Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii habari sio Nzuri Kwa Wale Hendo's Fanboys, Soon they will Come and say Ametufikisha Fainali CL, Ameifikisha England Semi kwenye WC.

Hahahaha!!

Dont want Fabinho to flop at LFC..

So nipo na Klopp kuhusu kumpa muda zaidi, nimeshtushwa na ishu ya Gundogan, kumbe alivyomsign alimweka benchi zaidi ya nusu msimu akijaribu kumu-ease kwenye team..and later Gundogan went on to one of the top CMs in europe.

Fabinho akianza kucheza LFC, they will be no turning back..
 
Shaqiri ameshapata mechi kama tatu au nne hivi za kuprove kama anaiweza mikoba ya Salah wa msimu uliopita. Hivi ikitokea Shaqiri nae yakamkuta(Siombei bali nawaza tu) ni nani atawekwa Right wing?
Mo atakuwa amepona
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA
 
Starting XI v HTAFC: Alisson, Gomez, Lovren, Van Dijk, Robertson, Henderson, Milner, Lallana, Shaqiri, Salah, Sturridge

Subs: Mignolet, Matip, Alexander-Arnold, Fabinho, Wijnaldum, Origi, Firmino
 
Starting XI v HTAFC: Alisson, Gomez, Lovren, Van Dijk, Robertson, Henderson, Milner, Lallana, Shaqiri, Salah, Sturridge

Subs: Mignolet, Matip, Alexander-Arnold, Fabinho, Wijnaldum, Origi, Firmino
 
Nyie leo shuhudieni tunavyomchakaza Mou pale darajani ili mjifunze kupitia sisi.

Halafu mnatakiwa mkubali kwamba Chelsea ni bora Mara mbili ya Liverpool na mara moja kuliko man city...
Operation chakaza.thubutu!
 
Starting XI v HTAFC: Alisson, Gomez, Lovren, Van Dijk, Robertson, Henderson, Milner, Lallana, Shaqiri, Salah, Sturridge

Subs: Mignolet, Matip, Alexander-Arnold, Fabinho, Wijnaldum, Origi, Firmino
Tunafungwa.
 
Was hoping for cups this season, as the EPL is still too big for us..

But looking at this recent Klopp line ups, nadhani hata Cups zitatusumbua..

How do you go and change the best Centre-back pairing in the league just to accomodate a shit player like Lovren?

Are we really destroying Gomez potential?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom