OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Wewe jamaa unatakiwa uwe na tabia za kiume. Halafu sijawahi kukuomba uni quote.Mimi nilishaacha kumquote huyo jamaa, anaandikaga pumba balaa, mwisho wa siku ukijibizana na wewe unaonekana kama yeye tu.