Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Team ndogo tu inawatoa Jasho
Inaonekana team yenu ni mbovu sana msimu huu
Kagoli kamoja tu
mbona nyinyi Man utd mbovu imewatoa jasho.....haaaahaaaa

Nyinyi westham waliwanya nini?MNA vichwa vibovu mnasahau kama kuku bhana.
bora sisi tuliibuka kidedea Jana!!
 
Kloop anajipendekeza kwa wazawa ole wake amalize bila kikombe watakapo mgeuka atajua unafiki wao.

Muhimu tu akumbuke alitoa ahadi aulizwe baada misimu mitatu.
 
mbona nyinyi Man utd mbovu imewatoa jasho.....haaaahaaaa

Nyinyi westham waliwanya nini?MNA vichwa vibovu mnasahau kama kuku bhana.
bora sisi tuliibuka kidedea Jana!!
Man united ina wachezaji bora sana Sema hawajiamini tu
Ila nyie kumfunga hudds kigoli kimoja tu inaonyesha team yenu ni ya kawaida tu msimu huu na huenda kombe mkaendelea kulisikia tu
 
Man united ina wachezaji bora sana Sema hawajiamini tu
Ila nyie kumfunga hudds kigoli kimoja tu inaonyesha team yenu ni ya kawaida tu msimu huu na huenda kombe mkaendelea kulisikia tu
sisi tumewafunga Hudds 1-0 ni Tim ya kawaida.

sisi tumemfunga westham goals 4-0 na nyinyi mmedraw na na westham 0-0

nyinyi mnajiona mko juu sana.

Brother tumia kidogo akili kwenye kuchanganua mambo!
 
Man united ina wachezaji bora sana Sema hawajiamini tu
Ila nyie kumfunga hudds kigoli kimoja tu inaonyesha team yenu ni ya kawaida tu msimu huu na huenda kombe mkaendelea kulisikia tu
Mkuu rudi ukafanye analysis vizuri. Team yetu now tumebadilisha mbinu za kupigana. Team yetu ina uwezo wa kufunga goal kwenye kila mechi. Sasa hivi strategy ni kuhakikisha hatufungwi goal.
 
Rant boy au Rant bony... Utaanza kufanana na mzee wa majogoo ,jitunzie heshima yako ndogo uliyonayo
 
Izo point tatu ulizopata kwa Huddersfield zitakupeleka wapi?

Maana wewe unasindikiza ligi tu.
 
Izo point tatu ulizopata kwa Huddersfield zitakupeleka wapi?

Maana wewe unasindikiza ligi tu.
Kweli mkuu hujui tofauti kati ya 3 na 1?

Hujui tofauti ya point 2 ina maana gani? Au sijaelewa swali lako.


Nyie plastic fans wa chelsea huwa hamna logic wala hoja huwa mna ubishani wa kijiweni tu. Ndio maana huwa napita kimya kimya maana nawaonaga ni butt hurt plastics wenye wivu na LFC.

Ukimind kaangalie msimamo wa EPL.

eden kimario
 
Kweli mkuu hujui tofauti kati ya 3 na 1?

Hujui tofauti ya point 2 ina maana gani? Au sijaelewa swali lako.


Nyie plastic fans wa chelsea huwa hamna logic wala hoja huwa mna ubishani wa kijiweni tu. Ndio maana huwa napita kimya kimya maana nawaonaga ni butt hurt plastics wenye wivu na LFC.

Ukimind kaangalie msimamo wa EPL.

eden kimario
EPL mnasindikiza tu iyo hata klopp anajua. Usijifariji sana kwa ushindi wa jana wa tabu na mateso mengi.

Iyo tofauti ya point ni ndogo sana kwa Chelsea ...

Wewe huna kikosi cha kubeba EPL na ilo linajulikana kabisa.

Utegemee uefa tu "game of chance" unaweza kufika hata robo fainali.
 
Kweli mkuu hujui tofauti kati ya 3 na 1?

Hujui tofauti ya point 2 ina maana gani? Au sijaelewa swali lako.


Nyie plastic fans wa chelsea huwa hamna logic wala hoja huwa mna ubishani wa kijiweni tu. Ndio maana huwa napita kimya kimya maana nawaonaga ni butt hurt plastics wenye wivu na LFC.

Ukimind kaangalie msimamo wa EPL.

eden kimario

Mimi nilishaacha kumquote huyo jamaa, anaandikaga pumba balaa, mwisho wa siku ukijibizana na wewe unaonekana kama yeye tu.
 
Jifunze maana ya kuponea chupu chupu! Usisahau Kuwa alikuongoza Mpaka Extra time ndiyo Mukachomoa..
So, Ni wewe ndiye uliyeponea chupuchupu.

Rant boy katika ubora wako
Kwanini alishindwa kuzuia mpka nikaponea chupu chupu?

Izo "dkk 6" kwani tulicheza wenyewe?

Nani mzembe hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom