Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Huyu jamaa ntamtilia shaka sasa na mbinu zisizo badilika.Yaani ukisoma Liverpool Echo utadhani ndo wanampangia kikosi Klopp, maana walipropose Trent Kupumzika na imekuwa hivyo.
Ngoja tuone game itakuwaje, hope tutashinda.
Kaweka beki imara hafu anampanga huyo mkimbiaji uwanjani dah. Leo kuna kazi ya kukaba nadhani mana kina milner watashindwa kupandisha mashambulizi kwa udhaifu wa Hendo

