Sir Makombo
Member
- Sep 13, 2018
- 48
- 58
Klopp anaudhi mno
Tupunguzeni Lawama Jamani Game imeshapita.
After international yote tutayasahau haya na tutaendelea Kufurahi.
no, sijibizani naye... naunga mkono alichosema!Mkuu unajibizana na hao Rant boys?
kuhusu playing style yetu kwa sasa, mimi nashauri tuwe patient until December. I mean as long as tunaendelea kuwa kwenye title race pale juu.Halafu kuna headless chicken anaitwa Lallana huyu mtu naye akipona ndiyo atakua favourite substitution ya Mr Hitler!!!
I don’t get it kwanini mipira yetu nowadays imepooza.. no more attacking football, no more pressing au ndo ilkua game plan ya klopp!?? hii kitu imekua sana since ile game na PSG!! idk why!!!
King! Hakuna penetration passes, hakuna through balls,hakuna long balls, hakuna one two na hakuna counter attacks.To be Honest: Sijawahi Kumpongeza Henderson lakini Leo Kwa Mara Ya Kwanza Ninampongeza Kawa Outstanding.
But: Sijawahi Kutamka hili lakini Leo Ninatamka Rasmi Kuwa Sina imani na hii Timu Kuwa inawezashinda Chochote Kupitia Watu Hawa Mane-Salah-Firmino ambao hawawezi Kuscore Hata Kwa Wake Zao achiliambali Uwanjani.
Mambo ya muhimu tukirudi kutoka kwenye international break;
Mosi, Shaqiri aanze kupewa dakika za kutosha, Salah awe anapumzishwa.
Pili, Fabinho and Keita wakabidhiwe majukumu kwenye midfield yetu. Tuliwasajili kwa ajili ya kazi hiyo, bench litawaathiri sana kisaikolojia.
Tatu, msimu huu tuna depth ya kutosha, basi tuirudishe gemu yetu ya pressing kama ya msimu uliopita.
Nne, Klopp awe makini sana kwenye substitution, when to do it and who to substitute and why!
YNWA!
To be Honest: Sijawahi Kumpongeza Henderson lakini Leo Kwa Mara Ya Kwanza Ninampongeza Kawa Outstanding.
Last para ninakubaliana nawe. Gomes na VVD ni pair nzuri mnoo. Gomes anakaba na vvd ana clear. Lovren sio makini sana kwenye blocking kama gomes.Football ni very interesting sport, and unakuwa mchezo mrahisi sana kama ukiwa unaufatilia kwa ukaribu..
Form ya fab 3 last season, iliwafanya watu wasione umuhimu wa kuwa na number 10..ndiyo maana tulivyomiss-out kwa Fekir, watu wakachukulia kawaida sana..
We lack creativity big time, na kibaya zaidi hatuna option yeyote from the bench zaidi ya shaqiri na keita ambao nao siyo direct experts kwenye hiyo role..
You can argue kuwa kuondoka kwa Buvac kumeleta changamoto kwenye our attacking patterns, but its so evident kuwa we needed a focal number 10 last summer..
And again, last season tulitegemea zaidi creativity ya our fab 3, lakini kwa bahati mbaya msimu wote wapo off form, but in detail ni kwamba kuna factors zinazoplekea hicho kitu pia, ukiangalia game ya Napoli, our midfield-3 (Hendo/Milner/Gini), walipiga foward passes 24 kwa dk zote 90.. sasa hakuna attack itakayofanya kazi kama midfield yake inapiga passes 24 tu kwenda mbele kwa muda wa dk 90 thats we dont have a solid combination play mpaka sasa..
We still have time ya kushape our team, but personally i dont have any hopes kwa msimu huu tena and i’m not over-reacting or anything.
I mean you need to be worried when your Manager change the most balanced Centre-back pairing in the league kisa tu Lovren is fit and dropping a 20 year old on the bench because of some few bad games and at the same time unakosa balls za kumdrop henderson ambaye hana a single good game tangu huu msimu uanze..
I dont have any hopes kwa msimu huu to be honest.
King jinsi tunavyocheza ndioinatia shaka.matokeo sio issueSpurs vs Liva - Win
Chelsea vs Liva - Draw
Liva vs Man City - Draw
Ni Improvement Kubwa Sana Hapo Tuliyoifanya.
Subiri Wewe Ucheze Games 3 ngumu kama Hizo Halafu Tuje tuangalie Matokeo Yako.
Yaani second half yote nilikuwa busy namuangalia Henderson, akiwa na mpira na asipokuwa na mpira. Hand gestures zake asipokuwa na mpira...SIKUONA hitilafu yoyote kwake.
Kwa position aliyokuwa anacheza pasi za pembeni na nyuma haziepukiki, ila pia alipiga pasi za mbele za kutosha tu, tena zilizofika.
Nitamuangalia tena mechi nyingine. Sometimes huwa nahisi watu wanamchukia kwa kuwa ni Muingereza tu.
Labda upo sawa.Yaani second half yote nilikuwa busy namuangalia Henderson, akiwa na mpira na asipokuwa na mpira. Hand gestures zake asipokuwa na mpira...SIKUONA hitilafu yoyote kwake.
Kwa position aliyokuwa anacheza pasi za pembeni na nyuma haziepukiki, ila pia alipiga pasi za mbele za kutosha tu, tena zilizofika.
Nitamuangalia tena mechi nyingine. Sometimes huwa nahisi watu wanamchukia kwa kuwa ni Muingereza tu.
Nimeuliza ikiwa anataka ushindi atampanga nani kati ya Keita na Hendo nasubir jibu lakeKocha nguli na mwenye mafanikio Zaidi ligi kuu ya Uingereza Sir Alex Ferguson alipata kuandika kwenye kitabu chake kuwa Jordan Henderson sio mchezaji wa mpira