jamani tunawalaumu sana forwad line yetu ya mane salah na firmino lakini ukweli upo wazi wa kulaumiwa ni klop mwenyewe ameshindwa kuwapanga hawa watu.forwad hazipati mipira muda mwingi wana kuwa wanakaba wakifika mbele wamechoka.
klopa akifanikiwa kuwapanga hawa vizuri waka match basi foorwad zitafunga magoli.matatizo yanaaza hapa keita ni kama nacheza position ambayo siyo yake pili chemistry ya keita na herndson ni zero haziendani kabisa.
chemistry ya hawa watu haipo vizuri ndio maana tunaona akina mane ,salah na firmino wanazunguka kama pia
View attachment 890078