Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,593
Inabidi tuwe na kikosi chenye ushindani kwenye 1st eleven na bench sio kuwa na wachezaji wanaocheza ili mradi wamecheza... leo sitamani kumuona Lallana au Milner ndani tutaharibuHapo usijeshangaa Ukamkuta Lallana Kaanza, na yule Mbilikimo Xhaqiri yupo juu anawarm bench.