidogo inaathiri our offensive prowess.

najua fans tunataka full throttle but hakuna timu inaweza kufanya hii kitu full season.... lazima itafika mahala the wheels will start coming off. na hii hutokea kwenye title run-in phase (Feb - May).

nitarudia kusema hii kitu tena na tena.... niachokiamini mimi ni kuwa Klopp baada ya 2 seasons keshapata experience ya kutosha na keshajifunza demands za EPL. Klopp anajua kuna pressure (internal & external) kuwa lazima abebe EPL msimu huu. so focus yake iko hapo. nina uhakika full throttle itarejea kwenye business end of the season (March - May), sasa hivi ana conserve energy ya vijana wake.

believe!
una pointi nzuri sana maana wear n tear ya pressing huonekana kuanzia mzunguko wa pili...so far kinahitajika ni pointi 3 kila mechi
 
Ukweli ni kwamba as long as Pep yupo Man city basi hakuna timu nyengine yoyote itakayoweza kutwaa ubingwa w EPL.
 
Ukweli ni kwamba as long as Pep yupo Man city basi hakuna timu nyengine yoyote itakayoweza kutwaa ubingwa w EPL.

Sijui umetumia vigezo gani?
Unaongea kama vile kila mwaka alio kaa EPL Pep alichukua ubingwa!
Mtamchukia Klopp lkn kaisha pata formula ya kuzifunga team ndogo na teams kubwa pia hazitufungi
Liverpool kwenye takwimu tupo sawa sana
 
Hii timu inabidi tuizoee tuu, kiwango cha uwanjani kipo chini sana..

Kila siku tunasema kesho watabadilika lakini wapi...

Mwaka gani Liverpool ilicheza vyema kuliko mwaka huu?
Tunaomba hizo stats zake hapa pls!Team ina W 9 na draw 3 haina L lkn eti ina kiwango kibovu?

Kweli kua uyaone aisee
 
Kibonde kama Hichi Man City anakitandika 4+
Sisi mpaka tunavizia goli

Kweli kabisa
Man City alimfunga Wolves 5-0!
Mwaka huu nyie wasaliti Klopp atawakondesha sana,kazi yenu ni kejeri tu bila back up fact yyt kana kwamba Pep anamfunga kila team bao 4!
Itihad pale pale Man City 2 trash Newcastle 1!
Anyway ww na genge lako isha wapuuza!
 
Klopp piga kazi,mashabiki uchwara wanao mtukana kocha wao wenyewe ni wa kuwapuuza tu!
Sawa Klopp sio great manager lkn sisi tupo nyuma yake na tunashinda games!
2-0 haina ubaya wowote EPL

Hapa kuna watu wana dhani wanajua utawala wa soka kuliko hata Klopp wkt hawana lolote lile

Klopp is our manager,9 W kwa mara ya kwanza ktk historia kutoka ktk games 12
 
Klopp piga kazi,mashabiki uchwara wanao mtukana kocha wao wenyewe ni wa kuwapuuza tu!
Sawa Klopp sio great manager lkn sisi tupo nyuma yake na tunashinda games!
2-0 haina ubaya wowote EPL

Hapa kuna watu wana dhani wanajua utawala wa soka kuliko hata Klopp wkt hawana lolote lile

Klopp is our manager,9 W kwa mara ya kwanza ktk historia kutoka ktk games 12
Klopp is a great manager even with minimal signing budget he stil kind of finds way to play cool impressive football...he has been doing that since his days in Dortmond...
the real concern is we are scoring few hii haijazoeleka kwa Liverpool hii ya Klopp so some reds fan r concerned..binafsi i would rather win 1 nil and get th three points kuliko kutoka sare 4-4 etc...
Klopp is still the right man for this dugout...if he can sort his German pride and go for quality squad on @ match am positive a BIG TROPHY wont evade us this season...
VVD n Gomez he should maintain that growing solid partnership oops na Robertson...Trent i pass anachanganya haeleweki kwa sasa...n then kati kati Keita, Fabinho, Gini...front Salah, Firmino, Shaqir
 
Klopp is a great manager even with minimal signing budget he stil kind of finds way to play cool impressive football...he has been doing that since his days in Dortmond...
the real concern is we are scoring few hii haijazoeleka kwa Liverpool hii ya Klopp so some reds fan r concerned..binafsi i would rather win 1 nil and get th three points kuliko kutoka sare 4-4 etc...
Klopp is still the right man for this dugout...if he can sort his German pride and go for quality squad on @ match am positive a BIG TROPHY wont evade us this season...
VVD n Gomez he should maintain that growing solid partnership oops na Robertson...Trent i pass anachanganya haeleweki kwa sasa...n then kati kati Keita, Fabinho, Gini...front Salah, Firmino, Shaqir

Worth to ready!
Sio zile takataka ndefu kutoka kwa wale wanaodhani wanajua soka management kuliko hata Klopp wkt hata team ya kijiji kwao Ikwiriri hawajawahi kupewa!
Captain Marvelous:
Klopp ni kocha mwenye ujuzi wa hali ya juu sana ktk soka,we re very luck to have him as our Manager
Shaqir HAWEZI kuwa ahead ya Milner kwa sababu Shaqir HAKABI wala hapigi tackles mzuri tu kwenye kushambulia!Unapocheza na team inayo shambulia lzm aanze Milner,unapo cheza na teams kama hizi Fulham ambazo unajua kabisa wata seat deep kujihami wasifungwe nyingi atacheza Shaqir
Unacheza na PSG au Totenham au Arsenal au Napoli au Man City ukimpanga Shaqir mechi imeisha tumefungwa!
Lkn wengi hapa wala haijulikani husuda kwa kocha anayetupa mambo ya maana kama Klopp wanaipata wapi!
Mm isha wapuuza kitambo
 
Sijui umetumia vigezo gani?
Unaongea kama vile kila mwaka alio kaa EPL Pep alichukua ubingwa!
Mtamchukia Klopp lkn kaisha pata formula ya kuzifunga team ndogo na teams kubwa pia hazitufungi
Liverpool kwenye takwimu tupo sawa sana

Hivi wewe hua unasoma tunachokiandika au unakimbilia Kutuquote tu?

Nani aliyekwambia tunamchukia Klopp?
Au wapi tuliposema hatumtaki Klopp?
Au unadhani Kukosoa baadhi ya Falsafa za Klopp ndiyo Kumchukia Klopp?


Acha utoto bhana! Ninauhakika Karibuni hapa utakuja kuandika Kuwa tumesema KLOPP OUT, pia utakuja kuandika kuwa tumesema KLOPP HAFAI...

Sisi tunakosoa baadhi ya Vitu vya Klopp ambavyo wakati mwengine yeye mwenyewe hukiri kuwa amekosea lakini hayo Mengine ni Mipasho yako bhana usitusingizie...

Mtu hapa tunaemtaja waziwazi kuwa tumemchukia ni JP (James Pearce) Wa Echo na Team Yake Yakina Ian Doyle lakini si Klopp kama unavyotaka kuwaaminisha watu.

Hapa Hata uone tunamkosoa Vipi Klopp basi hatuthubutu Kusema Klopp aondoke kwani Hatupo tayari aondoke ndani ya Timu manake tunajua alipotutoa.

Acha post za kimajungu hizo.
 
mbona mimi sioni mantiki ya nyie kulumbana wakati timu ikifungwa wote mnakuwa kwenye majonzi,cha maana ni kuwa na degree of tolerance ktk maoni ya kila m1 as long as kila m1 wenu anataka timu ifanye vyema
 
Leo tunakwenda katika match tuna 80% ushindi tena wenye clean shit.
Leo majogoo wanapiga mpira mzuri.
Tunayo back line nzuri
Hii yote ni JK.
 
mbona mimi sioni mantiki ya nyie kulumbana wakati timu ikifungwa wote mnakuwa kwenye majonzi,cha maana ni kuwa na degree of tolerance ktk maoni ya kila m1 as long as kila m1 wenu anataka timu ifanye vyema

Tatizo ni Kwamba Hapa kila Mtu anatoa maoni Yake kwa Uhuru Kabisa..

Lakini pana huyu Malafyale yeye Siku zote tunapotoa maoni basi anarukia tena kinyume na vile tulivyoandika sisi.

Kwamfano:
Mimi naweza kuandika hapa Klopp kutomuanzisha Firmino na Gomez alikosea.

Yeye atakachokiandika atakuja hivi:
Nyinyi Muna Chuki na Klopp munataka aondoke lakini haondoki...

Ivi kukosoa kuna uhisiano gani na kumkataa au Kumchukia Kocha?

Ni kweli hapa panaandikwa Post za kuwa hatumtaki Kocha?

Ivi ni kweli kwasababu Klopp anajua kuliko sisi ndiyo hakukosea Kumueka bench Firmino na Gomez katika mechi ya Red Star?
 
Hivi wewe hua unasoma tunachokiandika au unakimbilia Kutuquote tu?

Nani aliyekwambia tunamchukia Klopp?
Au wapi tuliposema hatumtaki Klopp?
Au unadhani Kukosoa baadhi ya Falsafa za Klopp ndiyo Kumchukia Klopp?


Acha utoto bhana! Ninauhakika Karibuni hapa utakuja kuandika Kuwa tumesema KLOPP OUT, pia utakuja kuandika kuwa tumesema KLOPP HAFAI...

Sisi tunakosoa baadhi ya Vitu vya Klopp ambavyo wakati mwengine yeye mwenyewe hukiri kuwa amekosea lakini hayo Mengine ni Mipasho yako bhana usitusingizie...

Mtu hapa tunaemtaja waziwazi kuwa tumemchukia ni JP (James Pearce) Wa Echo na Team Yake Yakina Ian Doyle lakini si Klopp kama unavyotaka kuwaaminisha watu.

Hapa Hata uone tunamkosoa Vipi Klopp basi hatuthubutu Kusema Klopp aondoke kwani Hatupo tayari aondoke ndani ya Timu manake tunajua alipotutoa.

Acha post za kimajungu hizo.
Mwenzako hapo juu kaandika takataka kama Klopp sio meneja wa maana eti tulidanganywa!
Wewe pia ni miongoni mwa watu mnao ndka takataka kuhusu Klopp hapa lkn anawanyamazisha week in week out!
Hata movement ya hovyo ya Klopp out ni ww na wenzako ndiyo mlianzisha!
Tatzi ktk ubongo wenu ni kuwaza mpo close kwenye kujua soka kuliko Klopp!
 
Sijawahi iona Liverpool kama hii kwa kweli!
Teams ndogo zilizokuwa zinatushinda tunazipiga
9 W kutoka ktk avarage teams lkn bado Klopp anatukanwa
Sijui wanataka afanye nn sasa,draw zetu tatu ni za wakubwa wenzetu
Klopp anajua kufundisha mpira wenye husda mtakufa mapema!
Tuonane 24 Nov nyumbani kwa Watford
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom