Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii timu inabidi tuizoee tuu, kiwango cha uwanjani kipo chini sana..

Kila siku tunasema kesho watabadilika lakini wapi...
Timu hii haiwezi kubadilika labda dirisha Dogo tuongeze viungo wawili watatu Wa maana make pale viungo magarasa ni wengi sana aliowakuta na aliosajili klop mwenyewe tutaendelea kushinda kibahati bahati mwanzo mwisho
 
Sijawahi iona Liverpool kama hii kwa kweli!
Teams ndogo zilizokuwa zinatushinda tunazipiga
9 W kutoka ktk avarage teams lkn bado Klopp anatukanwa
Sijui wanataka afanye nn sasa,draw zetu tatu ni za wakubwa wenzetu
Klopp anajua kufundisha mpira wenye husda mtakufa mapema!
Tuonane 24 Nov nyumbani kwa Watford
Gemu tunashinda sawa ila kibahati nasibu sana gemu tuliyocheza vizuri ni ile ya Kwanza tu dhidi ya west ham kwa kweli pale kati klop ana magarasa mia 5
 
Kops naona wengi mnalalamika sana kuwa tunashinda kibahati. Mnataka Klopp aondoke sijui mnamtaka nani aje afundishe pale.

Niwahakikishie kitu kimoja, hakuna wakati mzuri tuliopo kama huu. Hakuna kitu kizuri kama "winning ugly". Hiyo ni proof tosha kuwa. No matter how bad we play, tunaweza ku grind results kutoka kwa team yoyote ile.

Miaka kadhaa ya nyuma Liverpool ilikuwa team ya kuzifunga zile Top Six teams na kuishia kufungwa na mediocre relegation bound teams..

Kwasasa upepo umebadilika, imagine team hachezi vizuri lakini inapata matokeo, je ikicheza vizuri? Ndio hapo utakuta tunapiga mtu 5, 6 nakuendelea.

So kwangu mimi naona tupo kwenye right track asee. Our defense is solid, no easy goals for opponents. We can score one or two goals on that day when we are not on top notch. We can stand the likes of Man City and co.

What else do you want? Tutulieni tu hivi hivi na ambao mnadiss saizi kuna wakati mtaelewa tu.

You'll Never Walk Alone
 
Mwaka gani Liverpool ilicheza vyema kuliko mwaka huu?
Tunaomba hizo stats zake hapa pls!Team ina W 9 na draw 3 haina L lkn eti ina kiwango kibovu?

Kweli kua uyaone aisee
Misimu yote tangu klop aje tumecheza vyema sana kuliko msimu huu sema tu tuna defense nzuri inatubeba ila mpra msimu huu tunacheza mpira Wa hovyo na tunashinda kwa bahati tu
 
“I have feelings for both of them,” Torres told Sky Sports when asked to pick a favoured side. “Liverpool was the best time in my career. I love the city, the supporters and the club. I am still in touch with them and they made me feel at home when I was there.

“With Chelsea they gave me what I wanted as a player - trophies. I have great memories of my time at Chelsea so it is difficult to choose.”

The Sagan Tosu forward admits he only knows Alberto Moreno through the Spanish national team at Liverpool right now but is still hoping his former club can lift the title this term.

“I am still in touch with the staff [at Anfield] so I wish them all the best. I know how important it is for Liverpool to win the Premier League.

“Hopefully they can win the Premier League and Chelsea can win it the year after.”


IMG_20181112_115340_912.jpeg
 
Ukweli mchungu tunaotakiwa kuujua wanaliver hawa jamaa ni magalasa lallana, wijndrum, Henderson, fabinho, hapa hatuna middle kabisa wengine klop kawaleta na wengine kawakuta huwa wanabebwa tu na wachezaji wenzao!
 
Namhurumia klop ataonekana kocha Wa hovyo coz option ya mido alizonazo ndo hayo hayo magalasa mido wenye akili ndo hivo tena majeraha yamewapenda zaidi
 
Wakuu Skysports wameripot kuwa Klopp anamwinda Rashford wa Man U anataka anamsajil msimu ujao.

