Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahaha, mimi binafsi sijakwazika, na natamani uendelee kutukumbusha jinsi ya kusifu na kuabudu timu yetu pendwa.
Hamna anaye abudu,lkn kumponda kocha mwenye 9W na 3D toka kwa Chelsea,Man City na Arsenal ni umbumbumbu wa soka!
Hivi vitimu vidogo vilikuwa vinaondoka na points Anfield sasa vimeisha patiwa dawa bado tunalaumu
Tukipoteza points basi ni kwa wakubwe wenzetu tena hatufingwi lkn bado tunalaumu
Tumefikia kusema sasa mwaka jana eti tulicheza vyema sana na points zetu 20 mechi 12
Ngachoka mm!
King Klopp for life,huyu kama Ferguson ataondoka akipenda
Liverpool hata wachezaji walikuwa wanaikataa,huyu Shaqir aliikataa Liverpool,Willian na wengine sababu tulikuwa hovyo sana!
Nani sasa ataikataa kuja kucheza Liverpool?
VVD au OX walisema wao kama kucheza ni kwa Klopp tu
VVD anataka kufundishwa na Klopp lkn kajamaa kapo kwake Ubungo-Maji huko mashenzini anamponda KLOPP
 
Hamna anaye abudu,lkn kumponda kocha mwenye 9W na 3D toka kwa Chelsea,Man City na Arsenal ni umbumbumbu wa soka!
Hivi vitimu vidogo vilikuwa vinaondoka na points Anfield sasa vimeisha patiwa dawa bado tunalaumu
Tukipoteza points basi ni kwa wakubwe wenzetu tena hatufingwi lkn bado tunalaumu
Tumefikia kusema sasa mwaka jana eti tulicheza vyema sana na points zetu 20 mechi 12
Ngachoka mm!
King Klopp for life,huyu kama Ferguson ataondoka akipenda
Liverpool hata wachezaji walikuwa wanaikataa,huyu Shaqir aliikataa Liverpool,Willian na wengine sababu tulikuwa hovyo sana!
Nani sasa ataikataa kuja kucheza Liverpool?
VVD au OX walisema wao kama kucheza ni kwa Klopp tu
VVD anataka kufundishwa na Klopp lkn kajamaa kapo kwake Ubungo-Maji huko mashenzini anamponda KLOPP

Lakini Still Kakimbiwa na Coutinho..

Kakimbiwa na Emre Can...

Na Sadio Mane tayari ana kila dalili ya Kumkimbia...

Usijidanganye hakuna Mchezaji atakayebakia kuendelea na Kocha asiyebeba Kombe...

Kocha ambaye Mwaka Wa 4 Zero Trophy hawezi kuwa KING labda kwa watu kama wewe.

Siku Klopp atakayobeba EPL ndiyo nitakuja Hapa na Kutamka Kuwa KLOPP NI WORLD CLASS MANAGER ....
Lakini kwasasahivi Hata tumpende na Kumsifia vipi basi haitabadilisha ukweli kuwa Klopp ana Zero Trophy.

Na World Class Manager hawezi kukaa Kwenye timu misimu 4 bila ya Hata Mickey Mouse Cup.

Note: Sijasema Klopp aondoke
 
Hamna anaye abudu,lkn kumponda kocha mwenye 9W na 3D toka kwa Chelsea,Man City na Arsenal ni umbumbumbu wa soka!
Hivi vitimu vidogo vilikuwa vinaondoka na points Anfield sasa vimeisha patiwa dawa bado tunalaumu
Tukipoteza points basi ni kwa wakubwe wenzetu tena hatufingwi lkn bado tunalaumu
Tumefikia kusema sasa mwaka jana eti tulicheza vyema sana na points zetu 20 mechi 12
Ngachoka mm!
King Klopp for life,huyu kama Ferguson ataondoka akipenda
Liverpool hata wachezaji walikuwa wanaikataa,huyu Shaqir aliikataa Liverpool,Willian na wengine sababu tulikuwa hovyo sana!
Nani sasa ataikataa kuja kucheza Liverpool?
VVD au OX walisema wao kama kucheza ni kwa Klopp tu
VVD anataka kufundishwa na Klopp lkn kajamaa kapo kwake Ubungo-Maji huko mashenzini anamponda KLOPP

Ubora wa Kocha Unapimwa Kwa Kitu Kimoja tu bro..

Kocha anapimwa kwa Makombe basi!!!!!

Kocha hapimwi kwa Kushinda Mechi 9

Wala Kocha hapimwi kwa Kuingia Top 4

Wala Kocha Hapimwi Kwa Kucheza Fainali ya CL.

Kocha anapimwa kwa Kubeba kombe tu...

Klopp hawezi kuingia Hata Kwa Makocha 10 bora walio hai...

Klopp atakuwa Kocha bora pale atakaposhinda Makombe na Liverpool..

Kama wewe unampima kocha kuwa King kwasababu tu Kashinda mechi 9 na kombe Sifuri basi hiyo Ni hiari yako.
 
Lakini Still Kakimbiwa na Coutinho..

Kakimbiwa na Emre Can...

Na Sadio Mane tayari ana kila dalili ya Kumkimbia...

Usijidanganye hakuna Mchezaji atakayebakia kuendelea na Kocha asiyebeba Kombe...

Kocha ambaye Mwaka Wa 4 Zero Trophy hawezi kuwa KING labda kwa watu kama wewe.

Siku Klopp atakayobeba EPL ndiyo nitakuja Hapa na Kutamka Kuwa KLOPP NI WORLD CLASS MANAGER ....
Lakini kwasasahivi Hata tumpende na Kumsifia vipi basi haitabafilisha ukweli kuwa Klopp ana Zero Trophy.

Na World Class Manager hawezi kukaa Kwenye timu misimu 4 bila ya Hata Mickey Mouse Cup.

[N]Note[/B] Sijasema Klopp aondoke


Mkuu Klopp kwangu ni kocha mzuri ila akijirekebisha kwenye kuacha kupuuzia uzito wa mechi upangaj kikosi na subs za ajabu akiacha. Nakwambia EPL hakuna wa kumgusa.

Though hayupo pabaya, Time bado ipo na tayar mechi ya juzi kaonekana kubadilika
 
King Klopp for life,huyu kama Ferguson ataondoka akipenda

Huyu jamaa toka afike tuna misimu 3 complete; 2015/2016, 2016/2017, 2017/2018

Which means 3 league cups, 3 FA Cups, 3 EPLs, 1 Europa league na 1 Champions league tumeshiriki, hajawahi kushinda hata moja kati ya yote hayo.

Leo tunaenda msimu wa 4, league cup tayari tuko nje.

And then he is hailed as a King!
 
Huyu jamaa toka afike tuna misimu 3 complete; 2015/2016, 2016/2017, 2017/2018

Which means 3 league cups, 3 FA Cups, 3 EPLs, 1 Europa league na 1 Champions league tumeshiriki, hajawahi kushinda hata moja kati ya yote hayo.

Leo tunaenda msimu wa 4, league cup tayari tuko nje.

And then he is hailed as a King!
We jamaa ni muongo sana aiseeee Klop hakuingia Liverpool mwanzoni mwa msimu wa 2015/16 ninachojua mm Klop kaingia pale katikati ya msimu, alimalizia ungwe ya pili msimu wa 2016/17, akaanza msimu wa 2017/18 ndo kaongoza wote na huu wa 2018/19 ndo msimu wake wa pili, hivyo akimaliza huu atakuwa na misimu miwili na nusu Liverpool
 
We jamaa ni muongo sana aiseeee Klop hakuingia Liverpool mwanzoni mwa msimu wa 2015/16 ninachojua mm Klop kaingia pale katikati ya msimu, alimalizia ungwe ya pili msimu wa 2016/17, akaanza msimu wa 2017/18 ndo kaongoza wote na huu wa 2018/19 ndo msimu wake wa pili, hivyo akimaliza huu atakuwa na misimu miwili na nusu Liverpool

EPL ilianza tar 9 August 2015, Klopp alijoin tar 8 October 2015, miezi 2 baada ya ligi kuanza.

EPL zilikuwa zimechezwa game 8, kwa hiyo yeye alicoach game 30, alikuta tunashiriki League Cup, FA (ilikuwa haijaanza) na Europa.

Hiyo ni zaidi ya 80% ya msimu, siyo nusu msimu.

2016/17 ka-coach msimu wote,

2017/18 ka-coach msimu wote.
 
We jamaa ni muongo sana aiseeee Klop hakuingia Liverpool mwanzoni mwa msimu wa 2015/16 ninachojua mm Klop kaingia pale katikati ya msimu, alimalizia ungwe ya pili msimu wa 2016/17, akaanza msimu wa 2017/18 ndo kaongoza wote na huu wa 2018/19 ndo msimu wake wa pili, hivyo akimaliza huu atakuwa na misimu miwili na nusu Liverpool

Mkuu piga mahesabu vizuri:

1) Klopp Full season: 2016/17
2) Klopp Full season: 2017/18
3) Klopp Full season: 2018/19???
4) Klopp Half and Quarter season: 2015/16.
 
Mkuu Klopp kwangu ni kocha mzuri ila akijirekebisha kwenye kuacha kupuuzia uzito wa mechi upangaj kikosi na subs za ajabu akiacha. Nakwambia EPL hakuna wa kumgusa.

Though hayupo pabaya, Time bado ipo na tayar mechi ya juzi kaonekana kubadilika

Klopp Ni Kocha Mzuri tu lakini bado hajafikia World Class Manager Kiwango Waliopo Kina Guardiola, Mourinho, Zidane and the likes.

Ni Kocha Mzuri lakini Wa Kawaida tu kama Unai Emery
 
Huyu jamaa toka afike tuna misimu 3 complete; 2015/2016, 2016/2017, 2017/2018

Which means 3 league cups, 3 FA Cups, 3 EPLs, 1 Europa league na 1 Champions league tumeshiriki, hajawahi kushinda hata moja kati ya yote hayo.

Leo tunaenda msimu wa 4, league cup tayari tuko nje.

And then he is hailed as a King!
King nimemuita mm sio ww
Au unanipangia hadi majina ya kuwaita watu?
Utachukua ubingwa gani na team aliyoikuta?Klopp alirithi team ya ajabu kweli kweli na tunaona progress kila msimu
Utachukua ubingwa beki wako ni Kolo Toure na mbele yupo Origi?
Naiona kabisa Liverpool ya ukweli imekuja sasa
Unaongelea Carabao?Heri nitoke makombe haya ya kipuuzi niwe na muda wa kujiandaa na makombe mawili ya ukweli!
Tunataka CL au EPL.Period
 
Klopp Ni Kocha Mzuri tu lakini bado hajafikia World Class Manager Kiwango Waliopo Kina Guardiola, Mourinho, Zidane and the likes.

Ni Kocha Mzuri lakini Wa Kawaida tu kama Unai Emery
Takataka zingine hizi toka kwa anti-Klopp
Klopp is world class manager na anawanyamazisha sasa kila weekends
 
Lakini Still Kakimbiwa na Coutinho..

Kakimbiwa na Emre Can...

Na Sadio Mane tayari ana kila dalili ya Kumkimbia...

Usijidanganye hakuna Mchezaji atakayebakia kuendelea na Kocha asiyebeba Kombe...

Kocha ambaye Mwaka Wa 4 Zero Trophy hawezi kuwa KING labda kwa watu kama wewe.

Siku Klopp atakayobeba EPL ndiyo nitakuja Hapa na Kutamka Kuwa KLOPP NI WORLD CLASS MANAGER ....
Lakini kwasasahivi Hata tumpende na Kumsifia vipi basi haitabafilisha ukweli kuwa Klopp ana Zero Trophy.

Na World Class Manager hawezi kukaa Kwenye timu misimu 4 bila ya Hata Mickey Mouse Cup.

[N]Note[/B] Sijasema Klopp aondoke
Miaka minne ya iverpool imeisha lini?
Unajichanganya sana,mbona umemuita Mourihno great manager yy kachukua kombe lini kama usipo chukua kombe miaka minne sio great manager?
Mane akikimbia ndiyo mwisho wa Liverpool?
Pointless kabisa
 
Ubora wa Kocha Unapimwa Kwa Kitu Kimoja tu bro..

Kocha anapimwa kwa Makombe basi!!!!!

Kocha hapimwi kwa Kushinda Mechi 9

Wala Kocha hapimwi kwa Kuingia Top 4

Wala Kocha Hapimwi Kwa Kucheza Fainali ya CL.

Kocha anapimwa kwa Kubeba kombe tu...

Klopp hawezi kuingia Hata Kwa Makocha 10 bora walio hai...

Klopp atakuwa Kocha bora pale atakaposhinda Makombe na Liverpool..

Kama wewe unampima kocha kuwa King kwasababu tu Kashinda mechi 9 na kombe Sifuri basi hiyo Ni hiari yako.
Double standards
Kocha hapimwi kwa mechi 12 lkn anapimwa kwa "kushinda kibahati mechi 9"?
Kama Klopp kashindwa iongoza Liverpool kwa nn msihamie kwa teams ambazo zina managers wanao wafurahisha?
Mnaongea pumba kabisa,Klopp ni manager mzuri sana na tuna bahati kuwa nae
Mtu wala hajui kwa nn Emre Can aliondoka anaropoka tu
Mchezaji pekee tuliyepoteza ni Coutihno
Punguzeni kutujazia takataka hapa
 
Miaka minne ya iverpool imeisha lini?
Unajichanganya sana,mbona umemuita Mourihno great manager yy kachukua kombe lini kama usipo chukua kombe miaka minne sio great manager?
Mane akikimbia ndiyo mwisho wa Liverpool?
Pointless kabisa

Kuna kipindi niliplan kuachana na arguments zako lakini nimeshindwa, as far as tuko nyumba moja migongano ya mitazamo lazima iwepo.

Nakushauri ujifunze jinsi ya kupokea critics za wadau, bila kutumia lugha Kali.
 
Kuna kipindi niliplan kuachana na arguments zako lakini nimeshindwa, as far as tuko nyumba moja migongano ya mitazamo lazima iwepo.

Nakushauri ujifunze jinsi ya kupokea critics za wadau, bila kutumia lugha Kali.
Hamna lugha yyt kali niliyo tumia
Kumuita mtu asiyejua kitu lkn anajiona anajua pointless ni lugha kali?
By the way kuna teams nyingi sana hapa duniani,kama unaona Liverpool haipo ktk trend nzuri kwa nn usishangilie team ingine?
 
Double standards
Kocha hapimwi kwa mechi 12 lkn anapimwa kwa "kushinda kibahati mechi 9"?
Kama Klopp kashindwa iongoza Liverpool kwa nn msihamie kwa teams ambazo zina managers wanao wafurahisha?
Mnaongea pumba kabisa,Klopp ni manager mzuri sana na tuna bahati kuwa nae
Mtu wala hajui kwa nn Emre Can aliondoka anaropoka tu
Mchezaji pekee tuliyepoteza ni Coutihno
Punguzeni kutujazia takataka hapa

Hatujui Kwanini Can kaikataa Liverpool?

Kwanini nasisi tusiamini kuwa Wewe Hujui Kwanini OX na VVD waliikataa Chelsea Wakaja Liverpool?
 
Miaka minne ya iverpool imeisha lini?
Unajichanganya sana,mbona umemuita Mourihno great manager yy kachukua kombe lini kama usipo chukua kombe miaka minne sio great manager?
Mane akikimbia ndiyo mwisho wa Liverpool?
Pointless kabisa

Klopp Kumfika Mourinho kwa Class anahitaji Miaka 700 mbeleni
 
Takataka zingine hizi toka kwa anti-Klopp
Klopp is world class manager na anawanyamazisha sasa kila weekends

Kama Klopp Ni World Class Manager Wale Makocha 3 waliompiga Kwenye Fainali 3 alizokuwa Ndani ya Liverpool tuwaite Class gain? Kwasababu Kama Wamempiga World Class, Inamana Wao wapo Zaidi Ya World Class!

Klopp usimkweze Ni Kocha Wa Kawaida sana!!

Kocha anajijengea CLASS mwenyewe Kwa kubeba Makombe na Sio Kujengewa Class na Washabiki
 
Hivi MTU anaposema Klopp Ni World Class Manager huwa anatumia point gain ya Kuprove right his Claim?

Au hizi ndiyo pints wakuu?

1) Anaiingiza Liverpool Top 4 kila Msimu
2) Kacheza Fainali ya CL
3) Kwenye EPL kashinda Mechi 9 kwenye 12

Au Kuna point gani wakuu?

Tusisahau Kuwa Klopp Ni Mr. Zero Trophy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom