Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Kama hujamuelewa ngoja nikueleweshe. Alichozungumzia hapo ni kwamba timu ni vizuri ikarecruit wachezaji ambao wameshazoea kuchukua makombe au hata kama hawajazoea basi kuwe na wachezaji ambao wameshachukua toka zamani. Hazard alikuna Chelsea kawakuta kina Didier wameshazoea mataji na yeye akaingia kwenye mfumo huo.
Unamsajili Shaqiri unategemea akupe nini huyu? Ni heri usajili anayetoka nje ya EPL Atleast anakuwa na motisha kucheza ligi inayotazamwa na sana ulimwenguni. Hawa wanakua na passion.


Hatujaandaa kitambaa cha sare sisi! Ushindi mbele kwa mbeleLeo sare tu inatosha au kama vipi mmoja afe tu
Acha kukalilishwa ..........
Shaqiri ana
DFL super cup 1
Uefa super cup 1
FIFA club world cup
DFB cup 2
Bundesliga 3
Uefa Champions league 1
Narudia Tena Acha kukalilishwa
Kama hujamuelewa ngoja nikueleweshe. Alichozungumzia hapo ni kwamba timu ni vizuri ikarecruit wachezaji ambao wameshazoea kuchukua makombe au hata kama hawajazoea basi kuwe na wachezaji ambao wameshachukua toka zamani. Hazard alikuna Chelsea kawakuta kina Didier wameshazoea mataji na yeye akaingia kwenye mfumo huo.
Unamsajili Shaqiri unategemea akupe nini huyu? Ni heri usajili anayetoka nje ya EPL Atleast anakuwa na motisha kucheza ligi inayotazamwa na sana ulimwenguni. Hawa wanakua na passion.
dah mkuu unatudanganya member wenzako wa jf hv bado hujui kuwa no research no right to speakKama hujamuelewa ngoja nikueleweshe. Alichozungumzia hapo ni kwamba timu ni vizuri ikarecruit wachezaji ambao wameshazoea kuchukua makombe au hata kama hawajazoea basi kuwe na wachezaji ambao wameshachukua toka zamani. Hazard alikuna Chelsea kawakuta kina Didier wameshazoea mataji na yeye akaingia kwenye mfumo huo.
Unamsajili Shaqiri unategemea akupe nini huyu? Ni heri usajili anayetoka nje ya EPL Atleast anakuwa na motisha kucheza ligi inayotazamwa na sana ulimwenguni. Hawa wanakua na passion.
Mimi huu Mjadala Nilikwisha achana Nao Kwani Hata Milner ana EPL akiwa na Man City.
Fabinho ana League 1 akiwa na Monaco.
Sturridge akiwa Chelsea??
So, Naona Tugocus Kwenye game yetu ya Leo tu Ndiyo mjadala pekee wenye afya Kwasasa.
Hivi Afya ya Keita ikoje?
Nimejaribu kutafuta status yake sijapata, leo anaweza kucheza kweli au ndo tutawekewa tena Henderson, maana naona Hendo anapigiwa upatu sana na Liverpool Echo.
Waingereza wana uzalendo uliojaa sana unafiki, siku moja nikiwa naperuzi peruzi kwenye social media niliona waingereza wakimtetea Henderson square passes zake wakidai inategemewa nini kwa holding midfield Zaidi ya kupiga hizo square passes
Klopp akimtia jamaa sijui itakuaje maana DeBruyne karudi halafu akakipiga kati pale na Fernandinho na Gundogan, halafu huyo captain wetu akawekwa pamoja na Gini na Milner viungo ambao woote hawana ubunifu
Jamaa ukiona wanavyomtetea utadhani ni bonge la mchezaji.
Ubaya sasa naona hadi Klopp anafyata, analazimika kumchezesha, sijui ni kwamba anamkubali au ni pressure kutoka kwa jamaa.
Hao jamaa uzalendo wao unatisha, niambie viungo wa kiingereza kama Eric Dier nitakuelewa kuwa pale kuna kiungo
wrong choice lovren ndo right back au ana cheza na three defenders at the back? kwa formation hii sidhan hata draw tutapata kitakuwa kipigo kikubwa kama msimu uliyopita.KIKOSI HICHO HAPO, KAMA KAWAIDA SCOUSER KIPENZI WA JIJI YUMO
Dejan Lovren starts as Liverpool make two changes for this afternoon’s Premier League clash with Manchester City at Anfield.
The defender is handed his first Premier League appearance of the season as he replaces Trent Alexander-Arnold in the back four.
Jordan Henderson is the other change to the starting XI, though Naby Keita is fit to take a place on the bench.
Liverpool: Alisson, Gomez, Lovren, Van Dijk, Robertson, Wijnaldum, Milner, Henderson, Mane, Salah, Firmino.
Subs: Mignolet, Fabinho, Keita, Sturridge, Shaqiri, Matip, Alexander-Arnold.
Naona kikosi tayari, Hendo ndani kama kawaida.
Trent na Keita benchi.
sijaelewa kukosa kwa Trent aafu anaanza Lovren...Hendo lol kazi ipo leo...
sijaelewa kukosa kwa Trent aafu anaanza Lovren...Hendo lol kazi ipo leo...
wrong choice lovren ndo right back au ana cheza na three defenders at the back? kwa formation hii sidhan hata draw tutapata kitakuwa kipigo kikubwa kama msimu uliyopita.
Lovren kweli akamzuie Sane hapo hapo kuna back and sideways passes za henderson.
Kwa mtazamo wangu hii mechi tumepoteza big time labda niwape benefit of doubt