Swali la
Nafurahia tu comments zenu wakuu, so far the only thing that gives me hope ni kwamba hatujapoteza mchezo hata mmoja. 9W and 3D.
YNWA...!

That's liverpool.
 
Misimu yote tangu klop aje tumecheza vyema sana kuliko msimu huu sema tu tuna defense nzuri inatubeba ila mpra msimu huu tunacheza mpira Wa hovyo na tunashinda kwa bahati tu
Sawa sawa kabisa tunashinda kwa bahati ila wengine wao hawashindi kwa bahati
4-0
4-1
3-0
2-0
2-0
Ndiyo kwako kushinda kwa bahati hivyo?Mwaka jana tulicheza vyema kwa mechi 12 tukiwa na point 10 pungufu ya mwaka huu,ndiyo kwako kucheza vizuri hivyo?
Man City
2-1 na Newcastle
0-0 na Wolves lkn wao wanajua kweli kweli
Nakuhakikishia mwaka huu tupo sawa kuliko msimu wowote ule toka Klopp achukue team,na mwaka huu hamna upuuzi wa team kuchukua kombe mechi kadhaa mkononi,bingwa anapatikana mechi ya mwisho
 
Sijapata ona Liverpool iliyo kamili kila idara kama hii ktk modern football era!
Tupo sawa kuanzia kwa kipa hadi mbele
Walete Watford watu wenye hila wazidi kununa
In Klopp we trust!
 
Ukweli mchungu tunaotakiwa kuujua wanaliver hawa jamaa ni magalasa lallana, wijndrum, Henderson, fabinho, hapa hatuna middle kabisa wengine klop kawaleta na wengine kawakuta huwa wanabebwa tu na wachezaji wenzao!
Wijnaldum ni garasa? Seriously mkuu unamaanisha ulichokiandika?


Fabinho bado kabisa huwezi ku judge kwa mechi nne alizocheza mkuu hivyo nakukatalia.

Ila hapo kwa Gini asee inabidi tukakupime mkojo tugundue unatumia kitu gani inakuchanganya.

Msimu huu Wijnaldum ndio kati ya wachezaji wetu wa muhimu kabisa kwenye team na walioshikilia dimba pale.
 
Worth to ready!
Sio zile takataka ndefu kutoka kwa wale wanaodhani wanajua soka management kuliko hata Klopp wkt hata team ya kijiji kwao Ikwiriri hawajawahi kupewa!
Captain Marvelous:
Klopp ni kocha mwenye ujuzi wa hali ya juu sana ktk soka,we re very luck to have him as our Manager
Shaqir HAWEZI kuwa ahead ya Milner kwa sababu Shaqir HAKABI wala hapigi tackles mzuri tu kwenye kushambulia!Unapocheza na team inayo shambulia lzm aanze Milner,unapo cheza na teams kama hizi Fulham ambazo unajua kabisa wata seat deep kujihami wasifungwe nyingi atacheza Shaqir
Unacheza na PSG au Totenham au Arsenal au Napoli au Man City ukimpanga Shaqir mechi imeisha tumefungwa!
Lkn wengi hapa wala haijulikani husuda kwa kocha anayetupa mambo ya maana kama Klopp wanaipata wapi!
Mm isha wapuuza kitambo
Sawa tunyanyue kwapa msimi huu kama kweli tuna bahati kua nae

Mana kila idala kakamilika na pia alisema aulizwe baada ya myaka mitatu
 
mbona mimi sioni mantiki ya nyie kulumbana wakati timu ikifungwa wote mnakuwa kwenye majonzi,cha maana ni kuwa na degree of tolerance ktk maoni ya kila m1 as long as kila m1 wenu anataka timu ifanye vyema
Kuna mtu mmoja hataki team ikosolewe hata kiduchu halafu anaamini Kloop hakosei kabsaaa yani.

Morinho team haisomeki anakombe tangu afike pale. huyu wetu tunaambiwa tu mzuri bila ushahidi. kama kufika fainal ndo kiwango cha ubora basi sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom