Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Uliwaona man city jana?Leo tunakwenda katika match tuna 80% ushindi tena wenye clean shit.
Leo majogoo wanapiga mpira mzuri.
Tunayo back line nzuri
Hii yote ni JK.
Uliwaona man city jana?Leo tunakwenda katika match tuna 80% ushindi tena wenye clean shit.
Leo majogoo wanapiga mpira mzuri.
Tunayo back line nzuri
Hii yote ni JK.
Hata huyo mwenzake kusema hana maana hajakosea ni mtazamo wake ili iwe uwongo tupe uzuri wa Kloop tangu aje.Mwenzako hapo juu kaandika takataka kama Klopp sio meneja wa maana eti tulidanganywa!
Wewe pia ni miongoni mwa watu mnao ndka takataka kuhusu Klopp hapa lkn anawanyamazisha week in week out!
Hata movement ya hovyo ya Klopp out ni ww na wenzako ndiyo mlianzisha!
Tatzi ktk ubongo wenu ni kuwaza mpo close kwenye kujua soka kuliko Klopp!
Ndomana kuumbe wewe wa juzi basi sawa.Sijawahi iona Liverpool kama hii kwa kweli!
Teams ndogo zilizokuwa zinatushinda tunazipiga
9 W kutoka ktk avarage teams lkn bado Klopp anatukanwa
Sijui wanataka afanye nn sasa,draw zetu tatu ni za wakubwa wenzetu
Klopp anajua kufundisha mpira wenye husda mtakufa mapema!
Tuonane 24 Nov nyumbani kwa Watford
Siko mbali na wewe sana ila ukweli msimu uliopita pamoja na kuruhusu magoli mengi tulicheza vyema kuliko msimu kwa sasa hapo mido hatuna regular start up inayoeleweka inabadilika badilika kila siku na ndio chanzo kucheza mpira mbovu, sasa basi kwa mido hii isiyoeleweka mtoe Gomez weka lovren halaf golini niwekee karius nakuhakikishia hutatamani kuangalia hata mechi moja ya liver so msimamo uko pale last tumecheza vyema kuliko msimu huu pamoja na kushinda mechi nyingiSawa sawa kabisa tunashinda kwa bahati ila wengine wao hawashindi kwa bahati
4-0
4-1
3-0
2-0
2-0
Ndiyo kwako kushinda kwa bahati hivyo?Mwaka jana tulicheza vyema kwa mechi 12 tukiwa na point 10 pungufu ya mwaka huu,ndiyo kwako kucheza vizuri hivyo?
Man City
2-1 na Newcastle
0-0 na Wolves lkn wao wanajua kweli kweli
Nakuhakikishia mwaka huu tupo sawa kuliko msimu wowote ule toka Klopp achukue team,na mwaka huu hamna upuuzi wa team kuchukua kombe mechi kadhaa mkononi,bingwa anapatikana mechi ya mwisho
Kama hizo mido kalazimishwa sawa.lakini kama kasajili mwenyewe na bado hawafai nzani hata yeye atakua hafai.Namhurumia klop ataonekana kocha Wa hovyo coz option ya mido alizonazo ndo hayo hayo magalasa mido wenye akili ndo hivo tena majeraha yamewapenda zaidi
Hatufungwi sababu defense iko imara sijui mwenzangu mpira unautazama kwa macho gani pamoja na kuwa magalasa mengi still tuna mido wanaoficha madhaifu ya wenzao klop kakosa tu msimamoMbona tunaendelea kushinda na magalasa?
Mbona wenye mido nzuri wameshindwa kutufunga?
Hatufungwi sababu defense iko imara sijui mwenzangu mpira unautazama kwa macho gani pamoja na kuwa magalasa mengi still tuna mido wanaoficha madhaifu ya wenzao klop kakosa tu msimamoMbona tunaendelea kushinda na magalasa?
Mbona wenye mido nzuri wameshindwa kutufunga?
Hiyo mwaka jana ulikua na wachezaji gani? taja vikosi ndo uwone kilicho semwa kina fanana au laaSawa sawa kabisa tunashinda kwa bahati ila wengine wao hawashindi kwa bahati
4-0
4-1
3-0
2-0
2-0
Ndiyo kwako kushinda kwa bahati hivyo?Mwaka jana tulicheza vyema kwa mechi 12 tukiwa na point 10 pungufu ya mwaka huu,ndiyo kwako kucheza vizuri hivyo?
Man City
2-1 na Newcastle
0-0 na Wolves lkn wao wanajua kweli kweli
Nakuhakikishia mwaka huu tupo sawa kuliko msimu wowote ule toka Klopp achukue team,na mwaka huu hamna upuuzi wa team kuchukua kombe mechi kadhaa mkononi,bingwa anapatikana mechi ya mwisho
Sawa kwa pale liver ndo mido wategemewa ila hawa ukiwapeleka timu yeyote kubwa ulaya ni wachezaji Wa kusugua bench mwanzo mwishoKwa gini na Fabinho naomba ntofautiane na ww
Sawa kwa pale liver ndo mido wategemewa ila hawa ukiwapeleka timu yeyote kubwa ulaya ni wachezaji Wa kusugua bench mwanzo mwisho
Huyo mtu hatakua na tofauti na Mtu anaeitwa JIWE humu mitandaoni hataki kabisa fikra tofauti na zake anapenda kusikia vile vinavyofurahisha ngoma za masikio yake tuHumu ndani naona ni mikiki mikiki, Malafyale anataka wote kwenye forum tuwe watu wa ndiyo mzee, tusikosoe, tusizungumzie weakness za timu, challenges za kikosi, tusifu tu, tusifu tu.
Timu inashinda yes, it's a good thing, lakini hii ndo potential yetu? Kushinda kwa taabu?
Naona tunajitetea kwamba tuna points ngapi, tunaacha kuzungumzia fact kwamba hatuko kwenye League Cup, UEFA tumecheza game 4 (2 wins 2 losses); utetezi hapa vipi?
Timu inacheza under capacity, we are not even 60% of our potential kwa mtazamo wangu, lakini kuna mtu kajifika majukumu ya kukataza wenzake wasitoe mitazamo yao. Ni utterly nonsense kunizuia kutoa mawazo yangu kwenye forum ya namna hii kisa tu eti Klopp anajua Football Management kuliko mimi.
Nadhani kuna umuhimu wa kufungua thread za kusifu na kuabudu timu kwa ajili ya watu kama kina Malafyale, hizi za kutoa opinions in either way haziwafai.
Hahahaha, nimekuelewa sana kopieHumu ndani naona ni mikiki mikiki, Malafyale anataka wote kwenye forum tuwe watu wa ndiyo mzee, tusikosoe, tusizungumzie weakness za timu, challenges za kikosi, tusifu tu, tusifu tu.
Timu inashinda yes, it's a good thing, lakini hii ndo potential yetu? Kushinda kwa taabu?
Naona tunajitetea kwamba tuna points ngapi, tunaacha kuzungumzia fact kwamba hatuko kwenye League Cup, UEFA tumecheza game 4 (2 wins 2 losses); utetezi hapa vipi?
Timu inacheza under capacity, we are not even 60% of our potential kwa mtazamo wangu, lakini kuna mtu kajifika majukumu ya kukataza wenzake wasitoe mitazamo yao. Ni utterly nonsense kunizuia kutoa mawazo yangu kwenye forum ya namna hii kisa tu eti Klopp anajua Football Management kuliko mimi.
Nadhani kuna umuhimu wa kufungua thread za kusifu na kuabudu timu kwa ajili ya watu kama kina Malafyale, hizi za kutoa opinions in either way haziwafai.
Huyo mtu hatakua na Mtu anaitwa JIWE humu mitandaoni hataki kabisa fikra tofauti na zake anapenda kusikia vile vinavyofurahisha ngom za masikio yake tu
Wij ni galasa ndio ila ktk magalasa tuliyonayo ana nafuu kidogo na ndio maana ana uhakika wa namba coz ni the best among magalasa tuliyonayo kama midfielder wote wakiwa fit klop namshauri atumie mfumo 4-2-3-1 kwa mid hizi keita milner/ox kama kuna gemu itamlazimu 4-3-3 mid apiki hawa keita, wij na milner/oxWijnaldum ni garasa? Seriously mkuu unamaanisha ulichokiandika?
Fabinho bado kabisa huwezi ku judge kwa mechi nne alizocheza mkuu hivyo nakukatalia.
Ila hapo kwa Gini asee inabidi tukakupime mkojo tugundue unatumia kitu gani inakuchanganya.
Msimu huu Wijnaldum ndio kati ya wachezaji wetu wa muhimu kabisa kwenye team na walioshikilia dimba pale.
Kwa wapenzi wa vyenga wij mtamuona bonge la mido, wij anangangania mipira, anapoza mashumbilizi, forward wanaweza kujiposition vizuri ili wascore jamaa anaforce show off mpaka forward zinabanwa ndo anatoa Pasi na imekuwa ndo kawaida habadiliki msimu na msimu hapo kwa fabinho tumelamba joker muda ndo utakaosemaWijnaldum ni garasa? Seriously mkuu unamaanisha ulichokiandika?
Fabinho bado kabisa huwezi ku judge kwa mechi nne alizocheza mkuu hivyo nakukatalia.
Ila hapo kwa Gini asee inabidi tukakupime mkojo tugundue unatumia kitu gani inakuchanganya.
Msimu huu Wijnaldum ndio kati ya wachezaji wetu wa muhimu kabisa kwenye team na walioshikilia dimba pale.
Hivi Gini ni DM au ni CAM? Tuanzie hapo kwanza.Kwa wapenzi wa vyenga wij mtamuona bonge la mido, wij anangangania mipira, anapoza mashumbilizi, forward wanaweza kujiposition vizuri ili wascore jamaa anaforce show off mpaka forward zinabanwa ndo anatoa Pasi na imekuwa ndo kawaida habadiliki msimu na msimu hapo kwa fabinho tumelamba joker muda ndo utakaosema
Inahusiana nini na point yangu kwani hata centre half akiwa kwny move ya kupeleka shambulizi hawezi kujikuta yupo nafasi yoyote ile so wij ni DM ila timu kama inashambulia na imemiliki mpira u can see there as an attacking midfielder na timu inaposhambuliwa anastik on his position kama defensive midfielderHivi Gini ni DM au ni CAM? Tuanzie hapo kwanza.
Humu ndani naona ni mikiki mikiki, Malafyale anataka wote kwenye forum tuwe watu wa ndiyo mzee, tusikosoe, tusizungumzie weakness za timu, challenges za kikosi, tusifu tu, tusifu tu.
Timu inashinda yes, it's a good thing, lakini hii ndo potential yetu? Kushinda kwa taabu?
Naona tunajitetea kwamba tuna points ngapi, tunaacha kuzungumzia fact kwamba hatuko kwenye League Cup, UEFA tumecheza game 4 (2 wins 2 losses); utetezi hapa vipi?
Timu inacheza under capacity, we are not even 60% of our potential kwa mtazamo wangu, lakini kuna mtu kajifika majukumu ya kukataza wenzake wasitoe mitazamo yao. Ni utterly nonsense kunizuia kutoa mawazo yangu kwenye forum ya namna hii kisa tu eti Klopp anajua Football Management kuliko mimi.
Nadhani kuna umuhimu wa kufungua thread za kusifu na kuabudu timu kwa ajili ya watu kama kina Malafyale, hizi za kutoa opinions in either way haziwafai.
Sasa mliposema mtafunga sita hamkulijua hilo?Sita zina point ngapi?